Uhamiaji Tanzania, lisaidieni Taifa kuhusu Yusuf Manji. Ni raia wa Tanzania au Marekani?

Uhamiaji Tanzania, lisaidieni Taifa kuhusu Yusuf Manji. Ni raia wa Tanzania au Marekani?

Naandika hoja hii hapa kufuatia mijadala inayoendelea mitandaoni kuhusu tafsiri ya uraia wa Bw. Manji. Naamini amekuja nchini kuendeleza miradi yake lakini pia ameletwa na mfumo kwa ajili yakurejesha imani ya wageni waweze kurejea nchini baada ya miaka kadhaa diplomasia yetu kimataifa kuwa na mrengo usioelewe.

Lakini nakumbuka Mara ya mwisho alikuwa raia wa Marekani na alipoondoka hapa alikwenda kuishi Marekani. Leo tunaambiwa karudi,well and good. Ila karudi Kama raia wa nchi gani?

Ni vyema Uhmiaji wakatoka adharani na kutuambia huyu Bwana ni Raia wa Tanzania, ni Raia wa Marekani au amepewa uraia pacha japo hakuna sheria inayompa uraia pacha kwa umri ule. Kukaa kimya kwa Uhamiaji, kukaa kimya kwa wizara ya mambo ya nje inayosimamia Ubalozi wetu wa Marekani ambao naamini wanahaki yakujua taarifa za uraia wa huyu mtu nikumfanya Mhe. Rais amwamini nakumshirikisha huyu Bwana akiamini ni Mtanzania kumbe sivyo.

Haya siyo mawazo yangu haya ni mawazo ya wanetu wanaoishi nje na ambao kwa bahati mbaya waliukana Utanzania wakapata uraia wa nje na Sasa awawezi kuupata tena Utanzania. Wanauliza Mbona Kuna tetesi kwamba Manji naye aliukataa Utanzania Kama Singo nakubaki na Umarekani, kwanini mitandao iandike yeye ni Mtanzania? Na Kama ana haki ya Utanzania mbona juzi Kati Mmarekani Mtanzania mwana Diaspora alipoteuliwa na Rais mitandao ikahoji inakuwaje Mmarekani anateuliwa na Rais, kwanini uteuzi wake ulifutwa japo kimya kimya?

Naamini kwa mwandiko wangu mchafu na ujinga wangu kwenye taaluma ya Uraia nimefungua mjadala kuwawezesha viongozi wetu kudemka na kucheza kwa kuzingatia due diligence kwa binadamu hawa wenye matatizo ya Uraia.

Uraia wetu ni zaidi ya fedha za mtu, ni zaidi ya rasilimali zetu hivyo tuitekenye sheria ya Uraia kwa ueledi itusaidie kuwadhibiti wasio Watanzania kujipa Utanzania wa muda.

Naamini tukiziba masikio nakuona potentiality ya Manji leo kuliko kuangalia Kwanza uraia wake tutafungua mjadala mkubwa huko mbeleni ambao utaligawa Taifa. Tujadiliane, tufunguane macho,tuelimishane na tumsaidie Rais na viongozi wengine kulitumikia Taifa kwa misingi Bora. Tusipowaambia tukaamini wanajua tutakua hatulitendei haki Taifa letu.

Uhamiaji tunawaomba mtoke adharani mseme ni raia au siyo raia. Msifanye Siri na msikubali kuambiwa na mwanasiasa nini mseme zingatieni sheria kumshauri mkuu wa nchi kwa lengo lakumwezesha afanye biashara,amtumie huyu mwekezaji na aruhusu taasisi nyingine kushiriakiana naye kwa hadhi sahihi ya Uraia siyo kwa adhi ya muda ambayo Samia akiondoka au kabla hajaondoka wanaweza kuibuka watu wakaiumbua serikali.

Nimechokonoa, endeleeni kutufunda.
Bunge tungeni sheria inayoruhusu uraia pacha,ili nchi iweze kufaidika na diaspora wanaoshindwa kuwekeza nyumbani kwa ajili ya suala LA uraia pacha.
 
Tuache ushabiki hili suala linahitaji majibu wajameni manguli wa sheria mko wapi.

Kweli ujinga Kipaji, nguli wa sheria anasaidia nini? Na haya yana impact gani kwenye maisha yako au ya Mtanzania? Kweli umaskini ni kujitakia !
 
How does that concerns you? Ndo maana Tunabaki kuwa maskini’
Ni Haki yake kuuliza na inamhusu sana.
Mbona watu wengi tu wameteswa na hii Serikali iliyopita lakini hawakuondoka nchini?
Na wale walioondoka tulipewa taarifa zao kama wakimbizi wahanga wa Magufuli
Huyu Manji yeye hatujapewa taarifa yeyote.
So alichouliza huyu ni kutaka kujua
Je Manji ni Raia?
Au ni Mgeni aliyewekeza Nchini?
 
Ni Haki yake kuuliza na inamhusu sana.
Mbona watu wengi tu wameteswa na hii Serikali iliyopita lakini hawakuondoka nchini?
Na wale walioondoka tulipewa taarifa zao kama wakimbizi wahanga wa Magufuli
Huyu Manji yeye hatujapewa taarifa yeyote.
So alichouliza huyu ni kutaka kujua
Je Manji ni Raia?
Au ni Mgeni aliyewekeza Nchini?
Nani alipaswa kukupa taarifa hiyo?
 
Wahindi wengi wanauraia wa nch mbili kwa siri serikali isilifumbie macho jambo hili maana kuna siku wataingia mpaka nyeti za serikali na kuuza taaarifa za siri ya nchi
Sera ya INDIA ni kama uchina,israel kuwa ukiwa ni mhindi unayohaki ya kuzuru,kuishi na kunufaika na India.Hiii kitu inaiingizia INDIA fedha nyingi sana kwa sababu imekua ndio chanzo kikubwa cha Export yao.Wahindi wote hawapati vizuizi vya biashara wakiwa India.Nchi yoyte ikimtendea vibaya mhindi huhesabika umemtendea vibaya mtu wao kama iwe ana maslahi ya moja kwa moja au la.
 
Mwekezaji mtanzania amerudi nyumbani kwake unahoji badala ya kufurahi ili ajira na kodi iongezeke?
Kenya , Rwanda , uganda wanamuhitaji huyu
 
Naomba kuongeza Jambo hapo, wanaotoa ajira Tanzania siyo Watanzania pekee hivyo Manji awe Mtanzania au Mmarekani akiwa na dhamira ya kuwekeza Tanzania ataajiri Watanzania tu.

Hoja iliyopo hapa na ipo kwa Watanzania wengi wenye utata wa Uraia Ni hii, ukiwekeza Tanzania Kama Mtanzania Ni tofauti na kuwekeza Tanzania Kama mgeni. Utaratibu wakufungua Kampuni upo tofauti,utaratibu wa ukaazi upo tofauti na kila Jambo unalofanya linaangaliwa kwa jicho tofauti la kisheria.

Mfano. Mgeni tartibu za kumiliki ardhi zipo tofauti na Mtanzania na ndio maana Wapo Wageni wanaokuja hapa kuomba ardhi then anaitumia hati miliki ya ardhi kwenda kwao kukopa nakuja kuwekeza. Hivyo Uraia ni components sensitive sana kuliko mwonekano wa nje wa mtu.

Lakini pia pamoja na yote lazima tukubali kuwa Tanzania ya Sasa inatakiwa kuwa nchi yakutoa majibu sahihi kwa raia wake siyo majibu ya kijanja kijanja. Huyu Bwana alituhumiwa na wanaomfahamu wanaeleza kuwa yeye na mama yake Wana Uraia wa Marekana na ukiukana Uraia wa Tanzania hasa mwanaume hakuna namna sheria inaruhusu kuurudia Tena labda tubadili sheria. Hasa Kama wanyamweze, wapare, wandengereko nk waliokuna Utanzania wanaingia nchini wanalipa visa, wanalipa vibali vya kuishi nchini Kama wageni na uwekezaji wao unatathiminiwa kwa ugeni wao ikiwemo wanapotaka kufungua Kampuni lazima wawe na share holder Mtanzania ! Manji yeye anaexption gani kushugulikia kama weusi wengine?

Tusitengeneza ubaguzi kwa kuangalia uwekezaji, Tanzania hii ni Mali yetu so kila mtu ashughulikiwe kwa mujibu wa sheria zinavyotaka kuepusha mgawanjiko wa rangi au kabila au uwezo wa kiuchumi.

Nimetoa Mfano Jana; yupo Mtu alishiriki Bunge la Katiba la Tanzania akiwa raia wa Marekani bila kubainika. Juzi Kati Mhe. Rais alipomteua kwa nafasi flani wenzake walieleza huyo siyo raia wa Tanzania na ni kweli inadaiwa huyo Bwana alibainika siyo na hivyo uteuzi wake kutenguliwa. Ni kwa sababu Ni kinyume Cha sheria kumteua mgeni kwenye nafasi ya Mtanzania.

So Duniani kote Uraia ni makaratasi na hatuwezi kuyabeza tujibu hoja.

Manji Ni. Raia wa wapi?
 
Mtu kazaliwa Tanzania 🇹🇿 halafu leo unataka kumwita Mmarekani kwasababu ya kibali. Watanzania ni wajinga sana wakati mwingine utu wa mtu sio makaratasi yake.

Kila Mtanzania anajijua popole alipo mimi nimekaa US miaka 20 lakini mpaka leo wanasema mimi ni Mtanzania hakuna mtu anaweza kunitaja bila kuhusisha na Utanzania wangu maana Utanzania ni utu sio makaratasi siku hizi ndiyo watu wanataka kubadilisha Utanzania kuwa vitabu na vibali.

Mtu kazaliwa Tanzania ni Mtanzania awe na passport ni mambo ya sheria tu na yanabadilika kila siku lakini Manji ni Mtanzania na hakuna binadamu anaweza kubadilisha hilo passsport unapewa na watu lakini utaifa unapewa na Mungu.
Umenena vyema. Lukaku naye watasema mbeligiji! Yale makaratasi tu
 
“Haya siyo mawazo yangu haya ni mawazo ya wanetu wanaoishi nje na ambao kwa bahati mbaya waliukana Utanzania wakapata uraia wa nje na Sasa awawezi kuupata tena Utanzania.”

Mkuu, kwa uelewa wangu kuukana uraia haimaanishi hutarudi tena kuomba uraia. Yaani kuukana uraia wa Tanzania 🇹🇿 haimaanishi badae ukitaka kuomba utazuiwa kisa ulikana
Marekani wanaruhusu uraia pacha, na kwahiyo sidhani kama unaukana uraia wa Tanzania kama ukipata wa Marekani.
 
Naomba kuongeza Jambo hapo, wanaotoa ajira Tanzania siyo Watanzania pekee hivyo Manji awe Mtanzania au Mmarekani akiwa na dhamira ya kuwekeza Tanzania ataajiri Watanzania tu.

Hoja iliyopo hapa na ipo kwa Watanzania wengi wenye utata wa Uraia Ni hii, ukiwekeza Tanzania Kama Mtanzania Ni tofauti na kuwekeza Tanzania Kama mgeni. Utaratibu wakufungua Kampuni upo tofauti,utaratibu wa ukaazi upo tofauti na kila Jambo unalofanya linaangaliwa kwa jicho tofauti la kisheria.

Mfano. Mgeni tartibu za kumiliki ardhi zipo tofauti na Mtanzania na ndio maana Wapo Wageni wanaokuja hapa kuomba ardhi then anaitumia hati miliki ya ardhi kwenda kwao kukopa nakuja kuwekeza. Hivyo Uraia ni components sensitive sana kuliko mwonekano wa nje wa mtu.

Lakini pia pamoja na yote lazima tukubali kuwa Tanzania ya Sasa inatakiwa kuwa nchi yakutoa majibu sahihi kwa raia wake siyo majibu ya kijanja kijanja. Huyu Bwana alituhumiwa na wanaomfahamu wanaeleza kuwa yeye na mama yake Wana Uraia wa Marekana na ukiukana Uraia wa Tanzania hasa mwanaume hakuna namna sheria inaruhusu kuurudia Tena labda tubadili sheria. Hasa Kama wanyamweze, wapare, wandengereko nk waliokuna Utanzania wanaingia nchini wanalipa visa, wanalipa vibali vya kuishi nchini Kama wageni na uwekezaji wao unatathiminiwa kwa ugeni wao ikiwemo wanapotaka kufungua Kampuni lazima wawe na share holder Mtanzania ! Manji yeye anaexption gani kushugulikia kama weusi wengine?

Tusitengeneza ubaguzi kwa kuangalia uwekezaji, Tanzania hii ni Mali yetu so kila mtu ashughulikiwe kwa mujibu wa sheria zinavyotaka kuepusha mgawanjiko wa rangi au kabila au uwezo wa kiuchumi.

Nimetoa Mfano Jana; yupo Mtu alishiriki Bunge la Katiba la Tanzania akiwa raia wa Marekani bila kubainika. Juzi Kati Mhe. Rais alipomteua kwa nafasi flani wenzake walieleza huyo siyo raia wa Tanzania na ni kweli inadaiwa huyo Bwana alibainika siyo na hivyo uteuzi wake kutenguliwa. Ni kwa sababu Ni kinyume Cha sheria kumteua mgeni kwenye nafasi ya Mtanzania.

So Duniani kote Uraia ni makaratasi na hatuwezi kuyabeza tujibu hoja.

Manji Ni. Raia wa wapi?
Marekani wana uraia pacha. Kwahiyo hawakuambii uukane uraia wa nchi uliyotokea.
 
Naona Jf inarudi kwenye ubora wake, umewasilisha hoja kubwa na inayohitaji intelligence kubwa kung'amua madhara ya utata wa Uraia katika uwekezaji au uchumi wa nchi.

Nakumbuka Abromovich bosi wa Chelsea alilazimika kuomba uraia wa Israel ili tu aweze kuingia Uingereza bila usumbufu baada ya kutokea mgogoro wa kidiplomasia na Urusi.

Watawala wetu hasa Wataalamu wa Uhamiaji wanapaswa kuliangalia hili suala kwa angle hizi:

1. Huyu mtu alishadhalilika na naamini ana hasira na hofu yakuweka fedha zake nchini.

2. Alipata hasara kubwa

3. Kesi nyingi alizotuhumiwa nazo zilibaki kwenye majalada

4. Akiwa na haki ya Utanzania huku akiwa pia Mmarekani anaweza kujimilikisha Mali au akapewa tenda itakamlazimu akope au Kampuni zake zikope. Aki default akakimbilia Marekani tutalazimika kulipa Kama garantor

5. Wapo Watanzania na wageni wanaomjua na wenye Siri ya Uraia wake, siku wakitoka adharani huku tukiwa tumedanganywa atafedheesha dola na kiti Cha Rais pia.

6. Binadamu uishi na uondoka Duniani, tusipotenda haki tukiamini tuna miaka mia ya mashirikiano Mwenyenz Mungu anaweza akawa ametupa miaka michache, uongo wetu utawarithisha wasiostahili kuirithi nchi yetu

7. Uraia siyo Siri

8. Uraia uliofichwa unaweza kutumika kutubomoa dhidi ya mataifa mengine

9. Tusiruhusu upendeleo kwa msukumo wa rangi Wala fedha tutende Kama tunavyowatendea wasio na kitu machoni pa waona Mali.

10. Tanzania ya kesho inategemea maamuzi yetu ya leo

Kama ni raia apewe haki yake, kama aliukana Utanzania aishi nakuwekeza kama mgeni.
Hueleweki hata kidogo, sio kalamu ya Great thinker hata kidogo. Utaifa hupewa na Mungu,achana na hizo pasi za kusafiria, hizo watu wanachukua kwa ajili ya kusafiria tu.
 
Naandika hoja hii hapa kufuatia mijadala inayoendelea mitandaoni kuhusu tafsiri ya uraia wa Bw. Manji. Naamini amekuja nchini kuendeleza miradi yake lakini pia ameletwa na mfumo kwa ajili yakurejesha imani ya wageni waweze kurejea nchini baada ya miaka kadhaa diplomasia yetu kimataifa kuwa na mrengo usioelewe.

Lakini nakumbuka Mara ya mwisho alikuwa raia wa Marekani na alipoondoka hapa alikwenda kuishi Marekani. Leo tunaambiwa karudi,well and good. Ila karudi Kama raia wa nchi gani?

Ni vyema Uhmiaji wakatoka adharani na kutuambia huyu Bwana ni Raia wa Tanzania, ni Raia wa Marekani au amepewa uraia pacha japo hakuna sheria inayompa uraia pacha kwa umri ule. Kukaa kimya kwa Uhamiaji, kukaa kimya kwa wizara ya mambo ya nje inayosimamia Ubalozi wetu wa Marekani ambao naamini wanahaki yakujua taarifa za uraia wa huyu mtu nikumfanya Mhe. Rais amwamini nakumshirikisha huyu Bwana akiamini ni Mtanzania kumbe sivyo.

Haya siyo mawazo yangu haya ni mawazo ya wanetu wanaoishi nje na ambao kwa bahati mbaya waliukana Utanzania wakapata uraia wa nje na Sasa awawezi kuupata tena Utanzania. Wanauliza Mbona Kuna tetesi kwamba Manji naye aliukataa Utanzania Kama Singo nakubaki na Umarekani, kwanini mitandao iandike yeye ni Mtanzania? Na Kama ana haki ya Utanzania mbona juzi Kati Mmarekani Mtanzania mwana Diaspora alipoteuliwa na Rais mitandao ikahoji inakuwaje Mmarekani anateuliwa na Rais, kwanini uteuzi wake ulifutwa japo kimya kimya?

Naamini kwa mwandiko wangu mchafu na ujinga wangu kwenye taaluma ya Uraia nimefungua mjadala kuwawezesha viongozi wetu kudemka na kucheza kwa kuzingatia due diligence kwa binadamu hawa wenye matatizo ya Uraia.

Uraia wetu ni zaidi ya fedha za mtu, ni zaidi ya rasilimali zetu hivyo tuitekenye sheria ya Uraia kwa ueledi itusaidie kuwadhibiti wasio Watanzania kujipa Utanzania wa muda.

Naamini tukiziba masikio nakuona potentiality ya Manji leo kuliko kuangalia Kwanza uraia wake tutafungua mjadala mkubwa huko mbeleni ambao utaligawa Taifa. Tujadiliane, tufunguane macho,tuelimishane na tumsaidie Rais na viongozi wengine kulitumikia Taifa kwa misingi Bora. Tusipowaambia tukaamini wanajua tutakua hatulitendei haki Taifa letu.

Uhamiaji tunawaomba mtoke adharani mseme ni raia au siyo raia. Msifanye Siri na msikubali kuambiwa na mwanasiasa nini mseme zingatieni sheria kumshauri mkuu wa nchi kwa lengo lakumwezesha afanye biashara,amtumie huyu mwekezaji na aruhusu taasisi nyingine kushiriakiana naye kwa hadhi sahihi ya Uraia siyo kwa adhi ya muda ambayo Samia akiondoka au kabla hajaondoka wanaweza kuibuka watu wakaiumbua serikali.

Nimechokonoa, endeleeni kutufunda.
Ni wakati muafaka kurizia uraia pacha,
 
Naandika hoja hii hapa kufuatia mijadala inayoendelea mitandaoni kuhusu tafsiri ya uraia wa Bw. Manji. Naamini amekuja nchini kuendeleza miradi yake lakini pia ameletwa na mfumo kwa ajili yakurejesha imani ya wageni waweze kurejea nchini baada ya miaka kadhaa diplomasia yetu kimataifa kuwa na mrengo usioelewe.

Lakini nakumbuka Mara ya mwisho alikuwa raia wa Marekani na alipoondoka hapa alikwenda kuishi Marekani. Leo tunaambiwa karudi,well and good. Ila karudi Kama raia wa nchi gani?

Ni vyema Uhmiaji wakatoka adharani na kutuambia huyu Bwana ni Raia wa Tanzania, ni Raia wa Marekani au amepewa uraia pacha japo hakuna sheria inayompa uraia pacha kwa umri ule. Kukaa kimya kwa Uhamiaji, kukaa kimya kwa wizara ya mambo ya nje inayosimamia Ubalozi wetu wa Marekani ambao naamini wanahaki yakujua taarifa za uraia wa huyu mtu nikumfanya Mhe. Rais amwamini nakumshirikisha huyu Bwana akiamini ni Mtanzania kumbe sivyo.

Haya siyo mawazo yangu haya ni mawazo ya wanetu wanaoishi nje na ambao kwa bahati mbaya waliukana Utanzania wakapata uraia wa nje na Sasa awawezi kuupata tena Utanzania. Wanauliza Mbona Kuna tetesi kwamba Manji naye aliukataa Utanzania Kama Singo nakubaki na Umarekani, kwanini mitandao iandike yeye ni Mtanzania? Na Kama ana haki ya Utanzania mbona juzi Kati Mmarekani Mtanzania mwana Diaspora alipoteuliwa na Rais mitandao ikahoji inakuwaje Mmarekani anateuliwa na Rais, kwanini uteuzi wake ulifutwa japo kimya kimya?

Naamini kwa mwandiko wangu mchafu na ujinga wangu kwenye taaluma ya Uraia nimefungua mjadala kuwawezesha viongozi wetu kudemka na kucheza kwa kuzingatia due diligence kwa binadamu hawa wenye matatizo ya Uraia.

Uraia wetu ni zaidi ya fedha za mtu, ni zaidi ya rasilimali zetu hivyo tuitekenye sheria ya Uraia kwa ueledi itusaidie kuwadhibiti wasio Watanzania kujipa Utanzania wa muda.

Naamini tukiziba masikio nakuona potentiality ya Manji leo kuliko kuangalia Kwanza uraia wake tutafungua mjadala mkubwa huko mbeleni ambao utaligawa Taifa. Tujadiliane, tufunguane macho,tuelimishane na tumsaidie Rais na viongozi wengine kulitumikia Taifa kwa misingi Bora. Tusipowaambia tukaamini wanajua tutakua hatulitendei haki Taifa letu.

Uhamiaji tunawaomba mtoke adharani mseme ni raia au siyo raia. Msifanye Siri na msikubali kuambiwa na mwanasiasa nini mseme zingatieni sheria kumshauri mkuu wa nchi kwa lengo lakumwezesha afanye biashara,amtumie huyu mwekezaji na aruhusu taasisi nyingine kushiriakiana naye kwa hadhi sahihi ya Uraia siyo kwa adhi ya muda ambayo Samia akiondoka au kabla hajaondoka wanaweza kuibuka watu wakaiumbua serikali.

Nimechokonoa, endeleeni kutufunda.
Washapokea rushwa
 
Mtu kazaliwa Tanzania 🇹🇿 halafu leo unataka kumwita Mmarekani kwasababu ya kibali. Watanzania ni wajinga sana wakati mwingine utu wa mtu sio makaratasi yake.

Kila Mtanzania anajijua popole alipo mimi nimekaa US miaka 20 lakini mpaka leo wanasema mimi ni Mtanzania hakuna mtu anaweza kunitaja bila kuhusisha na Utanzania wangu maana Utanzania ni utu sio makaratasi siku hizi ndiyo watu wanataka kubadilisha Utanzania kuwa vitabu na vibali.

Mtu kazaliwa Tanzania ni Mtanzania awe na passport ni mambo ya sheria tu na yanabadilika kila siku lakini Manji ni Mtanzania na hakuna binadamu anaweza kubadilisha hilo passsport unapewa na watu lakini utaifa unapewa na Mungu.
Welldone Mkuu umeijibu hoja kwa kutuletea hoja bora zaidi,agiza wine hapo Rubicon (red one)bill niletee inbox
 
Back
Top Bottom