DOKEZO Uhamiaji nendeni nyumba za wageni za Mbagala Zakhem kagueni kila usiku mtakuta Wasomali na Waethiopia wamefichwa kusubiri kusafirishwa

DOKEZO Uhamiaji nendeni nyumba za wageni za Mbagala Zakhem kagueni kila usiku mtakuta Wasomali na Waethiopia wamefichwa kusubiri kusafirishwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Watu wako on transit to S.A unahangaika nao wa Nini?
Kenya said the same yakawakuta ya kuwakuta. With hiyo short transit to SA, ikifumbiws macho hao hao kuna watakao baki bongo bila passport, kwa root hiyo hiyo madawa yatapitishwa, itakuwa ndio on transit ya kufadhili ya ugaidi since hawapii check point yoyote basi ni rahisi sana kuwabebsha na vitu vingine
 
Ukisikia roho mbaya za kichawi ndo hizi, ndo maana wabongo wengi hata passport hawana sababu ya kuogopa safari. Mbongo yeyote aliyesafiri akavuka mipaka ya Tanzania hawezi kuja kuchoma watu wanaopambana kutafuta maisha.

Hivi mu Ethiopia akilala Mbagala wiki moja huku akichangia kipato gesti na vyakula mchana usiku, baadae akapanda basi au ndege kuelekea South Africa wewe na umaskini wako unapungukiwa nini?,au nini kinaongezeka kwenye maisha yako!?

Wakikamatwa wakatozwa hela wakaruhusiwa kwenda mbele kwenye akaunti yako zinaongezeka shilingi ngapi!? Mambo mengine jifunzeni kuwa mnayaona na kukausha, hao wa Ethiopia hawajachagua kukimbia nchi yao, ni hali ngumu ya maisha.

Nyie ndo kipindi cha utumwa mlikuwa mnawaonesha waarabu, Babu zetu walipojificha kwa malipo ya slice za mikate. Mpumbavu kabisa mleta mada huna akili, na nahisi unakula na kulala kwa shemeji.
Tatizo wengine ni magaidi ya kisomali
 
Hapo wanapita tu
Hawajapita.Wamefika,wakapanga vyumba "guest".Na inaonesha bado wapo.Kwa nini?Wapo kihalali?Nani anawaficha?Kwa lengo lipi?Anazijua taratibu za mgeni kuwepo nchini,mkoani,wilayani,tarafani,katani,mtaani,kitongojini,kwenye nyumba na eneo alilofikia?Wataondoka?Lini?
 
Muda si mrefu tutawapa na Serikali za mitaa wanavyoongezeka. Immigration fanyeni msako wa guest za Mbagala Zakhem kila Alhamisi mpaka Jumapili

Hizi guest nyingi huhifadhi waethiopia wanaosubiria kula pipa kwenda Joberg...

Nendeni mida kama hii saba mpaka kumi usiku......

Mtupe na mrejesho wa idadi ya mliowakuta...
Kumbe wanapita tu kwenda majuu tengenezeni utaratibu mzuri ili wapite kihalali na msimamie mpaka wanaingia kwenye mapipa basi.
 
Kumbe wanapita tu kwenda majuu tengenezeni utaratibu mzuri ili wapite kihalali na msimamie mpaka wanaingia kwenye mapipa basi.
kwani unahisi hamna utaratibu halali? kama usingekuwepo tusingekuwa na uhamiaji na viwanja vya ndege.
 
Ukisikia roho mbaya za kichawi ndo hizi, ndo maana wabongo wengi hata passport hawana sababu ya kuogopa safari. Mbongo yeyote aliyesafiri akavuka mipaka ya Tanzania hawezi kuja kuchoma watu wanaopambana kutafuta maisha. Hivi mu Ethiopia akilala Mbagala wiki moja huku akichangia kipato gesti na vyakula mchana usiku, baadae akapanda basi au ndege kuelekea South Africa wewe na umaskini wako unapungukiwa nini?,au nini kinaongezeka kwenye maisha yako!?,.., wakikamatwa wakatozwa hela wakaruhusiwa kwenda mbele kwenye akaunti yako zinaongezeka shilingi ngapi!?,mambo mengine jifunzeni kuwa mnayaona na kukausha, hao wa Ethiopia hawajachagua kukimbia nchi yao, ni hali ngumu ya maisha. Nyie ndo kipindi cha utumwa mlikuwa mnawaonyesha waarabu, Babu zetu walipojificha kwa malipo ya slice za mikate. Mpumbavu kabisa mleta mada huna akili, na nahisi unakula na kulala kwa shemeji.
Kwa ubinadamu uko sawa kwa asilimia 50% ila kwa uzalendo hauko sawa kwa asilimia 50%
Mtoa mada amefanya uzalendo.
Nchi zote duniani huwezi kuingia nchi ya watu bila kufuata taratibu
Watu wakiingia kiholela nchi inaweza kukaribisha vikundi vya kigaidi kama Boko haram,Alshababu n.k
Watu wengi wanapenda kukimbilia Marekani kutafuta maisha ila pamoja na haya huwezi kuingia Marekani kiholela bila kuingia mikono ya kisheria.
Hata wewe mwenyewe assume ua nyumba yako umejenga kubwa tu labda ina vyumba 50 unakaa na wapangaji wako na wewe ukiwa na vyumba vyako na familia yako mke na watoto wa kike na kiume.

Sidhani kama utafurahia wapangaji wako kila mara wanakaribisha wageni wasioleweka kila siku wanaingia na kutoka na wewe ukawa na amani.
Unaweza karibisha majambazi au wageni wengine wakakuharibia watoto
 
Ukisikia roho mbaya za kichawi ndo hizi, ndo maana wabongo wengi hata passport hawana sababu ya kuogopa safari. Mbongo yeyote aliyesafiri akavuka mipaka ya Tanzania hawezi kuja kuchoma watu wanaopambana kutafuta maisha.

Hivi mu Ethiopia akilala Mbagala wiki moja huku akichangia kipato gesti na vyakula mchana usiku, baadae akapanda basi au ndege kuelekea South Africa wewe na umaskini wako unapungukiwa nini?,au nini kinaongezeka kwenye maisha yako!?

Wakikamatwa wakatozwa hela wakaruhusiwa kwenda mbele kwenye akaunti yako zinaongezeka shilingi ngapi!? Mambo mengine jifunzeni kuwa mnayaona na kukausha, hao wa Ethiopia hawajachagua kukimbia nchi yao, ni hali ngumu ya maisha.

Nyie ndo kipindi cha utumwa mlikuwa mnawaonesha waarabu, Babu zetu walipojificha kwa malipo ya slice za mikate. Mpumbavu kabisa mleta mada huna akili, na nahisi unakula na kulala kwa shemeji.
Wabongo wanawaacha wachina wapo busy kuuza nywere Kariakoo kwa kusambaza kama Machinga huku wakiwasumbua Waafrika wenzao ukiwa unapita pita Nchi za watu hauwezi kuwa na Roho ya kichawi hata hapo Johannesburg, Forsburg walipo Wasomali wengi wabongo wanaonekana Wachawi sana kwa tabia hizi...
 
Ukisikia roho mbaya za kichawi ndo hizi, ndo maana wabongo wengi hata passport hawana sababu ya kuogopa safari. Mbongo yeyote aliyesafiri akavuka mipaka ya Tanzania hawezi kuja kuchoma watu wanaopambana kutafuta maisha.

Hivi mu Ethiopia akilala Mbagala wiki moja huku akichangia kipato gesti na vyakula mchana usiku, baadae akapanda basi au ndege kuelekea South Africa wewe na umaskini wako unapungukiwa nini?,au nini kinaongezeka kwenye maisha yako!?

Wakikamatwa wakatozwa hela wakaruhusiwa kwenda mbele kwenye akaunti yako zinaongezeka shilingi ngapi!? Mambo mengine jifunzeni kuwa mnayaona na kukausha, hao wa Ethiopia hawajachagua kukimbia nchi yao, ni hali ngumu ya maisha.

Nyie ndo kipindi cha utumwa mlikuwa mnawaonesha waarabu, Babu zetu walipojificha kwa malipo ya slice za mikate. Mpumbavu kabisa mleta mada huna akili, na nahisi unakula na kulala kwa shemeji.
Ww kumbaf kabisa hujui madhara ya wahamiaji haramu?
wengine wanaingia kwa staili hiyohiyo kuleta machafuko
 
Japokuwa sikubaliana na suala la kuchomana kabisa, si jambo zuri. Lakini Bwana james na ww umeleta utetezi wa kitanzania, is not about “unapungukiwa nini?”
Is about sheria na usalama wa nchi.

Hizo kauli kama zako zinasikika sana kwa wavunja sheria wakitaka kuhalalisha mambo yao, na si tu kwneye hilo hadi ufisadi, matapeli, wasafirishaji madawa ya kulevya, prositutes.

Bottom line kila mtu anatafuta riziki, but hatuwez kuzitafuta kama lawless, other wisehakuna haja ya kuwa na serikali
Kuna njia halali za kusafiri lakini sio hizo za kujana kwenye V8 kama ndizi
Mkuu kwa nini hii sheria iwe Tanzania tu kwa Wasomali kwa nini Nchi zingine hakuna tatizo shida tumewakubali Wa Marekani kwa kutuambia hawa watu wasipite popote harafu wao USA ndio Nchi ya kwanza kuwakubali Wasomali na kuwapa Uraia wakifika kwao..
 
Kenya said the same yakawakuta ya kuwakuta. With hiyo short transit to SA, ikifumbiws macho hao hao kuna watakao baki bongo bila passport, kwa root hiyo hiyo madawa yatapitishwa, itakuwa ndio on transit ya kufadhili ya ugaidi since hawapii check point yoyote basi ni rahisi sana kuwabebsha na vitu vingine
Wanatuzalishiaaa na madada zetuuu kabisa
 
Ww kumbaf kabisa hujui madhara ya wahamiaji haramu?
wengine wanaingia kwa staili hiyohiyo kuleta machafuko
Ras Kapita mbona wapo Warundi na Wanyarwanda kibao mpaka Mkuu wa Majeshi kasema na wengine wana madaraka makubwa hawa wapitaji ndio mnaona wana madhara...unakuta Mnyarwanda yupo Uhamiaji anamnyima Passport Mtanzania kwa maswali ya kipuuzi puuzi...
 
Ukisikia roho mbaya za kichawi ndo hizi, ndo maana wabongo wengi hata passport hawana sababu ya kuogopa safari. Mbongo yeyote aliyesafiri akavuka mipaka ya Tanzania hawezi kuja kuchoma watu wanaopambana kutafuta maisha.

Hivi mu Ethiopia akilala Mbagala wiki moja huku akichangia kipato gesti na vyakula mchana usiku, baadae akapanda basi au ndege kuelekea South Africa wewe na umaskini wako unapungukiwa nini?,au nini kinaongezeka kwenye maisha yako!?

Wakikamatwa wakatozwa hela wakaruhusiwa kwenda mbele kwenye akaunti yako zinaongezeka shilingi ngapi!? Mambo mengine jifunzeni kuwa mnayaona na kukausha, hao wa Ethiopia hawajachagua kukimbia nchi yao, ni hali ngumu ya maisha.

Nyie ndo kipindi cha utumwa mlikuwa mnawaonesha waarabu, Babu zetu walipojificha kwa malipo ya slice za mikate. Mpumbavu kabisa mleta mada huna akili, na nahisi unakula na kulala kwa shemeji.
Mganga vipi wamekuibukia nn usiku??
 
Back
Top Bottom