Uhamiaji ianze uchunguzi jinsi watoto wa Lissu, ambao ni raia wa Marekani walipata passport za Tanzania, kama Lissu alidanganya, ashughulikiwe

Uhamiaji ianze uchunguzi jinsi watoto wa Lissu, ambao ni raia wa Marekani walipata passport za Tanzania, kama Lissu alidanganya, ashughulikiwe

Siasa zimeharibu sana akili za watanganyika......siasa imefubaza akili za watanganyika.......siasa zimewafanya watu kuwa mazezeta.....

Yaani kwa sababu za kisiasa kila mtu anauona ubaya kulingana na aliyetenda ubaya na sio kwa uhalisia wa ubaya wenyewe......

Yaani mtu uzuri au ubaya wa jambo au kitu unategemea umetendwa na nani na sio ubaya wenyewe......na wanasiasa wetu wanatuona kama makatuni.....

Wafuasi wa vyama wanashindana mabaya baada ya kuyakemea mabaya.......utamsikia mbona wale hamuwakamati........

Siasa zetu zimeegemea kwenye ushabiki zaidi na sio weledi ndio maana tunawaona wanasiasa wetu kama miungu watu........

Wafuasi wamekabidhi akili zao Kwa viongozi wao...wao vichwa vyao vimegeuka mabox ya kuhifadhia maoni na utashi wa viongozi wao......ndio maana wanaweza kuambiwa kuwa kiongozi fulani hafai na wakamtukana lakini wafuasi hao hao wanaambiwa anafaa na wanamsifia.......


Ni rahisi sana kuzimudu siasa za TANZANIA wewe tengeneza tu mazezeta yako tu yanayokuabudu na kukutetea na uweze kucheza na matukio basi umemaliza...........

Wakati mwingine unawatazama wafuasi wa wanasiasa na unawatazama wanasiasa wenyewe unabakia tu kucheka.......
 
Watoto wa Tundu Antipas Mughway Lissu ni raia wa marekani, lakini baba yao aliwachukulia passport za Tanzania, bila shaka aliwasilisha taarifa za uongo kwa Afisa wa serikali, jambo ambalo ni kinyume Cha sheria, na ni moja ya tabia za kifisadi.

Natoa rai idara ya uhamiaji imwage moto kwa kuanzisha uchunguzi kuhusu suala hili.

Watoto hawa wamekuwa wakifaidi bajeti ya nchi yetu, na kuwanyima watoto halali wa kitanzania haki ya kutumia fedha zao.

Ni ngumu sana kwa Tanzania kuendelea, kama mtu anayeutaka urais, Kila akilipwa mafao ya ubunge, fedha zote anahamisha kupeleka marekani, ananunua majumba huko, halafu anarudi anajifanya kupigania maendeleo ya Tanzania.

Pia wizara ya ardhi iweke alama nyekundu kwenye ardhi anazomiliki Tundu Lissu na au wanae. Kwa sheria za Tanzania, raia wa kigeni haruhusiwi kumiliki ardhi, kama Kuna tuviwanja kanunua kwa jina la mwanae, basi hati hizo zifutwe, na pia kama Lissu akifa, watoto wake hawaruhusiwi kurithi ardhi kwa kuwa si raia wa Tanzania.
Hao watoto wana umri gani??
 
Mtoto wa Mtanzania hata kama amezaliwa nje, anaweza kupewa passport ya TZ. Isipokuwa akipewa passport, ukomo wa passport ni kabla ya kutimiza miaka 18. Baada ya kutimiza miaka 18, mtoto anaruhusiwa kuomba passport mwenyewe kama mtu mzima. Kwa hiyo kusema achunguzwe baba au mama, tunaingia kwenye siasa mno kuliko kutumia sheria. Mchukie Lissu, lakini usiwachukie au kuwahusisha watoto wake kwenye chuki ambazo si zao! Raisi Mwinyi aliita hii "wivu wa kike".
Wengi tumewaona na tunawaona wakipaa uraia mwingine wakifika 18 years old. Hasa watoto wa wakubwa.

Uraia Pacha sio issue kubwa kivile kwenye dunia ya sasa.
 
Kwa mawazo kama haya ndio yanatufanya waafrika tuonekane ni kama NYANI ALIYECHANGAMKA TU.Yaani nchi imejaa matatizo kibao na ya msingi huyaoni una kimbilia mambo ya kipuuzi ambayo hata hayana athari kwa jamii!!asilimia kubwa ya viongozi wanaokuongoza na familia zao wana uraia pacha hilo hulioni!?

Hao uhamiaji wameshindwa nini kuwapelekea moto?!viongozi kibao sio raia wa nchi hii na ambao hadi sasa kodi yako ndio inawatunza hilo hulioni?!!KENGE KWELI
Ukizaliwa Marekani wewe ni raia wa Marekani upende usipende kwa hiyo ni muhimu kutumia akili kidogo unapozungumzia urai pacha
 
Msameheni jamani,, sawa najua nchi yetu hairusu uraia pacha labda alidaganya kwa kutojua tu sheria, asamehewe tu, kisha achague anataka awe mmarekani au mtanzania🤷🏾‍♂️
Angalia katiba ya Tanganyika kabla ya CCM ndio inakupa haki hayo mengine ni porojo
 
Watoto wa Tundu Antipas Mughway Lissu ni raia wa marekani, lakini baba yao aliwachukulia passport za Tanzania, bila shaka aliwasilisha taarifa za uongo kwa Afisa wa serikali, jambo ambalo ni kinyume Cha sheria, na ni moja ya tabia za kifisadi.

Natoa rai idara ya uhamiaji imwage moto kwa kuanzisha uchunguzi kuhusu suala hili.

Watoto hawa wamekuwa wakifaidi bajeti ya nchi yetu, na kuwanyima watoto halali wa kitanzania haki ya kutumia fedha zao.

Ni ngumu sana kwa Tanzania kuendelea, kama mtu anayeutaka urais, Kila akilipwa mafao ya ubunge, fedha zote anahamisha kupeleka marekani, ananunua majumba huko, halafu anarudi anajifanya kupigania maendeleo ya Tanzania.

Pia wizara ya ardhi iweke alama nyekundu kwenye ardhi anazomiliki Tundu Lissu na au wanae. Kwa sheria za Tanzania, raia wa kigeni haruhusiwi kumiliki ardhi, kama Kuna tuviwanja kanunua kwa jina la mwanae, basi hati hizo zifutwe, na pia kama Lissu akifa, watoto wake hawaruhusiwi kurithi ardhi kwa kuwa si raia wa Tanzania.
Nia ya haya maandiko ni nini kumkomoa Lisu au kuelimisha Watanzania?? Kama ni kuelimisha naomba nikusaidie mtoto akizaliwa Marekani ni mmarekani awe na passport au hana ni Marekani.

Mwanamke yeyote akiolewa na mwanaume ambae nchi yake ina mfumo dume yule mwanamke na watoto wake ni raia wa nchi ya mumewe kwa hiyo hata kama ana passport ya Tanzania haimzuii kuwa raia nchi ya mumewe
 
humohumo uhamiaji kuna wanyarwanda kibao nani atawachunguza?
 
Watoto wa Tundu Antipas Mughway Lissu ni raia wa marekani, lakini baba yao aliwachukulia passport za Tanzania, bila shaka aliwasilisha taarifa za uongo kwa Afisa wa serikali, jambo ambalo ni kinyume Cha sheria, na ni moja ya tabia za kifisadi.

Natoa rai idara ya uhamiaji imwage moto kwa kuanzisha uchunguzi kuhusu suala hili.

Watoto hawa wamekuwa wakifaidi bajeti ya nchi yetu, na kuwanyima watoto halali wa kitanzania haki ya kutumia fedha zao.

Ni ngumu sana kwa Tanzania kuendelea, kama mtu anayeutaka urais, Kila akilipwa mafao ya ubunge, fedha zote anahamisha kupeleka marekani, ananunua majumba huko, halafu anarudi anajifanya kupigania maendeleo ya Tanzania.

Pia wizara ya ardhi iweke alama nyekundu kwenye ardhi anazomiliki Tundu Lissu na au wanae. Kwa sheria za Tanzania, raia wa kigeni haruhusiwi kumiliki ardhi, kama Kuna tuviwanja kanunua kwa jina la mwanae, basi hati hizo zifutwe, na pia kama Lissu akifa, watoto wake hawaruhusiwi kurithi ardhi kwa kuwa si raia wa Tanzania.
Mkuu, hiyo pressure itafupisha maisha yako.
 
Watoto wa Tundu Antipas Mughway Lissu ni raia wa marekani, lakini baba yao aliwachukulia passport za Tanzania, bila shaka aliwasilisha taarifa za uongo kwa Afisa wa serikali, jambo ambalo ni kinyume Cha sheria, na ni moja ya tabia za kifisadi.

Natoa rai idara ya uhamiaji imwage moto kwa kuanzisha uchunguzi kuhusu suala hili.

Watoto hawa wamekuwa wakifaidi bajeti ya nchi yetu, na kuwanyima watoto halali wa kitanzania haki ya kutumia fedha zao.

Ni ngumu sana kwa Tanzania kuendelea, kama mtu anayeutaka urais, Kila akilipwa mafao ya ubunge, fedha zote anahamisha kupeleka marekani, ananunua majumba huko, halafu anarudi anajifanya kupigania maendeleo ya Tanzania.

Pia wizara ya ardhi iweke alama nyekundu kwenye ardhi anazomiliki Tundu Lissu na au wanae. Kwa sheria za Tanzania, raia wa kigeni haruhusiwi kumiliki ardhi, kama Kuna tuviwanja kanunua kwa jina la mwanae, basi hati hizo zifutwe, na pia kama Lissu akifa, watoto wake hawaruhusiwi kurithi ardhi kwa kuwa si raia wa Tanzania.
Ile roho ya mauaji bado mnayo tu? Huyu mtu kawakosea nini? Mwanzo mlitaka kutoa roho yake Mungu kamlinda, kaibuka ibilisi mwingine anataka roho za watoto wake, hebu mwacheni huyu mtu, mateso aliyopitia yanatosha.
 
Back
Top Bottom