DexterLab
Senior Member
- Oct 17, 2024
- 161
- 193
Salamu, ili taasisi iitwe jeshi means ina uwezo wa ku-access silaha mbalimbali pia Ina kikosi maalumu ndani yake.
Mfano magereza wao Wana K, police wao Wana FFU na jwtz Wana makomandoo.
Je, Hawa uhamiaji wame-qualify kuitwa jeshi? Wana silaha? Wana special forces? Ikitokea mikiki wanaweza kupambana wenyewe?
Pia Wana kambi? Kama hivyo hawana why raia wanaliita jeshi? Kwa Nini wanasalimiana "sijambo afande"? Na kupigiana salute?
Nasubiri majibu.
Mfano magereza wao Wana K, police wao Wana FFU na jwtz Wana makomandoo.
Je, Hawa uhamiaji wame-qualify kuitwa jeshi? Wana silaha? Wana special forces? Ikitokea mikiki wanaweza kupambana wenyewe?
Pia Wana kambi? Kama hivyo hawana why raia wanaliita jeshi? Kwa Nini wanasalimiana "sijambo afande"? Na kupigiana salute?
Nasubiri majibu.