Uhamisho kwa njia ya mfumo wa ESS

Uhamisho kwa njia ya mfumo wa ESS

Vacancy request:- unaomba nafasi kwenye taasisi ambayo imetangaza nafasi za transfer

Transfer request:- unaomba nafasi ya uhamisho kwenye taasisi, kama uhamisho wa kawaida.

NB:-
Kiafya.

Vacancy request:- una select specific Institute
Transfer request:- una select mkoa mzima

#YNWA
Sasa ukichagia Mkoa mzima mfumo utajuaje kama nahitaji taasisi fulani au zinatokea taasisi zote zilizopo ndani ya Mkoa huo then unachagua..?
 
Vacancy request:- unaomba nafasi kwenye taasisi ambayo imetangaza nafasi za transfer

Transfer request:- unaomba nafasi ya uhamisho kwenye taasisi, kama uhamisho wa kawaida.

NB:-
Kiafya.

Vacancy request:- una select specific Institute
Transfer request:- una select mkoa mzima

#YNWA
Je Mimi nimeomba vacancy transfer katika taasisi x je sijui kifuatacho watanijibu au
 
Vacancy request:- unaomba nafasi kwenye taasisi ambayo imetangaza nafasi za transfer

Transfer request:- unaomba nafasi ya uhamisho kwenye taasisi, kama uhamisho wa kawaida.

NB:-
Kiafya.

Vacancy request:- una select specific Institute
Transfer request:- una select mkoa mzima

#YNWA
Kaka kama normal transfer ni ku select mkoa mzima, taasisi unayoitaka kwenye mkoa husika unaichaguaje? Au hapo transfer inakuaje
 
Kaka kama normal transfer ni ku select mkoa mzima, taasisi unayoitaka kwenye mkoa husika unaichaguaje? Au hapo transfer inakuaje
Unaiambia taasisi iku select.

Kama ni mkoa mzima, ina maana taasisi zoteee za mkoa husika ZINAKUONA kwenye ESS.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Unaiambia taasisi iku select.

Kama ni mkoa mzima, ina maana taasisi zoteee za mkoa husika ZINAKUONA kwenye ESS.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Kwa hiyo what matters kabla ya ku load ombi lazima uende physically kwenye taasisi husika uongee nao wakuhakikishie wanakuchukua ndo urudi kwenye mfumo( just to follow procedures) ila uwe ushajihakikishia sio?
 
Kwa hiyo what matters kabla ya ku load ombi lazima uende physically kwenye taasisi husika uongee nao wakuhakikishie wanakuchukua ndo urudi kwenye mfumo( just to follow procedures) ila uwe ushajihakikishia sio?
Big YESS

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Back
Top Bottom