Uhamiaji Tanzania: Bila dhumuni la safari hakuna kupewa pasi ya kusafiria (Passport)

Uhamiaji Tanzania: Bila dhumuni la safari hakuna kupewa pasi ya kusafiria (Passport)

Nchi zinazotuzunguka huulizwi unataka passport ya nini utajijua mradi una kitambulisho cha taifa wanakupa


Kifupi passport ni chanzo kizuri.cha uhakika cha kuingiza mapato ya serikali

Wangesema kila mwenye kitambuñisho cha NIDA achukue passport wangepata mabilioni ya pesa ndani ya muda mfupi tu

Passport haitakiwi tu kwa ajili ya safari wamekaa kizamani mno mitihani mingi ya online hutaka uwe na passport kuna sehemu ya kujaza pia ukiomba scholarship online zinataka ujaze passport details pia ukiomba kazi za nje au tenda nje ya nchi online unatakiwa kujaza passport details

Hata ukienda tu british council ukitaka kufanya mitihani yao online kuna sehemu ya kujaza passport details

Hata ukikutana na mwekezaji wa maonyesho ya biashara wanaokuja nchini ukita kuingia ubia naye au biashara atakudai nyaraka za biashara lakini pia lazima umuonyeshe passport yako achukue details


Uhamiaji wako nyuma mno wanadhani psssport kwa sasa unatakiwa kuwa nayo ukiwa na safari tu!!!

Wizara mpya ya teknolojia hebu nenfeni mkawaeleweshe hao uhamiaji kazi ya passport kwenye ulimwengu wa leo wa kidigitali kawapeni semina hawaelewi wako kule enzi za kutaka passport kwa ajili ya safari

Nchi zinazotuzunguka huulizwi unataka passport ya nini utajijua mradi una kitambulisho cha taifa wanakupa


Kifupi passport ni chanzo kizuri.cha uhakika cha kuingiza mapato ya serikali

Wangesema kila mwenye kitambuñisho cha NIDA achukue passport wangepata mabilioni ya pesa ndani ya muda mfupi tu

Passport haitakiwi tu kwa ajili ya safari wamekaa kizamani mno mitihani mingi ya online hutaka uwe na passport kuna sehemu ya kujaza pia ukiomba scholarship online zinataka ujaze passport details pia ukiomba kazi za nje au tenda nje ya nchi online unatakiwa kujaza passport details

Hata ukienda tu british council ukitaka kufanya mitihani yao online kuna sehemu ya kujaza passport details

Hata ukikutana na mwekezaji wa maonyesho ya biashara wanaokuja nchini ukita kuingia ubia naye au biashara atakudai nyaraka za biashara lakini pia lazima umuonyeshe passport yako achukue details


Uhamiaji wako nyuma mno wanadhani psssport kwa sasa unatakiwa kuwa nayo ukiwa na safari tu!!!

Wizara mpya ya teknolojia hebu nenfeni mkawaeleweshe hao uhamiaji kazi ya passport kwenye ulimwengu wa leo wa kidigitali kawapeni semina hawaelewi wako kule enzi za kutaka passport kwa ajili ya safari
Shule waliyoenda haijawasaidia. Walisoma kwa kukariri, na siyo kuulisha ufahamu ili kumwezesha kuwa mtatuzi wa matatizo.

Utafikiri watu hawafikirii, unaona wakati mwingine bora hata na robort.
 
Ukishaona nchi inaweka vikwazo vya kipumbavu hata kupata passport basi nchi inaelekea kufeli. Hapo wanatengeneza mifumo ilo rushwa itembee wajinga tu
 
Uko sahihi inatakiwa ku facilitate sio kukwamisha
Mfano unakuta soko mla kahawa Uganda bei nzuri mno kuliko Tanzania lakini ukitaka kupeleka unakwamishwa na watazania wenzetu hawataki uuze huko upate bei nzuri kwa roho mbaya tu

Acha kuwajumuisha watanzania wote. Wewe unajua ni akina nani ? Tusipende kuimba mapambio muda wote.

Hongera hapa ingawa unatusingizia watanzania. [emoji23]
 
Hii ndio taarifa mpya kutoka Uhamiaji iliyotolewa leo na Msemaji wake Paul Mselle.
View attachment 1727162
Paul Mselle amesema haya...

Pasi ya kusafiria ni 'document' ya kiusalama na ni haki ya kiusalama na ni mali ya Serikali, pale ambapo mtu ataitumia vibaya basi anaweza akanyang’anywa

Pasi ya kusafiria sio kitambulisho kusema mtu achukue abaki nayo ndani ni lazima kuwe na dhumuni la safari, kama hauna safari hatuwezi kukupa pasi ya kusafiria

Mtu atakayepoteza Pasi yake ya kusafiria (Passport), itamlazimu kutoa taarifa Polisi pamoja na kutangaza kwenye gazeti na kwamba ni lazima atoe kiasi cha shilingi Laki tano kwa kupoteza Passport hiyo, na ili aweze kupata nyingine.

Kumekuwa na changamoto ya kuchelewa kwa pasi ya kusafiria sababu unakuta mtu hajakamilisha vigezo vya kupata pasi ya kusafiria. Kuna wengine wanawasilisha vyeti vya kuzaliwa ambavyo haviko kwenye mfumo wa RITA na ukimuuliza alikipataje anasema alimtuma mtu kwa maana ya vishoka na hawa unakuta wengine ni raia wa Tanzania na wengine sio raia wa Tanzania

Wengine nao unakuta taarifa za cheti cha kuzaliwa zinatofautiana na taarifa za vitambulisho vya Taifa, unakuta kwenye Kitambulisho cha TAIFA(NIDA) kazaliwa Temeke kwenye cheti kazaliwa Morogoro.

Passport.png
Alafu anaeongea hivyo ni mtu mzima kasoma hajui dunia inakoelekea tunaongozwa na watu wajinga sana na wanaona hatuoni ujinga wao
 
Kwa utaratibu huu wanapoteza mapato mengi sana. Fikiria gharama za passport kisha uhimize kila raia awe nayo, walau hata milioni 8 tu.
Lakini pia kuwa na passport inaongeza hata usalama wa nchi.
 
Acha kuwajumuisha watanzania wote. Wewe unajua ni akina nani ? Tusipende kuimba mapambio muda wote.

Hongera hapa ingawa unatusingizia watanzania. [emoji23]
Please sijasema watanzania wote

Umeona neno wote hapo?

Wakwamishaji ni baadhi ya maafisa wa serikali ambao wanafumbiwa macho na baadhi ya maafisa wa serikali kuanzia ngazi za chini hadi juu wasiopenda maendeleo ya mtu wa chini au kuendekeza rushwa au tu kwa ubabe wao wa kijinga usio na maslahi kwa nchi
 
Hii ndio taarifa mpya kutoka Uhamiaji iliyotolewa leo na Msemaji wake Paul Mselle.
View attachment 1727162
Paul Mselle amesema haya...

Pasi ya kusafiria ni 'document' ya kiusalama na ni haki ya kiusalama na ni mali ya Serikali, pale ambapo mtu ataitumia vibaya basi anaweza akanyang’anywa

Pasi ya kusafiria sio kitambulisho kusema mtu achukue abaki nayo ndani ni lazima kuwe na dhumuni la safari, kama hauna safari hatuwezi kukupa pasi ya kusafiria

Mtu atakayepoteza Pasi yake ya kusafiria (Passport), itamlazimu kutoa taarifa Polisi pamoja na kutangaza kwenye gazeti na kwamba ni lazima atoe kiasi cha shilingi Laki tano kwa kupoteza Passport hiyo, na ili aweze kupata nyingine.

Kumekuwa na changamoto ya kuchelewa kwa pasi ya kusafiria sababu unakuta mtu hajakamilisha vigezo vya kupata pasi ya kusafiria. Kuna wengine wanawasilisha vyeti vya kuzaliwa ambavyo haviko kwenye mfumo wa RITA na ukimuuliza alikipataje anasema alimtuma mtu kwa maana ya vishoka na hawa unakuta wengine ni raia wa Tanzania na wengine sio raia wa Tanzania

Wengine nao unakuta taarifa za cheti cha kuzaliwa zinatofautiana na taarifa za vitambulisho vya Taifa, unakuta kwenye Kitambulisho cha TAIFA(NIDA) kazaliwa Temeke kwenye cheti kazaliwa Morogoro.

Passport.png

Tupeni nchi yetu Zanzibar, tumechoka na uvamizi, mbaki na passport zenu makabatini .
 
Pasipoti ndio nin?au kale kakitabu kalichoandikwa agano jipya?
 
Hii ndio taarifa mpya kutoka Uhamiaji iliyotolewa leo na Msemaji wake Paul Mselle.
View attachment 1727162
Paul Mselle amesema haya...

Pasi ya kusafiria ni 'document' ya kiusalama na ni haki ya kiusalama na ni mali ya Serikali, pale ambapo mtu ataitumia vibaya basi anaweza akanyang’anywa

Pasi ya kusafiria sio kitambulisho kusema mtu achukue abaki nayo ndani ni lazima kuwe na dhumuni la safari, kama hauna safari hatuwezi kukupa pasi ya kusafiria

Mtu atakayepoteza Pasi yake ya kusafiria (Passport), itamlazimu kutoa taarifa Polisi pamoja na kutangaza kwenye gazeti na kwamba ni lazima atoe kiasi cha shilingi Laki tano kwa kupoteza Passport hiyo, na ili aweze kupata nyingine.

Kumekuwa na changamoto ya kuchelewa kwa pasi ya kusafiria sababu unakuta mtu hajakamilisha vigezo vya kupata pasi ya kusafiria. Kuna wengine wanawasilisha vyeti vya kuzaliwa ambavyo haviko kwenye mfumo wa RITA na ukimuuliza alikipataje anasema alimtuma mtu kwa maana ya vishoka na hawa unakuta wengine ni raia wa Tanzania na wengine sio raia wa Tanzania

Wengine nao unakuta taarifa za cheti cha kuzaliwa zinatofautiana na taarifa za vitambulisho vya Taifa, unakuta kwenye Kitambulisho cha TAIFA(NIDA) kazaliwa Temeke kwenye cheti kazaliwa Morogoro.

Passport.png

Afrika tuna safari kubwa kwa akili hizi
 
Ukishaona nchi inaweka vikwazo vya kipumbavu hata kupata passport basi nchi inaelekea kufeli. Hapo wanatengeneza mifumo ilo rushwa itembee wajinga tu
Hivi na UHAMIAJI ni miongoni mwa taasisi zilizowahi kutajwa kukidhiri kwa rushwa?

Kama na yenyewe imo, huna haha ya kushangaa. Ni BUSINESS AS USUAL!
 
Shule waliyoenda haijawasaidia. Walisoma kwa kukariri, na siyo kuulisha ufahamu ili kumwezesha kuwa mtatuzi wa matatizo.

Utafikiri watu hawafikirii, unaona wakati mwingine bora hata na robort.
Globalisation hawaelewi hata maana yakr nini

Ni kuwa you open up foreigners waje iwe kutalii,kuwekeza, etc

Lakini Globalisation sio one way traffic na wewe immigration Tanzania inatakiwa urahisishe upatikanaji passport wananchi wako pia waende nje kutafuta fursa

Fursa hufuatwa husubiri nyumbani

Sasa ukisema ohh nitakupa passport ukishapata fursa hivi akili mtoa passport anazo kichwani kweli? Toka lini fursa inakufuata sio unaifuata huko iliko?
 
Kwani nini maani ya Pass- Port...,

Kwahio ndio hivyo ukitaka Passport hautanyimwa bali lazima uwe na nia ya kusafiri, na kinachotakiwa ni barua tu kama procedure kwamba unataka kusafiri kwenda sehemu fulani kwa sababu fulani.

Sioni tatizo sababu kuna loopholes nyingi kama unaenda kutembea utaambatanisha barua ya mwaliko kama kutembea kama mtalii utaambatanisha bank statement yako kwamba una uwezo, kama unatumwa kwenda kuangalia bidhaa za biashara utaweka barua ya mwenye biashara anakufadhili, kama ni scholarship utaambatanisha maelezo...

Hili sio jipya ni moja ya Vigezo vya uhamiaji walivyojiwekea; after all Passport kazi yake ni hio kupita border / port; kama ni ID nyingine hizo zipo pia na kwa kazi yake husika
 
Alafu anaeongea hivyo ni mtu mzima kasoma hajui dunia inakoelekea tunaongozwa na watu wajinga sana na wanaona hatuoni ujinga wao
Mkuu, utafiti wangu usio rasmi umenibainishia kuwa kuna baadhi ya watu walioenda shule na kupata mavyeti kibao lakini vichwani weupe.

Lakini kuna wengine, japo wanaweza wakawa na vyeti vya kawaida ila upstairs kunasoma vizuri.

Matendo ya mtu ndiyo yanayothibitisha kiwango chake cha hekima au upumbavu.
 
Kwani nini maani ya Pass- Port...,

Kwahio ndio hivyo ukitaka Passport hautanyimwa bali lazima uwe na nia ya kusafiri, na kinachotakiwa ni barua tu kama procedure kwamba unataka kusafiri kwenda sehemu fulani kwa sababu fulani.
Kifupi wewe kama uko serikalini kikazi una mawazo ya kizee hujastaafu tu kikongwe mjinga wewe

Hata huelewi dunia ilipo

Passport ukitaka kufanya hata mitihani ya kimataifa online ukiwa Tanzania lazima uwe na passport hata ukiomba kazi au scholarship,online kimataifa au tenda kimataifa online lazima uwe na passport

Vizee kama nyinyi hopeless kabisa tokeni maofisini mkalee vijukuu vyenu huko

Pisheni vijana washike nafasi

Upumbavu wenu wa kizee pelekeni kwa vijukuu vyenu pisheni vijana

Vijana washike
 
Back
Top Bottom