Uhamiaji Tanzania: Bila dhumuni la safari hakuna kupewa pasi ya kusafiria (Passport)

Ukirudia kusoma niliyoandika wala usingeandika ulichoandika...., Kuomba scholarship, kazi nje sio dhumuni la kusafiri ?

Au unadhani nini maana ya dhumuni ?, Kwamba uombe kazi nje alafu ukipata uifanye remotely bila kusafiri ? Hivyo utaandika barua na reason ni hiyo kwamba kulingana na qualification zako kuna kazi fulani ambayo kuipata utahitaji passport na unaomba upewe..., hata ukikosa hii kazi sababu unaendelea kutafuta next time wala hautahitaji kuomba tena (utakuwa nayo)
 
Kifupi wewe kizee akili huna National ID yaweza hata tumika kwenda Zambia au Malawi?

National Id mwisho Tanzania haivuki mpaka Tanzania wala online kimataifa

Immigration itabadilika vizee vikongwe vya kike na kiume vilivyoajiriwa kipindi cha Nyerere vikiondoka hopeless kabisa

Na havina muda mrefu vitastaafu viachie vijana ndio twaweza ongea nao lugha moja
Vimebaki vikongwe hivyo vichache vitastaafu muda si mrefu vikalee vijukuu vyao vijana wa take over waelewa

Tuvute subira

Tuvivumilie hivyo vizee hopeless vya kike na kiume vilivyoajiriwa kipindi cha Nyerere viondoke sababu haviko flexible na havielewi dunia iendako havina muda vitastaafu
 
Duh , hata wewe! Kweli kuishi kwingi kuona mengi! Je unaonaje kwa chama chakavu kilichozeeka kisichoelewa dunia ilipo?

Kwa nini hukishauri chama jinga na kikongwe CCM kustaafu?Kwa kweli adui namba wani wa taifa letu pendwa ni CCM!
[emoji38][emoji38][emoji38]

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Kuomba kazi muda mwingine unakuta ni mchakato ambao una muda mfupi sasa uanze kufuatilia passport. Hivi kwnai shida iko wapi mtu kumpa passport as long as ni mtanzania na amelipa pesa. Safari imaweza kuwa wakati wowote na ni ghafla. Umepata zali la kazo ghafla unasepa tu.
Haya mambo ya kufanya complication katika kila jambo ndilo linafanya kuwepo na mianya ya rushwa. Wametoa tangazo ila ukiwa na ela hiyo passport hata bila safari unaipata ndani ya siku 3 kwa kutoa rushwa.
Mawazo ya ujima haya
 
sasa USA kupata passport kwa mhitaji inachukua muda gani ? sasa linganisha na Tanzania

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 

Passport ni haki ya mtu kuwa nayo nyumbani. Nimetembelea nchi nyingi na raia wao wanapewa passport hata bila kusafiri. Wakati Maalim Seif alipokuwa Waziri kiongozi alisema wazi kuwa kila mtu anayo haki ya kuwa na passport nyumbani hata Kama husafiri. Na Mimi mwenyewe nilichukuwa passport wakati Huo. CCM kwenye mambo ya passport kuwadhibiti watu hayakuanza Leo. Wakati wa Nyerere ndiyo ilikuwa ukipata Passport ukionekana ni mwanamume. Ikiwa nchi nyingi tumewekewa viza, Muna wasiwasi gani kuwapa watu passport ? Kama si ujinga na Roho mbaya ni kitu gani ??
Ndiyo nikasema tupeni nchi yetu ya Zanzibar mliyoivamia tuwaonyeshe namna nchi inavyoongozwa. Wacheni kuwapa shida watu na Roho zenu mbaya. Kama vile nchi ni Mali yenu
 
Kifupi wewe kizee akili huna National ID yaweza hata tumika kwenda Zambia au Malawi?
Wewe mwenye akili ukitaka kwenda Zambia au Malawi hilo sio dhumuni la kusafiri
National I'd mwisho Tanzania haivuki mpaka Tanzania wala online kimataifa
Nimekwambia wewe unayesema unataka kufanya mitihani online (kama requirement ni kujulikana wewe matanzania ni ID gani inakutambulisha kwamba wewe ni Mtanzania) ?

Na kama haitambuliki kimataifa hio ni kosa la nani ? Na kurectify hilo ni kufanya Passport iwe ndio National ID na sio kwamba kufanya National ID itambulike ?
Hapa sina la kujibu sababu naona hoja imeamia kwenye uzembe wa vizee; na mtu anayedharau wazee wakati ndipo anapoelekea ni kumuonea huruma sababu kama nilivyosema upeo wake huenda ni mrefu kama pua yake...
 
Hao vijana ndo pasua kichwa hatari mie leo nmepasuliwa mpaka basi sababu ya uraia
Na nmeenda na viambatanisho vyote
 


 
Kuna mtu, nafikiri Mnigeria, alitaka kumkatia mtoto wake aliyekuwa hajazaliwa. Changamoto ilikuja kwenye picha, ilihitajika picha ya mtoto. Sijui kama alilifanikisha kabla ya kuzaliwa.

Kama nchi zingine passport zinaweza zikatolewa hata kwa watoto waliopo tumboni, kwa nini Watanzania wote watu wazima wenye uwezo wa kulipia wasipewe?
 

Haina maana yoyote kwako zaidi ya international safari, but with people going into international hotels and international deals , passport number is an essential!
Mimi naamini ni faida sana endapo watu wengi watapewa passport.

Je! Kuna hasara gani kwa upande wa Serikali endapo watu wote watapewa passport?

Au Serikali inahofia kuwa watu wote watasafiri na hivyo kodi kupungua?
 
Kuomba kazi muda mwingine unakuta ni mchakato ambao una muda mfupi sasa uanze kufuatilia passport.
Again ku-solve tatizo ambalo halipo badala ya ku-solve tatizo; kwahio hapa tatizo ni kufuatilia passport (machakato sio rafiki) lakini tatizo sio requirement / dhumuni ambalo ni kusafiri....;
Hivi kwnai shida iko wapi mtu kumpa passport as long as ni mtanzania na amelipa pesa. Safari imaweza kuwa wakati wowote na ni ghafla. Umepata zali la kazo ghafla unasepa tu.
Kama wewe unaweza kupata zali na unashindwa kusema requirement / kuweka attachment ya sababu ya kwanini unataka passport (kusafiri kwenda wapi, hata kama hautasafiri) nadhani hata hilo zali ulilolipata ukifika huko utafeli...., Kwahio hapa tungelaumu mchakato lakini sio ukweli kwamba hicho unachokiomba kazi yake ni kusafiri (kwahio unapewa kwa dhumuni hilo)
Haya mambo ya kufanya complication katika kila jambo ndilo linafanya kuwepo na mianya ya rushwa. Wametoa tangazo ila ukiwa na ela hiyo passport hata bila safari unaipata ndani ya siku 3 kwa kutoa rushwa.
Mawazo ya ujima haya
Again tatua tatizo lililopo ambalo ni Rushwa na mchakato usio rafiki, ila sio requirement ya kuelezea dhumuni
 
Mimi naamini ni faida sana endapo watu wengi watapewa passport.
Hakuna mtu akiamua kupata passport anaikosa, dhumuni sio lazima utekeleze unaweza kuomba passport kwa kusema unategemea kwenda Kenya labda kuangalia bidhaa za Biashara sio lazima uende ingawa ulikuwa na hilo dhumuni na sio kwamba utanyanganywa baadae
Je! Kuna hasara gani kwa upande wa Serikali endapo watu wote watapewa passport?
Kwahio una-suggest zipewe bure (which is good) au watu walazimishwe kununua (which is insanity) au unamaanisha nini kwa neno wote ?
Au Serikali inahofia kuwa watu wote watasafiri na hivyo kodi kupungua?
Watu wote wakisafiri hata matumizi ya hiyo kodi yatapungua pia..., na unless kumetokea vita au hali ya hatari hakuna scenario ya kila mtu atasafiri (ukizingatia safari ni gharama)
 
Passport nii kama mkulima na jembe,
.huwezisema wewe mkulima wakati hata jembe nyumbani huna.

Ifike mahali tuache USHAMBA ..
Passport sio big deal kuwabana raia kusafiri.

Kama hoja za serikali ni passport kupoteza au kutokuitumia kwa wakati hilo sio jukumu la serikali.,,
Kwani passport ikipotea na renew bure?.
 
Laba Serikali haipendi watu wake watambulike kimataifa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…