Uhamisho watumishi wa Umma: Waziri Ummy Mwalimu acha usanii na siasa kwenye maisha ya watu

Uhamisho watumishi wa Umma: Waziri Ummy Mwalimu acha usanii na siasa kwenye maisha ya watu

Huyu ni sawa na wakina shelukindo angolewe mara moja
 
Mkuu acha roho mbaya, kahela kakorona kaliko baki tunamalizia vinyumba vyetu pia maana viliishia njiani.......madarasa si tumejenga lakini acha tule haka kachenji maana hatujaiba tumetumia vizuri tu.
 
Ummy Mwalimu ni shidaaaa!! porojo zimekuwa nyingi, cha kusikitisha ni kwamba eti amekodi mamluki wa kumsifia kwenye mitandao wakati utendaji wake ni makerere tu!!
Masalia ya Jiwe ni shida!
 
Mhe Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Madam Samia Suluhu Hassani.Tuakuomba usikie malalamiko yetu sisi watanazania kuhusiana na matamko ya waziri wa tamisemi madam Ummy Mwalimu.Amekuwa na matamko mengi ambayo sisi kama watanzania wazalendo tumeshindwa tufuate lipi na tuache lipi.Mfano mmojawapo ni kusitisha uhamisho wa watumishi wa umma kwa muda usiojulikana.Kumekuwa na ukiritimba mkubwa kwenye suala la uhamisho.Mara anasema tafuta wa kubadilishana nae unatafuta lakini bado mambo hayashugulikiwi.Kwa miaka 6 iliopita watumishi wamepitia magumu. Sasa kwa style ile ile yale matamko ya awamu yatano yanaaaanza kujirudia.Tunaomba mama umpumzishe. Pia wilaya Songwe Chenji za Uviko baada ya ujenzi wahusika wakuu wamezigawana serikali iifuatilie na majina wahusika pamoja wakuu wa shule waliotafuna pesa za uviko na muda si mrefu wataanza kuwabadilishia vituo wakuu wa shule ili kufuta ushahidi
Tutateua kutoka Zanzibar hiyo Wizara soon., fanyeni subra
 
Mkuu acha roho mbaya, kahela kakorona kaliko baki tunamalizia vinyumba vyetu pia maana viliishia njiani.......madarasa si tumejenga lakini acha tule haka kachenji maana hatujaiba tumetumia vizuri tu.
... mamlaka zikiwa serious utazitolea kila tundu! Shauri yako.
 
Nakupinga, Acha wivu binafsi UMMY ni mchapakazi kabisa
 
Watanzania hawaeleweki wanataka nini...

Ummy anafaa kwenye wizara kama Mazingira ambayo hahiitaji utendaji sana
Hawa dawa yao ni kuwapuuza na wakiendelea ni kupiga chuma chuu

2935085_FB_IMG_16307140795615105 (1).jpg
 
Tz ni chukua chako mapema, unaiba mil 500,Kesi mahakamani faini mil 5 baada ya hukumu, sasa hapo si tayari umejilipa mafao kabisa uoga wako ndiyo umaskini wako.......
... sawa Mkuu kama umeamua kujilipua; ila kumbuka ni hiari ya jaji kukupa option - kifungo au faini; kifungo bila faini; au kifungo na faini. Andaa kabisa jaji wa mchongo japo mshtakiwa hachagui jaji!
 
Ummy si waziri mzigo ni mchapakazi na mtu makini.
Ummy Mwalinu ni MZIGO hafai kuwa waziri yule, mihemko mingi!!

Nakumbuka akiwa waziri wa afya walipishana na mama kipindi hicho akiwa Makamu wa Rais kuhusu upatikanaji wa Dawa katika hospitali ya Mwananyamala ambo Ummy Mwalimu alisema hakuna uhaba katika hospitali ya Mwananyamala.

Lakini mama alipokwenda kujihakikishia akaona kumbe dawa hakuna kabisa, mama alikasilika sana kwa kupewa taarifa potofu.
 
Mhe Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Madam Samia Suluhu Hassani.Tuakuomba usikie malalamiko yetu sisi watanazania kuhusiana na matamko ya waziri wa tamisemi madam Ummy Mwalimu.Amekuwa na matamko mengi ambayo sisi kama watanzania wazalendo tumeshindwa tufuate lipi na tuache lipi.Mfano mmojawapo ni kusitisha uhamisho wa watumishi wa umma kwa muda usiojulikana.Kumekuwa na ukiritimba mkubwa kwenye suala la uhamisho.Mara anasema tafuta wa kubadilishana nae unatafuta lakini bado mambo hayashugulikiwi.Kwa miaka 6 iliopita watumishi wamepitia magumu. Sasa kwa style ile ile yale matamko ya awamu yatano yanaaaanza kujirudia.Tunaomba mama umpumzishe. Pia wilaya Songwe Chenji za Uviko baada ya ujenzi wahusika wakuu wamezigawana serikali iifuatilie na majina wahusika pamoja wakuu wa shule waliotafuna pesa za uviko na muda si mrefu wataanza kuwabadilishia vituo wakuu wa shule ili kufuta ushahidi
Ummy hafai hata kuwa diwani
 
wizara kubwa mno hilo ndugu, mama wa watu anajitahidi sana anastaili pongezi sana, sema tu kwa sababu ana sura ya kirembo mno katika utendaaji kazi wake ndio maaana wahuni hawaishi. kwenye suala la uhamisho wa watumishi hili mi nahisi anapamabanana nalo lakini si kwa spiddi hiyo unayotaka wewe na hapo naungana na wewe.
ila kwa upande wa kuchapa kazi mama huyu yuko vizuri..
 
Ummy Mwalimu ni mchapakazi kwa asilimia 100%.

Suala la uhamisho hata mimi nina maslahi nalo, maana sehemu niliyopo ni mbayaaaaaaa.

Ila kwa Ummy of course yuko sahihi kukataza uhamisho kwa upande wake.

Maana ukisema watu wahame kuna sehemu watumishi wataisha kabisa.

Sehemu kama Rombo, zaidi ya 90% ya watumishi hawapapendi huku na wanataka kuhama.
Hupapendi Rombo umechoka mtori wa nyama nyingi na nyama choma za mamsera!!!??
ngoja tukupeleke garijembe au santilia
 
Hupapendi Rombo umechoka mtori wa nyama nyingi na nyama choma za mamsera!!!??
ngoja tukupeleke garijembe au santilia
Mimi situmii mtori wala pombe.

Nyama nyingi ni kitimoto ambayo bei yake nusu siyo chini ya 4,000 kwahiyo siyo kitu utakula kila siku.

Ishtoshe, ukiwa Rombo hakuna maendeleo binafsi utafanya.

Huku hata mishe ya haraka haraka, kusema utalima HAKUNA mashamba.
 
Serikali inatoa huduma, haifanyi biashara ongeza akili kidogo

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
nenda kapite daraja la nccf bila pesa nenda muhimbili au hospital yeyote ya umma bila pesa serikar inafanya biashara kwa kivuli cha kutoa huduma kwa kubadilishan na pesa hakuna investment isiyo na return hizo taasisi za umma zisizo rudisha gawia ishu ww unazungumza nn

Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
 
... sawa Mkuu kama umeamua kujilipua; ila kumbuka ni hiari ya jaji kukupa option - kifungo au faini; kifungo bila faini; au kifungo na faini. Andaa kabisa jaji wa mchongo japo mshtakiwa hachagui jaji!
🤣🤣🤣Majaji wenyewe wananjaa, nchii hii inatafunwa na wanasiasa tu
 
Serikalini wafanyakazi wanadeka sana mkataba wa ajira kawaida Ni wa mtu binafsi mmoja tu na mwajiriwa lakini serikalini Ajabu eti mtu anajiamlia tu nataka kuhama nifuate mume wangu au mke wangu aiseeee!!! Private sector mleta mada ungepigwa makofi na mateke ndipo upewe barua ya kufukuzwa kazi moja kwa moja.

Oeni full time house wife asiyefanya kazi ili muda wowote uhame naye bila shida na wanawake wafanyakazi serikalini oleweni na wanaume wasio na kazi muwe nao popote

Kama huko Kati huwa unapigwa makofi na mangumi na waajiri wako jua wewe ni fala ,wewe ni mtumwa
 
Back
Top Bottom