Uhamisho wa wakazi wa Gaza kwenda Indonesia kwa muda wapendekezwa na timu ya maridhiano ya kusitisha vita ili kuikarabati Gaza

Uhamisho wa wakazi wa Gaza kwenda Indonesia kwa muda wapendekezwa na timu ya maridhiano ya kusitisha vita ili kuikarabati Gaza

Dogo,
Acha uongo na kupotosha maandiko usiyoyajua.
Hakuna neno "gay" kwenye hiyo mistari.

Matthew 19:10-12
10 The disciples said to him, “If this is the situation between a husband and wife, it is better not to marry.”

11 Jesus replied, “Not everyone can accept this word, but only those to whom it has been given.

12 For some are eunuchs because they were born that way; others were made that way by men; and others have renounced marriage because of the kingdom of heaven. The one who can accept this should accept it.”


EUNUCH Meaning:

A eunuch is a man who has been castrated, or had his testicles removed. The word comes from the ancient Greek eunen echein, which means "bed-guard".

Mchungaji mbona mnanikimbia au mumeelewa kuwa wanaotafsiri wanaona aibu wanajaribu kubadilisha neno gay na kuweka eunuch ??
 
Makubaliano yamefikiwa kuhusu mfungwa wa Israel Arbel Yahud; ataachiliwa Ijumaa ijayo, huku Israel ikiwaachilia wafungwa 30 wanaotumikia vifungo vya maisha.— Gazeti la Kiebrania Maariv.
 
Wamekataa kwenda kwa waarabu wenzao ambao wanaongea lugha moja wamekataa kwenda Ulaya waeende Indonesia😂
Hivi kuna nchi ya ulaya inaweza kukaribisha magaidi sebuleni kwake.?!
You must be joking.
 
Dogo,
Acha uongo na kupotosha maandiko usiyoyajua.
Hakuna neno "gay" kwenye hiyo mistari.

Matthew 19:10-12
10 The disciples said to him, “If this is the situation between a husband and wife, it is better not to marry.”

11 Jesus replied, “Not everyone can accept this word, but only those to whom it has been given.

12 For some are eunuchs because they were born that way; others were made that way by men; and others have renounced marriage because of the kingdom of heaven. The one who can accept this should accept it.”


EUNUCH Meaning:

A eunuch is a man who has been castrated, or had his testicles removed. The word comes from the ancient Greek eunen echein, which means "bed-guard".
Huyu bed-guard alikuwakuwaje huyu?
Ama ni kama nilivyoona picha flani ya mtumwa akimpepelea upepo Sultani wakati akiwa kitandani kalala na mkewe usiku?
 
Back
Top Bottom