Uhamiaji Musoma, huyu mama kutoka Burundi angefariki damu yake ingewalilia

Huelewi kitu ,Tuliza kichwa Kwanza.

Uhamiaji wa Kwanza ilikuaje wakamuruhusu kuvuka mpaka?(Burundi -Ngara)

2. Umejua chanzo cha uchungu huo?

3. Uhamiaji hawezi kuwa na Sheria zinaweza kusaidia kwa watu kama hao?

4. Passport atatoa wapi hata hela ya chakula nyumbani imeshindikana.
 
Sas mtu Kama kweli huna nyaraka unavukaje vukaje kwenda point a na b kienyeji HV mbna wazungu hawana mzaah wa namna hi yetu ya kiafrica.

Unajuwa kbsa kuwa huna nyaraka unaamaama kienyeji Kama kuku mtu akibanwa mnakuja huku kutafuta huruma kwetu sijaona kosa la afsa uamiaji mm Yuko sahih as long amefata Sheria iliyopo

Mam yule angerudishwa tu ndio chanzo viongoz wanakuja kuzaliwa kina jiwe Kam inavyodaiwa kuwa Ni mmburundi jiwe
 
Mipaka ya wakoloni imetufanya waafrika tuishi kwa ubaguzi mkubwa sana sio sawa basi tu
 
Sas wee unaona kbsa yule mam Yuko sahih kuvuka boda Bila nyaraka muhimu hpn angetulia kwao tu jama ake amfate siyo kuwateza viumbe
 
Yaani ulienda Tarime, ukarudi Musoma na kwenda Nyasho kuona tu? Wewe huruma yako iko wapi? Ulimsaidiaje huyo mama.

Yote hii ni umbea usiyo msingi. Wala hukushuhudia hili. Umetunga stori ya kukamatwa.

Hujui kuwa raia pia tuna nafasi ya kujitolea kusaidia, sio kwenda kuangalia unafikiri unatalii na kisha kueneza uzandiki.
 
Jama. Uko sahih Sana watanzania wnajifanyaka wako na huruma kumbe Ni wanafiki eti achiwe apite vipi sasa huku huna nyaraka huyu uhamiaji wako sahihi Bila kujali unaujauzito au laah" nchii hii inachezewa Sana in jiwe voice"
 
Acha wehu wewe Inanisaidia nini mi kuwa chadema au ccm kama wewe uko ofisi hiyo Acha kupora watu taratibu si zipo kwa watu wa namna hiyo
Ukisika uongo ndiyo huu. Nafikiri wewe ni CHADEMA.
 
Chief, acha kukurupuka soma vizuri sikuenda MUSOMA Kwa ajili ya mama huyo. Nilienda Musoma Kwa Issue zangu mwenyewe nilivyofika MUSOMA nikakuta story hiyo mtaani.

Bahati nzuri nilikuwa naye nikakumbuka ilivyokuwa. Nilifika NYASHO baada ya kusikia, Chief nimetoa msaada kwa mama huyo Kadiri ya uwezo wangu siyo lazima niandike msaada niliyoutoa .

Unaweza kuwasiliana na Mganga mfawidhi wa kituo hicho utapata full story
 
Kila tukio lina makusudi yake.naamini asingezuiliwa hapo angekutwa na hali hiyo akiwa polini sijui.angekuwaje.

Waliomzuia walikua na baya labda lakini kumbe ndio msaada kwake.

Uhamiaji walimsaidia bila ya kujua wanamsaidia.

Huyo mtoto atakua ni mwenye bahati sana katika maisha yake.
 
Huyo muongo tu. CHADEMA huyo
Kiongozi kwasasa dunia ni kama Kijiji na wewe CCM, hushindwi kupata ukweli kutoka MUSOMA .

Mganga mkuu yupo, Mganga mfawidhi yupo. Unaweza kupata maelezo kutkea huko. Kwanini uniite muongo bila kupata ukweli U au uongo upande wa pili?
 
Umeelewa chanzo cha uchungu kwa huyo mama?
 

Taja ni wapi ili usaidie.
 
Uko sahih lkn Sheria zizifunjwa ili watu wajiondokee kienyejienyeji
 
Chief taratibu achana uvyama ,tujikite kwenye hoja .

Pointi yangu ni ,

1.Kwanini Uhamiaji hawakuhusika na kusaidia matibabu ya mama huyu hata kama ni mhamiaji haramu ?Je,Kuna ubinadamu ulipaswa kufika katika hili?
Hakuna muhamiaji haramu ndani ya Africa kumbuka mipaka imewekwa na wakoloni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…