Uhamiaji Tanzania: Bila dhumuni la safari hakuna kupewa pasi ya kusafiria (Passport)

Tanzania walijifunza kwa Haile selasie alipeleka watu wake wengi wakasome nje. ili hatimae waje wajenge nchi yao hee!! Kilichompata!! ....ni ngumu kumesa!!!...

Ni ukoo wake mzima kuuawa! Wakahakikisha Hkn damu ya Haile selasie ktk nchi ile!!

Mmoja ya watu walio mfanyizia ni Mengistu Maliam nae akapinduliwa kwa sasa ni mzee sana yuko hapo zimbabwe.na

binti yake tumeoa.
 
kinacho umiza tabaka tawala nyie wabongo ni wepesi sana kushawishiwa mtatumika kirahisi sana kuleta vurugu nchini km father Thom alivotumiwa na wenye pesa zao. Jk akainyaka hiyo hakumuua.alimrudisha kiulainiii!
Mwingine ni kambona mnafiki yule!!

Tena km wewe unaonekana mnoko hasa ndo hutaelewa kabisaa somo itakuwa vurugu tupu dawa ni kukudhibiti km hivi hutoki humu!! Kalime kijijini.

Wako wengi kina Tuntemeke sanga huyu alioza mbaya na jeuri ya yake kijijike

Hiyo ya sheria ni mambo mengine mareeef ya kisiasa tuachie sisi.hayakuhusu!!!
 
Fikra za kijima hizi, kwanza unadirikije kusema in public kuwa your fellow country men women ni wepesi kununuliwa na kushawishiwa na maadui zetu?

We ni mtanzania kweli? Mi nna passport nimesafiri sehem mbali mbali tena kutafuta manufaa for our country men na sijadanganyika. THINK BIGGER.
 
Ushapata hiyo lottery au unamaanisha tangazo tu la hiyo bahati nasibu?
Jamaa watataka barua ya mualiko na sio tangazo la fursa, ila kanyooshe mkono wako mkuu utaipata kirahisi tu.

Yaani wakati unajaza application form unatakiwa kuweka details za pasi yako ya kusafiria
 

shda ya ku lack exposure!
 
Sawa hivi kuna COVID, kusafiri sio dili
 
Kama hujui uliza usaidiwe sio kubisha bisha tu ili mradi uonekane unajua kila kitu
 
Au basi nikuulize, taifa letu lina miaka 60 sasa tija ya kiusalama unayosema kwa kuminya upakanaji wa passport ina-compare kiasi gani na fursa ambazo mngefungua kwa vijana wa hii nchi. Au unadhani kufungia watu nchini mwao wawe mambumbumbu tu imesaidia vipi nchi yetu kupiga hatua?

Ukitembea hata EA tu unagundua namna hata vinchi vidogo kma Rwanda vimetuzidi wamepiga hatua kutengeneza mazingira kwa raia kutoboa, wewe unaogopa eti tutapata snitches blah blah.

Mkuu alishasema tupige pesa tuwe mabilionea, tunatokaje kwa kutegemea soko la ndani tu. Nchi yetu inarank chini sana kwa urahisi kwa kufanya biashara kwa sababu kupata documents ni issue, urasimu tu. Acha watu wawe exposed walete ujanja nyumbani tupige hatua.

Tabaka la watu wenye fikra kma zako linastawi kwa kuwepo tabaka la wengi ignorant. Kma we ni mtunga sheria nakupa fikisha ujumbe huu, mnachofanya sio kwa national interests ila ni selfish interests za kwenu wachache. Please please improve mnatuchelewesha sanaaa.
 
Kwani kazi yao hao idara ya uhamiaji ni kutunga sheria kandamizi ama kusimamia sheria za uhamiaji!?

If there’s people misusing the JMT passport sio kosa kwa raia kushindwa kupata passport bali ni jukumu Lao kuchuja mabua na mahindi!
Mkuu mbona unajikoroga?
Hapo penye mkazo pahusike.
Au unataka Maofisa waamini madhumuni ya Safari kwa kusikiliza kauli tu ya muombaji?
 
Tuwekee hapa hicho kifungu cha sheria kinachosema mwuomba passport atatakiwa kujieleza anaenda wapi na kufanya nini ndipo apewe passport.Hebu tuwekee hicho kifungu cha sheria
Sio Kazi wala jukumu langu kuweka vifungu vya Sheria wala kanuzi za utendaji kazi wa Idara ya Uhamiaji hapa.

Pili, hakuna mahali nimesema hayo maneno unayokusudia kuwa nimeyasema mimi (Nilipokoleza)

Kauli yangu,
Ukiwa unahitaji Hati ya kusafiria miongoni mwa nyaraka ambazo Muombaji unahitajika kuambatanisha pamoja na maombi yako ni Ushahidi/Uthibitisho wa madhumuni ya Safari.
Miaka nenda miaka rudi hicho kipengele kipo katika Karatasi ya maombi.
 
Dogo sikia kukuminya wewe na wengine km wewe ni lazima kwa faida ya wengi huu ni utaratibu kuanzia mbinguni.

Leo hii shetani hana chake Duniani na kule mbinguni japo alifanya kazi kwa karibu sana na Mungu.

Utaratibu ni uleule huku Duniani.hata ufanyeje!!! Pasport hutapata kirahisi hivo!! Mtaleta fikra mpya nchini wengi wataumia.
Utasema ni selfish interest kwa kuwa umetaka iwe hivo.

Hata Mungu alilaumiwa sana na shetani wkt anafukuzwa mbinguni.
Lkn hiyo haikufanya Mungu kughaili uamuzi wake.zaidi waliongea tu! Japo shetani aliumia ....rejea kisa cha Ayubu.

Hata weye unasema bila kujua utaratibu wetu na matokeo hasi.
Nimekupa mfano wa Ethiopia. Sisi ilikuwa ni somo zuri kwetu!!

Kwani hkn nini humu nchini? Moaka ukaombe kwa jirani??? Acha uvivu kijana fanya kazi kwa juhudi na maarifa ndo njia pekee!!

Acha hao walioisha enda kina nyarusare hawana madhara
 
Ulaya kwa wajanja wanaamini "Old is gold" nyie wachamba wima mnaona eti "ujima ni laana" loool!! Shame on you!!

Km kweli ulienda Duniani huko hukushawishiwa nje ili kuharibu ndani basi ujue weye huna mvuto wa kitu chochote Duniani. .....kwanza!!!

Huna pass bana tushitishane wenye nazo hawasemi hovyo!! Km hivi usemavyo, ina rangi gani kwanza onyesha hapa!!!

Mie siyo mtanzania simple tu! Ila mwenye mikoba haswaaa! Kutoka Mwitongo karibu na kyarano Dam.kuelekea Nyamswa via Bisarye!!!

Ndiyo!!! siyo mnashwishika tu mnatumika pia.na mifano nimekupa !! hata weye unaonekana tu.

km mie siyo mkweli ninaswma uongo nitamkie ahadi ya tisa ya mwana TANu faster.

Halafu unaongea hovyo tu wkt wenzio wanaomboleza!!
 
Hiyo sura yake ni mbaya kama roho yake ilivyo. Watanzania tumekua tukinyanyasika kwa haki zetu za msingi
 
Wabongo wazamiaji kuliko Wnaigeri? Wao wanapata pass nje nje tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…