Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,618
- 4,605
Pengine siyo bure, kuna namna wananufaika na huo ukiritimba.Mi nilidhani passport ndo mkuu wa vitambulisho ama kitbulisho kiandamizi mbona nchi nyingine mtoto akizalowa tu anapewa na passport ? Du huyu mtoa maoni ndo yuko jikoni kutuandalia hizo kitu. Mawazo ya kimaskini
Na inawezekana, wengi waliopata ni baada ya kunyoosha mkono.Nenda katoe rushwa then pata gamba urudi utulie sagari zingine huwa ni dharura km kuugua ama kuuguliwa na pasport inschukua mwezi na zaidi kupatikana. Nchi yangu Tanzania nakupenda kwa moyo wote
Namfahamu mtu mmoja kutoka Mwanza, aliyesafiri kwenda Dar akitarajia kurejea nyumbani kwake Mwanza baada ya kufanikisha kilichompeleka Dar Es Salaam.Inamaana hata ambaye ana passport lakini imekwisha muda wake,
Atahitaji kusubiri ili apate dhumuni la safari ndy abadilishe passport?
Hivi hawajuwi kama Kazi zingine applications ya Kazi pamoja na cv yanakwenda sambamba na passport copy,,na passport Namba?
Kweli huku ni kupatwa kwa tanzania.
Imeelekezwa, "kila mbuzi ale kulingana na urefu wa kambao yake'siisiiiiiiemmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmuuuu oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ila wao za kwao wanaletewa nyumbani wala hawajazi hata fomu wanapeleka majina tu na kadi zao finish.
Aliyeshiba haelewi maumivu ya mwenye njaa.Passport should be to every one, Tanzania hakuna kazi. Watu watawanyike duniani ili hatimaye walete pesa nyumbani.
Hii ndio taarifa mpya kutoka Uhamiaji iliyotolewa leo na Msemaji wake Paul Mselle.
Paul Mselle amesema haya...
Pasi ya kusafiria ni 'document' ya kiusalama na ni haki ya kiusalama na ni mali ya Serikali, pale ambapo mtu ataitumia vibaya basi anaweza akanyang’anywa
Pasi ya kusafiria sio kitambulisho kusema mtu achukue abaki nayo ndani ni lazima kuwe na dhumuni la safari, kama hauna safari hatuwezi kukupa pasi ya kusafiria
Mtu atakayepoteza Pasi yake ya kusafiria (Passport), itamlazimu kutoa taarifa Polisi pamoja na kutangaza kwenye gazeti na kwamba ni lazima atoe kiasi cha shilingi Laki tano kwa kupoteza Passport hiyo, na ili aweze kupata nyingine.
Kumekuwa na changamoto ya kuchelewa kwa pasi ya kusafiria sababu unakuta mtu hajakamilisha vigezo vya kupata pasi ya kusafiria. Kuna wengine wanawasilisha vyeti vya kuzaliwa ambavyo haviko kwenye mfumo wa RITA na ukimuuliza alikipataje anasema alimtuma mtu kwa maana ya vishoka na hawa unakuta wengine ni raia wa Tanzania na wengine sio raia wa Tanzania
Wengine nao unakuta taarifa za cheti cha kuzaliwa zinatofautiana na taarifa za vitambulisho vya Taifa, unakuta kwenye Kitambulisho cha TAIFA(NIDA) kazaliwa Temeke kwenye cheti kazaliwa Morogoro.
Kabisa. Na inawezekana wanafanya hivyo wakijua kuwa wanafanya hivyo kwa malengo hayo.Wanaogeza wigo wa rushwa tu, hakuna lisilowezdkana
Kuna shida kweliLabda, hawataki Watanzania wawe matajiri.
Mawazo ya kijamaa nayo, mhhh!!! Yanahuzunisha na kuchekesha kwa pamoja
Uko sahihiInamaana hata ambaye ana passport lakini imekwisha muda wake,
Atahitaji kusubiri ili apate dhumuni la safari ndy abadilishe passport?
Hivi hawajuwi kama Kazi zingine applications ya Kazi pamoja na cv yanakwenda sambamba na passport copy,,na passport Namba?
Kweli huku ni kupatwa kwa tanzania.
hoja si kuongozwa na mwanamke alichokiongea ndo kipo hivyo hata kabla ya huyo mama kupewa wadhifa huo.kwa walio na passport wanajua ni lazima kwenye ile application form kuna sehemu inauliza dhumuni la safari,aidha kusoma,biashara nk.siyo swala jipya liko miaka nenda rudi.Idara inaongozwa na mwanamke, maamuzi kama hayo siyashangai.
Kwani hakuna hata mtu mmoja mwenye "akili" aliye kwenye mfumo wa maamuzi wa kuwashauri wenzake kuwa hiyo misimamo ilishapitwa na wakati miaka mingi iliyopita?hoja si kuongozwa na mwanamke alichokiongea ndo kipo hivyo hata kabla ya huyo mama kupewa wadhifa huo.kwa walio na passport wanajua ni lazima kwenye ile application form kuna sehemu inauliza dhumuni la safari,aidha kusoma,biashara nk.siyo swala jipya liko miaka nenda rudi.
Mkuu uliendelea kutafuta scholarship?Sisi tunatafuta scholarships, kwenye Application wanataka namba za passport itakuaje
Inawezekana ndiyo lengo kubwa.Bongo bwana, na kwa hatua hii itafanya ili upate pport
Itabidi uhonge.
Ova
Muda muafaka wa kuweka akiba ni wakati huna uhitaji nayo, ukisubiria mpaka umepata shida ndiyo uanze kukusanya Hela, inaweza ikawa ni too late.Sasa utaombaje passport kama huna matumizi nayo?
Si unakua na mpango wa safari ndio unatafuta passport!? Au nakosea ndugu zangu😃😃😃😃