Uchaguzi 2020 Uhamiaji: Wagombea kwenye uchaguzi mkuu ni lazima awe raia wa Tanzania vinginevyo atatenguliwa!

Uchaguzi 2020 Uhamiaji: Wagombea kwenye uchaguzi mkuu ni lazima awe raia wa Tanzania vinginevyo atatenguliwa!

Nilikuwa bukombe kwenye mazishi ya mzee biteko, Watusi aka wanyarwandwa walijazana pale kumuaga ndugu yao.
 
Ni upumbavu kuna nani mwenye akili timamu atajipenyeza na kulazimisha uraia wa nchi hii, kama mtu amesema yeye mtanzania ashukuriwe na apongezwe.
Dah we jamaa eti ashukuriwe na apongezwe 😁😁😁
 
Kuna mgombea mmoja kizazi chake cha pili bado wapo Burundi. Hapo anasemaje?
Bora huyo manake katiba inamruhusu..kuna mwingine ana uraia wa nchi mbili..na anajua vizuri Sana kwamba hairuhusiwi.
 
Bora huyo manake katiba inamruhusu..kuna mwingine ana uraia wa nchi mbili..na anajua vizuri Sana kwamba hairuhusiwi.
Tundu Lissu alienda Belgium kutibiwa baada ya kupigwa risasi 16 na serikali haijachukua hatua yoyote zaidi ya kuzidi kumuumiza. Kama mlitaka asichukue uraia wa Belgium basi mngekuwa responsible kwa yaliyotokea, you fools!
 
Tundu Lissu alienda Belgium kutibiwa baada ya kupigwa risasi 16 na serikali haijachukua hatua yoyote zaidi ya kuzidi kumuumiza. Kama mlitaka asichukue uraia wa Belgium basi mngekuwa responsible kwa yaliyotokea, you fools!
Who told you Lissu ni raia wa Ubeligiji? Na mbona watumia lugha za kuudhi wachangiaji wenzako?. ..Jifunze kuchangia Kwa staha bila kuwakwaza wengine..hii ni jukwaa la watu wanaotumia akili zao kujadili mada tofauti tofauti bila kukwaza wengine.
 
Who told you Lissu ni raia wa Ubeligiji? Na mbona watumia lugha za kuudhi wachangiaji wenzako?. ..Jifunze kuchangia Kwa staha bila kuwakwaza wengine..hii ni jukwaa la watu wanaotumia akili zao kujadili mada tofauti tofauti bila kukwaza wengine.
Sasa ni nani nwingine?
 
lisu atapona kweli maana anadai anayo damu ya wakenya, sasa hapo Uraia wake tayari mashakani.
 
Ili ugombee uraisi..katiba inasema ni lazima uwe na uraia wa kuzaliwa...Msemaji wa uhamiaji hiiiiiiii
 
Tundu Lissu alienda Belgium kutibiwa baada ya kupigwa risasi 16 na serikali haijachukua hatua yoyote zaidi ya kuzidi kumuumiza. Kama mlitaka asichukue uraia wa Belgium basi mngekuwa responsible kwa yaliyotokea, you fools!
Kwahiyo ni raia wa Ubelgiji?
 
Hawa mimi huwa siwaelewi mtu yeyote anayetokea mpakani akionekana anahoji utaona wanaanza na mambo ya uraia hii nchi ina shida sana na uadilifu wa watumishi wa umma wapo kwa kutumiwa na wachache kufikia malengo yao
 
Uhamiaji wakiwa Makini kuchunguza Wagombea ubunge wa Kigoma mjini basi Ccm itapita bila kupingwa huko mwaka huu

Kwani hao wa CCM nani amewapa uraia badala ya wa vyama vingine wote waenguliwe au hilo zoezi linalenga wapinzani tu
 
SASA kama h
Sasa ni nani nwingine?
Hawa mimi huwa siwaelewi mtu yeyote anayetokea mpakani akionekana anahoji utaona wanaanza na mambo ya uraia hii nchi ina shida sana na uadilifu wa watumishi wa umma wapo kwa kutumiwa na wachache kufikia malengo yao
Na sio wote mkuu..kuna mipaka mingine wakazi wake hawana hulka ya kuhoji..hii ni Sawa na kuishi Kwa shangazi au mjomba, alafu kila siku wewe ndio unaleta drama kuliko watoto wa mjomba/shangazi yako..Lazima Baba/mama mwenye nyumba aanze kuhoji umuhimu wa wewe kuishi pale.
 
Idara ya Uhamiaji imeelezea mikakati yake kuelekea kipindi cha uchaguzi mkuu.

Akihojiwa na mtangazaji Albert Kilala wa Channel ten msemaji wa idara ya uhamiaji mratibu msaidizi Aziz Kilondomara amesema wanafuatilia kwa makini sifa za wagombea na wapiga kura ili kuhakikisha nchi inaendelea kuwa salama wakati wote.

Idara inawataka wananchi wenye taarifa za wagombea ambao uraia wao ni wa mashaka mashaka wawalipoti haraka watu hao kwenye mamlaka za dola.

Source: Baragumu Channel ten
Haswaa Lizzu mmoja wapo, afwatiliwe
 
Kule Tarime mwenyikiti wa ccm mkoa ni zao la uhamiaji haramu mbona hawamkamati
 
Back
Top Bottom