Uhamiaji ianze uchunguzi jinsi watoto wa Lissu, ambao ni raia wa Marekani walipata passport za Tanzania, kama Lissu alidanganya, ashughulikiwe

Ubalozini hawawezi kutoa taarifa kwa sababu jamaa ni "undercover" officer wao, na wamemuweka ubeleji, kijiwe Cha majasusi duniani

Sasa Kama unajua hayo unapiga kelele za Nini?. Hakuna uongo utakaozusha dhidi ya Lissu, Kama risasi zlilishindwa sioni lolote la maana.
 
Mkuu sijaelewa nifafanue nini hapo, maisha ya Watafutaji nje ni pamoja na kupambana na vibali vya kuishi wengine wametumia Permit za kikimbizi ili mradi tuu maisha yaende kwa wakati huo...
huyo akiamua anaukana huo uraia wa USA kisheria anabaki na utanzania wake ila ashapata anachotaka........................

Nataka hii kwa tafsiri ya kisheria
ukinukuu Tanzania Citizenship Act ya 1995
Tanganyika citizenship ya 1961
Citizenship Ordinance act kama sikosei
 
Ni dawa za mganga wake wa Geita, vidono vya Muha mmoja hivi, unadhani ni kawaida?

Ni nguvu za Mungu tu zile. Mungu alionesha ukuu wake, kwamba mipango ya mwanadamu sio ya Mungu.
 
Kweli, na Mimi kama Chadema ninapiga kelele sana kuhusu matumizi mabaya ya ruzuku, ACT ya juzi tu Ina Ofisi Kali ya ghorofa, sisi Hela zinaliwa tu
Ha ha ha ha ndiyo achana na mambo ya Lisu pambana kwanza na hayo pesa zenu zinazoliwa huko [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Huwa na kijiakili fulani kama umeolewa.
 
Marekani wanatumia Juis soil
Bongo tunatumia juis sanguine

Hapa hatuwezi kufanana

Kama marekani wanafuata jus soli, Basi watoto wa Lissu ni wamarekani sio watanzania.
 
As
Msameheni jamani,, sawa najua nchi yetu hairusu uraia pacha labda alidaganya kwa kutojua tu sheria, asamehewe tu, kisha achague anataka awe mmarekani au mtanzania🤷🏾‍♂️

Asamehewe na Nani?
 
Mimi ni Chadema mkuu, hoja yangu ni kuhusu utaratibu

Acha kujipendekeza CHADEMA. CHADEMA haina wanafiki Kama wewe. Umeona mfimuko wa Bei sio kitu umeamua kumshambulia Lissu.
 

Naona bado una hasira za kushindwa kutimiza lengo la kumuua Lissu pole Sana. Eti Lissu Hana uchungu na nchi lakini, mafisadi wa CCM wanaoiba na kuiba kila siku wanauchungu na nchi.
 
Kama marekani wanafuata jus soli, Basi watoto wa Lissu ni wamarekani sio watanzania.
Hiyo ni sera ya Wamarekani
Kuhusu watoto ikiwa wamezaliwa Marekani, Meli au ndege iliyosajiriwa Marekani basi hao ni raia wao.

Bongo tuna juis Sanguine
Ikiwa mtoto mmoja ya wazazi wake ni raia wa Tanzania kwa kuzaliwa.

Na yeye kazaliwa nje ya nchi basi ana haki ya kurithi uraia.
Nasisitiza anarithi uraia.

Ila hajafikisha miaka 18
Hivyo atakuwa na uraia wa nchi mbili yaani Bongo na Ughaibuni aka mamtoni aka Unyamwezini.

Akifikisha miaka 18 watatakiwa kuchagua mmoja wapo.
Wasipochagua ujue ule wa Tanzania unakufa kifo Cha asili
Na watatambulika kuwa raia wa kigeni wenye asili ya Tanzania.
Wakija wanaomba visa kama kawaida.

Hivyo watoto wa Lisu ni Watanzania na Wamarekani kwa wakati mmoja kwa kipindi hiki.

Tchao
 
Ka
Kama wakati anasafiri aliwakatia paspoti za watanzania, wakati ni wamarekani,, sheria inasemaje?

Kama hawajafikisha miaka ya uraia hakuna shida. Kuna umri wakifikisha lazima wakane uraia aidha wa marekani au Tanzania.
 
Kwamba kuna nini utakachopata iwapo itakuwa kweli au sio kweli?
Interest zako hasa tafadhali ndo ningependa nijue iwapo watanchunguza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…