KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Siasa zimeharibu sana akili za watanganyika......siasa imefubaza akili za watanganyika.......siasa zimewafanya watu kuwa mazezeta.....
Yaani kwa sababu za kisiasa kila mtu anauona ubaya kulingana na aliyetenda ubaya na sio kwa uhalisia wa ubaya wenyewe......
Yaani mtu uzuri au ubaya wa jambo au kitu unategemea umetendwa na nani na sio ubaya wenyewe......na wanasiasa wetu wanatuona kama makatuni.....
Wafuasi wa vyama wanashindana mabaya baada ya kuyakemea mabaya.......utamsikia mbona wale hamuwakamati........
Siasa zetu zimeegemea kwenye ushabiki zaidi na sio weledi ndio maana tunawaona wanasiasa wetu kama miungu watu........
Wafuasi wamekabidhi akili zao Kwa viongozi wao...wao vichwa vyao vimegeuka mabox ya kuhifadhia maoni na utashi wa viongozi wao......ndio maana wanaweza kuambiwa kuwa kiongozi fulani hafai na wakamtukana lakini wafuasi hao hao wanaambiwa anafaa na wanamsifia.......
Ni rahisi sana kuzimudu siasa za TANZANIA wewe tengeneza tu mazezeta yako tu yanayokuabudu na kukutetea na uweze kucheza na matukio basi umemaliza...........
Wakati mwingine unawatazama wafuasi wa wanasiasa na unawatazama wanasiasa wenyewe unabakia tu kucheka.......
Yaani kwa sababu za kisiasa kila mtu anauona ubaya kulingana na aliyetenda ubaya na sio kwa uhalisia wa ubaya wenyewe......
Yaani mtu uzuri au ubaya wa jambo au kitu unategemea umetendwa na nani na sio ubaya wenyewe......na wanasiasa wetu wanatuona kama makatuni.....
Wafuasi wa vyama wanashindana mabaya baada ya kuyakemea mabaya.......utamsikia mbona wale hamuwakamati........
Siasa zetu zimeegemea kwenye ushabiki zaidi na sio weledi ndio maana tunawaona wanasiasa wetu kama miungu watu........
Wafuasi wamekabidhi akili zao Kwa viongozi wao...wao vichwa vyao vimegeuka mabox ya kuhifadhia maoni na utashi wa viongozi wao......ndio maana wanaweza kuambiwa kuwa kiongozi fulani hafai na wakamtukana lakini wafuasi hao hao wanaambiwa anafaa na wanamsifia.......
Ni rahisi sana kuzimudu siasa za TANZANIA wewe tengeneza tu mazezeta yako tu yanayokuabudu na kukutetea na uweze kucheza na matukio basi umemaliza...........
Wakati mwingine unawatazama wafuasi wa wanasiasa na unawatazama wanasiasa wenyewe unabakia tu kucheka.......