Uhamiaji ni jeshi au idara ya kawaida?

Uhamiaji ni jeshi au idara ya kawaida?

DexterLab

Senior Member
Joined
Oct 17, 2024
Posts
161
Reaction score
193
Salamu, ili taasisi iitwe jeshi means ina uwezo wa ku-access silaha mbalimbali pia Ina kikosi maalumu ndani yake.

Mfano magereza wao Wana K, police wao Wana FFU na jwtz Wana makomandoo.

Je, Hawa uhamiaji wame-qualify kuitwa jeshi? Wana silaha? Wana special forces? Ikitokea mikiki wanaweza kupambana wenyewe?

Pia Wana kambi? Kama hivyo hawana why raia wanaliita jeshi? Kwa Nini wanasalimiana "sijambo afande"? Na kupigiana salute?

Nasubiri majibu.
 
Salamu, ili taasisi iitwe jeshi means ina uwezo wa ku-access silaha mbalimbali pia Ina kikosi maalumu ndani yake.

Mfano magereza wao Wana K, police wao Wana FFU na jwtz Wana makomandoo.

Je, Hawa uhamiaji wame-qualify kuitwa jeshi? Wana silaha? Wana special forces? Ikitokea mikiki wanaweza kupambana wenyewe?

Pia Wana kambi? Kama hivyo hawana why raia wanaliita jeshi? Kwa Nini wanasalimiana "sijambo afande"? Na kupigiana salute?

Nasubiri majibu.
Uhamiaji ni jeshi, na hii si kwa Tanzania tu. Uhsmiaji unahusiana na masuala ya sheria za usafiri kati ya nchi na nchi, pia uhalifu kwenye mipaka ya nchi.
 
Salamu, ili taasisi iitwe jeshi means ina uwezo wa ku-access silaha mbalimbali pia Ina kikosi maalumu ndani yake.

Mfano magereza wao Wana K, police wao Wana FFU na jwtz Wana makomandoo.

Je, Hawa uhamiaji wame-qualify kuitwa jeshi? Wana silaha? Wana special forces? Ikitokea mikiki wanaweza kupambana wenyewe?

Pia Wana kambi? Kama hivyo hawana why raia wanaliita jeshi? Kwa Nini wanasalimiana "sijambo afande"? Na kupigiana salute?

Nasubiri majibu.
Jeshi kwa lugha ya kiingereza ni military full stop. Si sahihi kabisa kutumia neno jeshi kwa vyombo vya kiraia kama magereza, polisi, uhamiaji na zimamoto.
 
Salamu, ili taasisi iitwe jeshi means ina uwezo wa ku-access silaha mbalimbali pia Ina kikosi maalumu ndani yake.

Mfano magereza wao Wana K, police wao Wana FFU na jwtz Wana makomandoo.

Je, Hawa uhamiaji wame-qualify kuitwa jeshi? Wana silaha? Wana special forces? Ikitokea mikiki wanaweza kupambana wenyewe?

Pia Wana kambi? Kama hivyo hawana why raia wanaliita jeshi? Kwa Nini wanasalimiana "sijambo afande"? Na kupigiana salute?

Nasubiri majibu.
Ulichoandika ni maoni yako na sio ukweli. Neno 'Jeshi' kwa lugha ya kiingereza hufahamika kama 'Military'. Hata hivyo kiswahili kimekosa tafsiri sahihi ya neno 'force' na ndicho anachouliza mleta mada kwa kuhoji kama uhamiaji ni 'force'?

Kwenye nchi yoyote inayofuata demokrasia mamlaka ya kiraia hutenganishwa na mamlaka ya kijeshi(military). Kwahiyo vyombo vyote vya usalama vilivyoko chini ya wizara ya mambo ya ndani ni vyombo vya kiraia na viko chini ya utawala wa kiraia ambao mkuu wake ni rais.
 
Kwa TZ historia inatuhukumu: Polisi, Magereza, Uhamiaji, Zimamoto, TISS na hata TAKUKURU; hizi ni idara/taasisi za serikali kwa ajili ya kutoa huduma. Tembelea Ofisi za Uhamiaji pote nchini utakuta bango lao limeandika Idara ya Uhamiaji. Magereza (ilipaswa kuwa Prisons Service), Polisi (Police Services), Zimamoto (Fire & Rescue Services), TISS (Tanzania Intelligency & Security Services). Kumbuka, huwezi kuwa mtoa huduma, ukitumia maguvu ya kijeshi (Military powers), ingawa wanaruhusiwa kutumia 'nguvu ya kadri' Tumekuwa tukiita majeshi kwa mazoea na mpaka imekuwa hivyo; lakini baadhi ya nyaraka za kisheria bado zinavitamka vikosi hivyo kama vikosi/idara za huduma. Kutumia silaha si hoja, maana bado silaha zote nchini zinazidhibitiwa na TPDF/JWTZ, kuanzia uagizwaji wake.
Unaposikia Mkuu wa Majeshi, maana yake ni Mkuu wa Majeshi (Kamandi) za Anga (Air Wing), Maji (Navy), Aridhini (Infantry), JKT (National Service) na Jeshi la Akiba. Hata hivyo vikosi vingine vya Usalama huweza kujumuishwa katika opresheni za kijeshi mfano vita chini ya uongozi wa JWTZ.
NB: Hata hao waliopewa hadhi ya Jeshi-Usu, ni kwa kuwa wameruhusiwa kutumia baadhi ya silaha nzito za kivita!
 
Salamu, ili taasisi iitwe jeshi means ina uwezo wa ku-access silaha mbalimbali pia Ina kikosi maalumu ndani yake.

Mfano magereza wao Wana K, police wao Wana FFU na jwtz Wana makomandoo.

Je, Hawa uhamiaji wame-qualify kuitwa jeshi? Wana silaha? Wana special forces? Ikitokea mikiki wanaweza kupambana wenyewe?

Pia Wana kambi? Kama hivyo hawana why raia wanaliita jeshi? Kwa Nini wanasalimiana "sijambo afande"? Na kupigiana salute?

Nasubiri majibu.

Soma sheria iliyoanzisha taasisi hizo.
 
Salamu, ili taasisi iitwe jeshi means ina uwezo wa ku-access silaha mbalimbali pia Ina kikosi maalumu ndani yake.

Mfano magereza wao Wana K, police wao Wana FFU na jwtz Wana makomandoo.

Je, Hawa uhamiaji wame-qualify kuitwa jeshi? Wana silaha? Wana special forces? Ikitokea mikiki wanaweza kupambana wenyewe?

Pia Wana kambi? Kama hivyo hawana why raia wanaliita jeshi? Kwa Nini wanasalimiana "sijambo afande"? Na kupigiana salute?

Nasubiri majibu.
Uhamiaji pesa ipo
 
Jeshi kwa lugha ya kiingereza ni military full stop. Si sahihi kabisa kutumia neno jeshi kwa vyombo vya kiraia kama magereza, polisi, uhamiaji na zimamoto.
Kwa sheria za Tz hata polisi sio jeshi! Na maafisa wake ni gazzetted kasoro makamishna tu, wengine wote wanavalishwa visoda vyao na IGP au mwanasiasa waziri wa mambo ya ndani! Only JWTZ offices are commissioned kuanzia luteni usu upwards. Ni rais tu anayevalisha commissioned officers nyota zao mabegani
 
Kwa TZ historia inatuhukumu: Polisi, Magereza, Uhamiaji, Zimamoto, TISS na hata TAKUKURU; hizi ni idara/taasisi za serikali kwa ajili ya kutoa huduma. Tembelea Ofisi za Uhamiaji pote nchini utakuta bango lao limeandika Idara ya Uhamiaji. Magereza (ilipaswa kuwa Prisons Service), Polisi (Police Services), Zimamoto (Fire & Rescue Services), TISS (Tanzania Intelligency & Security Services). Kumbuka, huwezi kuwa mtoa huduma, ukitumia maguvu ya kijeshi (Military powers), ingawa wanaruhusiwa kutumia 'nguvu ya kadri' Tumekuwa tukiita majeshi kwa mazoea na mpaka imekuwa hivyo; lakini baadhi ya nyaraka za kisheria bado zinavitamka vikosi hivyo kama vikosi/idara za huduma. Kutumia silaha si hoja, maana bado silaha zote nchini zinazidhibitiwa na TPDF/JWTZ, kuanzia uagizwaji wake.
Unaposikia Mkuu wa Majeshi, maana yake ni Mkuu wa Majeshi (Kamandi) za Anga (Air Wing), Maji (Navy), Aridhini (Infantry), JKT (National Service) na Jeshi la Akiba. Hata hivyo vikosi vingine vya Usalama huweza kujumuishwa katika opresheni za kijeshi mfano vita chini ya uongozi wa JWTZ.
NB: Hata hao waliopewa hadhi ya Jeshi-Usu, ni kwa kuwa wameruhusiwa kutumia baadhi ya silaha nzito za kivita!
Haiitwi majeshi kimazoea , ni katiba imetaja kuwa hayo ni majeshi na siyo mazoea
 
Kwa sheria za Tz hata polisi sio jeshi! Na maafisa wake ni gazzetted kasoro makamishna tu, wengine wote wanavalishwa visoda vyao na IGP au mwanasiasa waziri wa mambo ya ndani! Only JWTZ offices are commissioned kuanzia luteni usu upwards. Ni rais tu anayevalisha commissioned officers nyota zao mabegani
Sheria ipi hiyo? Katiba imetaja majeshi Magereza na polisi imetajwa kuwa ni majeshi au kuna mabadiliko kwenye katiba?
 
Ulichoandika ni maoni yako na sio ukweli. Neno 'Jeshi' kwa lugha ya kiingereza hufahamika kama 'Military'. Hata hivyo kiswahili kimekosa tafsiri sahihi ya neno 'force' na ndicho anachouliza mleta mada kwa kuhoji kama uhamiaji ni 'force'?

Kwenye nchi yoyote inayofuata demokrasia mamlaka ya kiraia hutenganishwa na mamlaka ya kijeshi(military). Kwahiyo vyombo vyote vya usalama vilikovyoko chini ya wizara ya ndani ni vyombo vya kiraia na viko chini ya utawala wa kiraia ambao mkuu wake ni rais.
Jibu ndo hili full stop. Mods funga uzi
 
jeshi ni moja tu nalo ni JWTZ. hao wengine wanaitwa jeshi kwa sababu za lugha tu na sio kwa maana halisi
 
Bunge ilipitisha kuwa Idara ya uhamiaji itambulike kama jeshi, mafunzo yao awali walikua wanafanyia kwenye vyuo vya magereza na polisi kabla ya kejengewa chuo chao huko Tanga
Labda una tafsiri ingine ya jeshi mwenzetu, naona ni services tu
 

Attachments

Salamu, ili taasisi iitwe jeshi means ina uwezo wa ku-access silaha mbalimbali pia Ina kikosi maalumu ndani yake.

Mfano magereza wao Wana K, police wao Wana FFU na jwtz Wana makomandoo.

Je, Hawa uhamiaji wame-qualify kuitwa jeshi? Wana silaha? Wana special forces? Ikitokea mikiki wanaweza kupambana wenyewe?

Pia Wana kambi? Kama hivyo hawana why raia wanaliita jeshi? Kwa Nini wanasalimiana "sijambo afande"? Na kupigiana salute?

Nasubiri majibu.
Mkuu soma sheria ya UHAMIAJI majibu yote yapo humo.

Hapa utapambana na majibu ya wananzengo wanaokosa facts kwenye majibu yao
 
Soma maelezo, lete hiyo inayosema ni majeshi
Tatizo wa Tz wengi hamtaki kujifunza hata sheria ndogondogo hata katiba hamuijui Sect 147(4) Cap 9 inatambua Magereza na polisi kama majeshi, na katiba inakataza kuwa ni marufuku mtu yoyote kuunda jeshi ingekua kisheria siyo majeshi wasingejiita majeshi usifikiri wanajiita kimazoea kama unavyodhani kwa faida zaidi soma hapa
Screenshot_20241201_140128_Word Office - Docx Viewer.jpg
 
Back
Top Bottom