GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Uganda, kwenye fomu yao ya maombi ya passport kuna kipengele kinachosema mtu asikate tiketi ya ndege kabla ya kupata passport.US mbali sana hapo Uganda tu passport sio kitu cha kukutoa jasho
Nchi zinazotuzunguka huulizwi unataka passport ya nini utajijua mradi una kitambulisho cha taifa wanakupa
Kifupi passport ni chanzo kizuri.cha uhakika cha kuingiza mapato ya serikali
Wangesema kila mwenye kitambuñisho cha NIDA achukue passport wangepata mabilioni ya pesa ndani ya muda mfupi tu
Passport haitakiwi tu kwa ajili ya safari wamekaa kizamani mno mitihani mingi ya online hutaka uwe na passport kuna sehemu ya kujaza pia ukiomba scholarship online zinataka ujaze passport details pia ukiomba kazi za nje au tenda nje ya nchi online unatakiwa kujaza passport details
Hata ukienda tu british council ukitaka kufanya mitihani yao online kuna sehemu ya kujaza passport details
Hata ukikutana na mwekezaji wa maonyesho ya biashara wanaokuja nchini ukita kuingia ubia naye au biashara atakudai nyaraka za biashara lakini pia lazima umuonyeshe passport yako achukue details
Uhamiaji wako nyuma mno wanadhani psssport kwa sasa unatakiwa kuwa nayo ukiwa na safari tu!!!
Wizara mpya ya teknolojia hebu nenfeni mkawaeleweshe hao uhamiaji kazi ya passport kwenye ulimwengu wa leo wa kidigitali kawapeni semina hawaelewi wako kule enzi za kutaka passport kwa ajili ya safari
Shule waliyoenda haijawasaidia. Walisoma kwa kukariri, na siyo kuulisha ufahamu ili kumwezesha kuwa mtatuzi wa matatizo.Nchi zinazotuzunguka huulizwi unataka passport ya nini utajijua mradi una kitambulisho cha taifa wanakupa
Kifupi passport ni chanzo kizuri.cha uhakika cha kuingiza mapato ya serikali
Wangesema kila mwenye kitambuñisho cha NIDA achukue passport wangepata mabilioni ya pesa ndani ya muda mfupi tu
Passport haitakiwi tu kwa ajili ya safari wamekaa kizamani mno mitihani mingi ya online hutaka uwe na passport kuna sehemu ya kujaza pia ukiomba scholarship online zinataka ujaze passport details pia ukiomba kazi za nje au tenda nje ya nchi online unatakiwa kujaza passport details
Hata ukienda tu british council ukitaka kufanya mitihani yao online kuna sehemu ya kujaza passport details
Hata ukikutana na mwekezaji wa maonyesho ya biashara wanaokuja nchini ukita kuingia ubia naye au biashara atakudai nyaraka za biashara lakini pia lazima umuonyeshe passport yako achukue details
Uhamiaji wako nyuma mno wanadhani psssport kwa sasa unatakiwa kuwa nayo ukiwa na safari tu!!!
Wizara mpya ya teknolojia hebu nenfeni mkawaeleweshe hao uhamiaji kazi ya passport kwenye ulimwengu wa leo wa kidigitali kawapeni semina hawaelewi wako kule enzi za kutaka passport kwa ajili ya safari
Uko sahihi inatakiwa ku facilitate sio kukwamisha
Mfano unakuta soko mla kahawa Uganda bei nzuri mno kuliko Tanzania lakini ukitaka kupeleka unakwamishwa na watazania wenzetu hawataki uuze huko upate bei nzuri kwa roho mbaya tu
Alafu anaeongea hivyo ni mtu mzima kasoma hajui dunia inakoelekea tunaongozwa na watu wajinga sana na wanaona hatuoni ujinga waoHii ndio taarifa mpya kutoka Uhamiaji iliyotolewa leo na Msemaji wake Paul Mselle.
View attachment 1727162
Paul Mselle amesema haya...
Pasi ya kusafiria ni 'document' ya kiusalama na ni haki ya kiusalama na ni mali ya Serikali, pale ambapo mtu ataitumia vibaya basi anaweza akanyang’anywa
Pasi ya kusafiria sio kitambulisho kusema mtu achukue abaki nayo ndani ni lazima kuwe na dhumuni la safari, kama hauna safari hatuwezi kukupa pasi ya kusafiria
Mtu atakayepoteza Pasi yake ya kusafiria (Passport), itamlazimu kutoa taarifa Polisi pamoja na kutangaza kwenye gazeti na kwamba ni lazima atoe kiasi cha shilingi Laki tano kwa kupoteza Passport hiyo, na ili aweze kupata nyingine.
Kumekuwa na changamoto ya kuchelewa kwa pasi ya kusafiria sababu unakuta mtu hajakamilisha vigezo vya kupata pasi ya kusafiria. Kuna wengine wanawasilisha vyeti vya kuzaliwa ambavyo haviko kwenye mfumo wa RITA na ukimuuliza alikipataje anasema alimtuma mtu kwa maana ya vishoka na hawa unakuta wengine ni raia wa Tanzania na wengine sio raia wa Tanzania
Wengine nao unakuta taarifa za cheti cha kuzaliwa zinatofautiana na taarifa za vitambulisho vya Taifa, unakuta kwenye Kitambulisho cha TAIFA(NIDA) kazaliwa Temeke kwenye cheti kazaliwa Morogoro.
Passport.png
[emoji16]Labda, hawataki Watanzania wawe matajiri.
Mawazo ya kijamaa nayo, mhhh!!! Yanahuzunisha na kuchekesha kwa pamoja
Please sijasema watanzania woteAcha kuwajumuisha watanzania wote. Wewe unajua ni akina nani ? Tusipende kuimba mapambio muda wote.
Hongera hapa ingawa unatusingizia watanzania. [emoji23]
Hii ndio taarifa mpya kutoka Uhamiaji iliyotolewa leo na Msemaji wake Paul Mselle.
View attachment 1727162
Paul Mselle amesema haya...
Pasi ya kusafiria ni 'document' ya kiusalama na ni haki ya kiusalama na ni mali ya Serikali, pale ambapo mtu ataitumia vibaya basi anaweza akanyang’anywa
Pasi ya kusafiria sio kitambulisho kusema mtu achukue abaki nayo ndani ni lazima kuwe na dhumuni la safari, kama hauna safari hatuwezi kukupa pasi ya kusafiria
Mtu atakayepoteza Pasi yake ya kusafiria (Passport), itamlazimu kutoa taarifa Polisi pamoja na kutangaza kwenye gazeti na kwamba ni lazima atoe kiasi cha shilingi Laki tano kwa kupoteza Passport hiyo, na ili aweze kupata nyingine.
Kumekuwa na changamoto ya kuchelewa kwa pasi ya kusafiria sababu unakuta mtu hajakamilisha vigezo vya kupata pasi ya kusafiria. Kuna wengine wanawasilisha vyeti vya kuzaliwa ambavyo haviko kwenye mfumo wa RITA na ukimuuliza alikipataje anasema alimtuma mtu kwa maana ya vishoka na hawa unakuta wengine ni raia wa Tanzania na wengine sio raia wa Tanzania
Wengine nao unakuta taarifa za cheti cha kuzaliwa zinatofautiana na taarifa za vitambulisho vya Taifa, unakuta kwenye Kitambulisho cha TAIFA(NIDA) kazaliwa Temeke kwenye cheti kazaliwa Morogoro.
Passport.png
Nchi nzuri sana hii, SEMA tu baadhi ya "wajinga" wanajitahidi kuidunisha.Nchi hovyo sana hii
Ujinga ni kitu kisichofichikaAlafu anaeongea hivyo ni mtu mzima kasoma hajui dunia inakoelekea tunaongozwa na watu wajinga sana na wanaona hatuoni ujinga wao
Hii ndio taarifa mpya kutoka Uhamiaji iliyotolewa leo na Msemaji wake Paul Mselle.
View attachment 1727162
Paul Mselle amesema haya...
Pasi ya kusafiria ni 'document' ya kiusalama na ni haki ya kiusalama na ni mali ya Serikali, pale ambapo mtu ataitumia vibaya basi anaweza akanyang’anywa
Pasi ya kusafiria sio kitambulisho kusema mtu achukue abaki nayo ndani ni lazima kuwe na dhumuni la safari, kama hauna safari hatuwezi kukupa pasi ya kusafiria
Mtu atakayepoteza Pasi yake ya kusafiria (Passport), itamlazimu kutoa taarifa Polisi pamoja na kutangaza kwenye gazeti na kwamba ni lazima atoe kiasi cha shilingi Laki tano kwa kupoteza Passport hiyo, na ili aweze kupata nyingine.
Kumekuwa na changamoto ya kuchelewa kwa pasi ya kusafiria sababu unakuta mtu hajakamilisha vigezo vya kupata pasi ya kusafiria. Kuna wengine wanawasilisha vyeti vya kuzaliwa ambavyo haviko kwenye mfumo wa RITA na ukimuuliza alikipataje anasema alimtuma mtu kwa maana ya vishoka na hawa unakuta wengine ni raia wa Tanzania na wengine sio raia wa Tanzania
Wengine nao unakuta taarifa za cheti cha kuzaliwa zinatofautiana na taarifa za vitambulisho vya Taifa, unakuta kwenye Kitambulisho cha TAIFA(NIDA) kazaliwa Temeke kwenye cheti kazaliwa Morogoro.
Passport.png
Hivi na UHAMIAJI ni miongoni mwa taasisi zilizowahi kutajwa kukidhiri kwa rushwa?Ukishaona nchi inaweka vikwazo vya kipumbavu hata kupata passport basi nchi inaelekea kufeli. Hapo wanatengeneza mifumo ilo rushwa itembee wajinga tu
Globalisation hawaelewi hata maana yakr niniShule waliyoenda haijawasaidia. Walisoma kwa kukariri, na siyo kuulisha ufahamu ili kumwezesha kuwa mtatuzi wa matatizo.
Utafikiri watu hawafikirii, unaona wakati mwingine bora hata na robort.
Mkuu, utafiti wangu usio rasmi umenibainishia kuwa kuna baadhi ya watu walioenda shule na kupata mavyeti kibao lakini vichwani weupe.Alafu anaeongea hivyo ni mtu mzima kasoma hajui dunia inakoelekea tunaongozwa na watu wajinga sana na wanaona hatuoni ujinga wao
Dah!..hii sio poa kabisaPasi ya kusafiria sio kitambulisho kusema mtu achukue abaki nayo ndani ni lazima kuwe na dhumuni la safari, kama hauna safari hatuwezi kukupa pasi ya kusafiria
Kifupi wewe kama uko serikalini kikazi una mawazo ya kizee hujastaafu tu kikongwe mjinga weweKwani nini maani ya Pass- Port...,
Kwahio ndio hivyo ukitaka Passport hautanyimwa bali lazima uwe na nia ya kusafiri, na kinachotakiwa ni barua tu kama procedure kwamba unataka kusafiri kwenda sehemu fulani kwa sababu fulani.