Mwigulu ndo katafsiri katiba? Unafikiri neno Service lilikua gumu sana kutafsiri kwa kiswahili? Mbona rahisi sana kwenye katiba wangeandika "Idara ya polisi, Idara ya magereza / huduma ya polisi, huduma ya magereza kwani kuna ugumu gani kuandika hivyo kwenye katiba na wakaandika jeshi? Mbona Immigration iliitwa Idara ya uhamiaji?
USA yenyewe kila jimbo polisi inaitwa Idara utakutana na LAPD, NYPD, CPD, PPD , kwanini Tz hazijaitwa idara? Ni kwasababu nchi inaendeshwa na katiba na kwenye katiba yametajwa kuwa ni majeshi, sasa kaniletee katiba yako nyingine iliyokataa kuwa siyo majeshi
View attachment 3166635