Chambusiso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 2,592
- 4,640
Attached....Mkuu soma sheria ya UHWMIAJI majibu yote yapo humo.
Hapa utapambana na majibu ya wananzengo wanaokosa facts kwenye majibu yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Attached....Mkuu soma sheria ya UHWMIAJI majibu yote yapo humo.
Hapa utapambana na majibu ya wananzengo wanaokosa facts kwenye majibu yao
Tatizo wa Tz wengi hamtaki kujifunza hata sheria ndogondogo hata katiba hamuijui Sect 147(4) Cap 9 inatambua Magereza na polisi kama majeshi, na katiba inakataza kuwa ni marufuku mtu yoyote kuunda jeshi ingekua kisheria siyo majeshi wasingejiita majeshi usifikiri wanajiita kimazoea kama unavyodhani kwa faida zaidi soma hapaView attachment 3166532
Huna hoja ya msingi katiba Sect 147(4) cap 9 imetaja majeshi ya ulinzi kwa kuyataja majina kabisa kuwa ni Jeshi la ulinzi, Jeshi la polisi, Jeshi la magereza na Jeshi la kujenga taifa na hivyo ndo seniority ya majeshi pia ilivyo 1.Jwtz, 2. Polisi, 3. Magereza 4.Jkt haya ya hoja yako ya kingereza hiyo siyo sheria, otherwise leta kifungu cha sheria kwenye katiba kinachosema siyo majeshiHaya tofautisha sheria hizo kwa lugha na malkia kama zinafanana
Mtoa mada kwenye post namba 4 kamaliza kila kitu nafikiri na imeeleweka, kwenye sheria kutambulisha hivyo vyombo hawajatumia neno moja linalofanana kwa vyote so hoja yake ina mantiki ya kutosha tu! Ingekua majeshi yangepata amri toka kwa rais lkn kwa kuwa sio IGP na mwenzie wanamrisha kwa barua. I rest my caseHuna hoja ya msingi katiba Sect 147(4) cap 9 imetaja majeshi ya ulinzi kwa kuyataja majina kabisa kuwa ni Jeshi la ulinzi, Jeshi la polisi, Jeshi la magereza na Jeshi la kujenga taifa na hivyo ndo seniority ya majeshi pia ilivyo 1.Jwtz, 2. Polisi, 3. Magereza 4.Jkt haya ya hoja yako ya kingereza hiyo siyo sheria, otherwise leta kifungu cha sheria kwenye katiba kinachosema siyo majeshi
Nimebubujikwa na machozi ndoo mbili zimejaa 😂😂😂, SIJAMBO AFANDE..? kumbe wanaamkiana shikamoo afande 😭😭sijambo afande"? Na kupigiana salute?
Mbona hauna hoja mkuu? Unavyosema ingekua ni majeshi yangepata amri kutoka kwa Rais kwani wao amri huwa wanatoa kwa nani?Mtoa mada kwenye post namba 4 kamaliza kila kitu nafikiri na imeeleweka, kwenye sheria kutambulisha hivyo vyombo hawajatumia neno moja linalofanana kwa vyote so hoja yake ina mantiki ya kutosha tu! Ingekua majeshi yangepata amri toka kwa rais lkn kwa kuwa sio IGP na mwenzie wanamrisha kwa barua. I rest my case
Unaonekana bado kinda, anyway I rest my case, watakujibu wengine kuongezea!Mbona hauna hoja mkuu? Unavyosema ingekua ni majeshi yangepata amri kutoka kwa Rais kwani wao amri huwa wanatoa kwa nani?
Majeshi yote yanapokea amri kutoka kwa Rais ambae yeye ndo Amiri jeshi mkuu, na hawa wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama ambao ni CDF, CPF(IGP), CGP(mkuu wa magereza) wote wanakua Appointed na Rais na akiamua kuwatoa anawatoa muda wowote na anawapa maelekezo moja kwa moja wao wanashusha kwa subordinates wao.
Sasa kati yangu mimi naekuletea hoja na ushahidi wa kisheria na wewe unaeleta hoja za vijiweni nani kinda?Unaonekana bado kinda, anyway I rest my case, watakujibu wengine kuongezea!
Kiswahili kina misamiati michacheJeshi kwa lugha ya kiingereza ni military full stop. Si sahihi kabisa kutumia neno jeshi kwa vyombo vya kiraia kama magereza, polisi, uhamiaji na zimamoto.
Vipi kuhusu ArmyJeshi kwa lugha ya kiingereza ni military full stop. Si sahihi kabisa kutumia neno jeshi kwa vyombo vya kiraia kama magereza, polisi, uhamiaji na zimamoto.
Nakubaliana nawe. Bora lingekuwa hata paramilitaryJeshi kwa lugha ya kiingereza ni military full stop. Si sahihi kabisa kutumia neno jeshi kwa vyombo vya kiraia kama magereza, polisi, uhamiaji na zimamoto.
Jeshi halipokei amri toka kwa rais bali amiri jeshi mkuu. Magereza, uhamiaji, polisi, zimamoto na usalama viko chini ya rais.Mbona hauna hoja mkuu? Unavyosema ingekua ni majeshi yangepata amri kutoka kwa Rais kwani wao amri huwa wanatoa kwa nani?
Majeshi yote yanapokea amri kutoka kwa Rais ambae yeye ndo Amiri jeshi mkuu, na hawa wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama ambao ni CDF, CPF(IGP), CGP(mkuu wa magereza) wote wanakua Appointed na Rais na akiamua kuwatoa anawatoa muda wowote na anawapa maelekezo moja kwa moja wao wanashusha kwa subordinates wao.
Ficha hii wenye akili wasioneJeshi halipokei amri toka kwa rais bali amiri jeshi mkuu. Magereza, uhamiaji, polisi, zimamoto na usalama viko chini ya rais.
Kuna rais na amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi(hakuna usalama). Hivyo rais na amiri jeshi ni mtu yule yule kama alivyo akiwa kwenyekiti wa chama lakini hapo ni ofisi tofauti. Kwenye ofisi ya amiri jeshi mkuu ni Jeshi tu, hakuna such thing kama magereza, uhamiaji au polisi.
Paramilitary ni muundo unaofanana na Jeshi kuanzia muundo wa utawala, mafunzo na matumizi ya silaha kubwa. Haiwezekani mamlaka inayoshughulika na mambo ya kiaraia ikapewa jina hata la paramilitary ni kosa kwa mujibu wa sheria.Nakubaliana nawe. Bora lingekuwa hata paramilitary
Army ni land force au jeshi la ardhini. Jeshi au Military kwa kizungu hukamilishwa na majeshi ya ardhini, majini na angani.Vipi kuhusu Army
USA Army
Chinese liberation army
Unajua kama sisi tuna TPDF na sio army?
Yani hizo tafsiri za mwigulu ndo sheria? Utakua karani wa mahakama za mwanzo nini? Sheria hizo hapo zote tatu kiongozi, unless zilishafutwa. Jeshi halijawahi kuitwa "service"Sasa kati yangu mimi naekuletea hoja na ushahidi wa kisheria na wewe unaeleta hoja za vijiweni nani kinda?
Hahaha hebu ficha hii aibu kiongoziArmy ni land force au jeshi la ardhini. Jeshi au Military kwa kizungu hukamilishwa na majeshi ya ardhini, majini na angani.
NChi zetu ni zile unaweza ukazi category kama Jungle countries, zenyewe vyombo vya kutoa huduma kwa raia wamevigeuza kuwa majeshiJeshi kwa lugha ya kiingereza ni military full stop. Si sahihi kabisa kutumia neno jeshi kwa vyombo vya kiraia kama magereza, polisi, uhamiaji na zimamoto.
Anayetoa commission kwa wanajeshi sio rais bali ni amiri jeshi japo kibinadamu ni mtu yule yule. Hata unaposoma habari zinazotolewa na Jeshi hutumia jina la amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi kwa sababu akiwa kwenye shughuli za jeshi haendi kama rais bali kama amiri jeshi japo urais wake anakuwa nao.Kwa sheria za Tz hata polisi sio jeshi! Na maafisa wake ni gazzetted kasoro makamishna tu, wengine wote wanavalishwa visoda vyao na IGP au mwanasiasa waziri wa mambo ya ndani! Only JWTZ offices are commissioned kuanzia luteni usu upwards. Ni rais tu anayevalisha commissioned officers nyota zao mabegani
Hilo ni tatizo. Unakuta hata mkuu wa mkoa au hata waziri kwenye sakata mfano la watu kutekwa anakwambia wameviachia vyombo vya ulinzi na usalama wafanye kazi yao. Unajiuliza kama mkuu wa mkoa au waziri anaelewa alichokisema. Sasa kama mti hajui hata vyombo vya ulinzi ni vipi na vya usalama ni vipi unadhani akiwa kiongozi mkubwa ataweza kujua wapi mamlaka yake yanaanzia na kuishia? Ndio unakuta wanashauri Jeshi lijihusishe na uchaguzi kwa sababu hawafahamu Jeshini ni nini na majukumu yake ni yapi.NChi zetu ni zile unaweza ukazi category kama Jungle countries, zenyewe vyombo vya kutoa huduma kwa raia wamevigeuza kuwa majeshi