Uhamiaji, NIDA na RITA, mfungulieni Kesi ya Uhujumu Uchumi Diamond Platnumz kwa Kumiliki nyaraka fake za Serikali. Vitambulisho vyote anyang'anye

Uhamiaji, NIDA na RITA, mfungulieni Kesi ya Uhujumu Uchumi Diamond Platnumz kwa Kumiliki nyaraka fake za Serikali. Vitambulisho vyote anyang'anye

Salaam Wakuu,

Vyombo vya Serikali viache double standard.

View attachment 1685906
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimzawadia kofia msanii Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platinumz baada ya kutumbuiza maelfu kwa maelfu ya wananchi waliohudhuria mkutano wa kampeni Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza Jumatatu Septemba 7, 2020

Ni Wakati wa Taasisi ya Uhamiaji ichukue passport ya Msanii wa Bongo Fleva Nasibu Abdul Juma Issack(Diamond Platnumz) na imuwekee Mazingira rafiki ya kupata Passport nyingine kwa jina la nyange. Ni kosa kubwa Diamond alifanya Kukana Baba yake Mzazi na kudai Baba yake ni Nyange ambaye hatokei kwenye Nyaraka yoyote kati ya anazozimiliki kutoka Serikali.

Hata hivyo Uhamiaji, NIDA na RITA, Wameonesha UDhaifu Mkubwa, ilitakiwa wake wameshamfungulia Kesi ya Uhujumu Uchumi Diamond kwa Kumiliki nyaraka fake za Serikali. Vitambulisho vyote anyang'anywe.

Naseeb ni kioo cha Tanzania, Sasa Dunia Nzima inaangalia utendaji kazi wa vyombo hivi vya Serikali.

Kitendo cha kuendelea kumkalia kimya ni kumkosea haki yake ya Msingi. Nyaraka zinazomhusu Diamond zilizopo Uhamiaji zichomwe moto. Sheria za nchi zimtendee haki.

Baada ya hapo achukuliwe hatua kwanini Walitengenza nyaraka za Uongo wakati wanajua ni Uongo.

Muda wote Serikali imedanganywa Baba wa Diamond ni Mzee Abdul kumbe ni Mzee nyange. Muda wote Wamekua Wakitumia Udanganyifu kujipatia kipato kwa Jina la Mzee Abdul.

Ni muda sasa Diamond apeleke nyaraka zake Uhamiaji. Tumezoea kuona Uhamiaji wakiwahoji wakina Zitto, Askofu Kakobe na Eyakuze.

Ni udhaifu Mkubwa kwa Uhamiaji, NIDA na RITA kukalia kimya swala hili la kukana jina lililo kwenye nyaraka za Serikali.

Mama Yake Diamond na Diamond Wapandishwe Kisutu kwa Uhujumu Uchumi na Udanganyifu.

Zaidi soma: Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange
Hakuna sheria kama hiyo mkuu japo mimi si mwanasheria unless kuwe na lengo la kumkomoa mtu, jina siyo lazima liwe na uhusiano na biological parent, mtu anaweza tumia jina lolote lile ili mradi liwe ndo jina lake halali. Mbona kuna watu kibao wamelelewa katika familia fulani na kutumia majina ya ukoo huo, nadhani mwenye haki ya kukataa jina ni Diamond na si uhamiaji NIDA wala RITA
 
Vipi yule DC wa kisarawe?

Au wivu tu kwa mondi?
 
Salaam Wakuu,

Vyombo vya Serikali viache double standard.

View attachment 1685906
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimzawadia kofia msanii Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platinumz baada ya kutumbuiza maelfu kwa maelfu ya wananchi waliohudhuria mkutano wa kampeni Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza Jumatatu Septemba 7, 2020

Ni Wakati wa Taasisi ya Uhamiaji ichukue passport ya Msanii wa Bongo Fleva Nasibu Abdul Juma Issack(Diamond Platnumz) na imuwekee Mazingira rafiki ya kupata Passport nyingine kwa jina la nyange. Ni kosa kubwa Diamond alifanya Kukana Baba yake Mzazi na kudai Baba yake ni Nyange ambaye hatokei kwenye Nyaraka yoyote kati ya anazozimiliki kutoka Serikali.

Hata hivyo Uhamiaji, NIDA na RITA, Wameonesha UDhaifu Mkubwa, ilitakiwa wake wameshamfungulia Kesi ya Uhujumu Uchumi Diamond kwa Kumiliki nyaraka fake za Serikali. Vitambulisho vyote anyang'anywe.

Naseeb ni kioo cha Tanzania, Sasa Dunia Nzima inaangalia utendaji kazi wa vyombo hivi vya Serikali.

Kitendo cha kuendelea kumkalia kimya ni kumkosea haki yake ya Msingi. Nyaraka zinazomhusu Diamond zilizopo Uhamiaji zichomwe moto. Sheria za nchi zimtendee haki.

Baada ya hapo achukuliwe hatua kwanini Walitengenza nyaraka za Uongo wakati wanajua ni Uongo.

Muda wote Serikali imedanganywa Baba wa Diamond ni Mzee Abdul kumbe ni Mzee nyange. Muda wote Wamekua Wakitumia Udanganyifu kujipatia kipato kwa Jina la Mzee Abdul.

Ni muda sasa Diamond apeleke nyaraka zake Uhamiaji. Tumezoea kuona Uhamiaji wakiwahoji wakina Zitto, Askofu Kakobe na Eyakuze.

Ni udhaifu Mkubwa kwa Uhamiaji, NIDA na RITA kukalia kimya swala hili la kukana jina lililo kwenye nyaraka za Serikali.

Mama Yake Diamond na Diamond Wapandishwe Kisutu kwa Uhujumu Uchumi na Udanganyifu.

Zaidi soma: Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange
Tumeshakujua ww ni timu ileeeeee sijui infidele.
 
Tafuta hela habar nyngne tuwaachie vyombo husika
 
kijana uchawi sio lazima upae na ungo...huu uchawi hata gamboshi hamna
 
Mtu alie kulea, alie kulisha, alie kufundisha Jinsi ya kupiga mswaki, kuoga, shave, kusoma na kukusomesha, it’s sound like a dad hata kama sio Baba yako. Diamond ni Mtu mzima anatakiwa afikiri kwa kutumia utu uzima wale, mama ni mama , Lkn wana siri zao kubwa , ya wazee yawache kwa wazee
You are very smart bro.
 
Tafuta pesa mwandishi acha kuwa na roho mbaya na ya korosho kwa pesa za wanaume wenzako ili na ww uje utafutwe kama yy sio kwenye J forum

Jina alipewa na walezi wake na sio yeye pili mtoto ni lazima apewe majina matatu au mawili hili sio ombi ni lazima akisha zaliwa.

Ukielewa neno baba mzazi na baba mlezi itakuwa vizuri
 
Mtoto anapozaliwa mzazi huwa anakwenda kuandika jina la mtoto na wazazi wake, kama kwenye cheti chake cha kuzaliwa hakuna jina la Mzee Abdul dogo hana haki ya kutumia hilo jina maana kwa watoto ambao ubini wao unakuwa tofauti na jina la baba, jina la mtoto kwenye cheti linaandikwa lote kwenye kipengele cha jina.

Kama vile mie mwanangu kutokana na kuvutiwa na mabandiko yako nitamwita Joseph Figganiga hivyo kwenye jina la mtoto yataandikwa majina yote mawili lakini nikitaka atumie jina langu la Kalimilo pale kwenye jina la mtoto pataandikwa Joseph tu kwa kuwa huku chini kwenye jina la baba itasoma jina langu

 
Back
Top Bottom