figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Salaam Wakuu,
Vyombo vya Serikali viache double standard.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimzawadia kofia msanii Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platinumz baada ya kutumbuiza maelfu kwa maelfu ya wananchi waliohudhuria mkutano wa kampeni Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza Jumatatu Septemba 7, 2020
Ni Wakati wa Taasisi ya Uhamiaji ichukue passport ya Msanii wa Bongo Fleva Nasibu Abdul Juma Issack(Diamond Platnumz) na imuwekee Mazingira rafiki ya kupata Passport nyingine kwa jina la nyange. Ni kosa kubwa Diamond alifanya Kukana Baba yake Mzazi na kudai Baba yake ni Nyange ambaye hatokei kwenye Nyaraka yoyote kati ya anazozimiliki kutoka Serikali.
Hata hivyo Uhamiaji, NIDA na RITA, Wameonesha UDhaifu Mkubwa, ilitakiwa wake wameshamfungulia Kesi ya Uhujumu Uchumi Diamond kwa Kumiliki nyaraka fake za Serikali. Vitambulisho vyote anyang'anywe.
Naseeb ni kioo cha Tanzania, Sasa Dunia Nzima inaangalia utendaji kazi wa vyombo hivi vya Serikali.
Kitendo cha kuendelea kumkalia kimya ni kumkosea haki yake ya Msingi. Nyaraka zinazomhusu Diamond zilizopo Uhamiaji zichomwe moto. Sheria za nchi zimtendee haki.
Baada ya hapo achukuliwe hatua kwanini Walitengenza nyaraka za Uongo wakati wanajua ni Uongo.
Muda wote Serikali imedanganywa Baba wa Diamond ni Mzee Abdul kumbe ni Mzee nyange. Muda wote Wamekua Wakitumia Udanganyifu kujipatia kipato kwa Jina la Mzee Abdul.
Ni muda sasa Diamond apeleke nyaraka zake Uhamiaji. Tumezoea kuona Uhamiaji wakiwahoji wakina Zitto, Askofu Kakobe na Eyakuze.
Ni udhaifu Mkubwa kwa Uhamiaji, NIDA na RITA kukalia kimya swala hili la kukana jina lililo kwenye nyaraka za Serikali.
Mama Yake Diamond na Diamond Wapandishwe Kisutu kwa Uhujumu Uchumi na Udanganyifu.
Zaidi soma: Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange
Vyombo vya Serikali viache double standard.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimzawadia kofia msanii Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platinumz baada ya kutumbuiza maelfu kwa maelfu ya wananchi waliohudhuria mkutano wa kampeni Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza Jumatatu Septemba 7, 2020
Ni Wakati wa Taasisi ya Uhamiaji ichukue passport ya Msanii wa Bongo Fleva Nasibu Abdul Juma Issack(Diamond Platnumz) na imuwekee Mazingira rafiki ya kupata Passport nyingine kwa jina la nyange. Ni kosa kubwa Diamond alifanya Kukana Baba yake Mzazi na kudai Baba yake ni Nyange ambaye hatokei kwenye Nyaraka yoyote kati ya anazozimiliki kutoka Serikali.
Hata hivyo Uhamiaji, NIDA na RITA, Wameonesha UDhaifu Mkubwa, ilitakiwa wake wameshamfungulia Kesi ya Uhujumu Uchumi Diamond kwa Kumiliki nyaraka fake za Serikali. Vitambulisho vyote anyang'anywe.
Naseeb ni kioo cha Tanzania, Sasa Dunia Nzima inaangalia utendaji kazi wa vyombo hivi vya Serikali.
Kitendo cha kuendelea kumkalia kimya ni kumkosea haki yake ya Msingi. Nyaraka zinazomhusu Diamond zilizopo Uhamiaji zichomwe moto. Sheria za nchi zimtendee haki.
Baada ya hapo achukuliwe hatua kwanini Walitengenza nyaraka za Uongo wakati wanajua ni Uongo.
Muda wote Serikali imedanganywa Baba wa Diamond ni Mzee Abdul kumbe ni Mzee nyange. Muda wote Wamekua Wakitumia Udanganyifu kujipatia kipato kwa Jina la Mzee Abdul.
Ni udhaifu Mkubwa kwa Uhamiaji, NIDA na RITA kukalia kimya swala hili la kukana jina lililo kwenye nyaraka za Serikali.
Mama Yake Diamond na Diamond Wapandishwe Kisutu kwa Uhujumu Uchumi na Udanganyifu.
Zaidi soma: Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange