Kipingi cha mwendazake kulikuwa na wizi wa kifala fala kama sasa hivi?Achen uchawi nyie, mnapambana sana kuaminisha umma kua Rais Samia hafai, lkn hamtofanikiwa. Kashafariki Imeisha hiyoo.
Jumanne Muriro ???sio huyo, umerukia, namsema mwingine aliyekuwa Mwanza, jina withheld
Mention huo wiz na ushahid, pili hata kipindi chake walikua wanaiba anapojua anatumbuaKipingi cha mwendazake kulikuwa na wizi wa kifala fala kama sasa hivi?
CHADEMA watawatetea
Enzi zake wizi ulikuwa mkubwa zaidi.Najua ipo siku moja mtanikumbuka kwa mema yangu na sio kwa mabaya.(R.I.P JPM)
Wezi na majangili wa lasrimali za Taifa hili wameshaanza kurudi kwa kasi.
Amkumbuke yeye na familia yakeEnzi zake wizi ulikuwa mkubwa zaidi.