Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Mlikatika viunu angali hai ili "muonwe" sasa mnajilisha upepo maana hakuna anaewaonaNilijua tu make site ni kwa chuma ndo aliweza kulala hadi kwenye madaraja ...wizi kila kona sahvi na ndo kwanza miezi 2 bado. Ungozi siyo lelemama na wasione vyaelea jamani wapo waliokuwa tayari kufa kwa ajiri ya nchi ila sasa walaji wamekaribishwa tena