Uhujumu Miundombinu: Vifaa vya ujenzi daraja la Busisi vyaibwa, watu 8 mbaroni

Uhujumu Miundombinu: Vifaa vya ujenzi daraja la Busisi vyaibwa, watu 8 mbaroni

Baadhi ya wapumbavu watadhani uizi huo wa vifaa vya mabilioni umeanza sasa... pia hawajiulizi kwanini vikamatwe na wezi wake pia,!! Kuna wizi kufanyika ukatangazwa ama wakapiga kimya ili kuonesha hali i shwari...
Majizi yalikuwako, yapo na yanaweza kuendelea kuwepo. Jukumu letu sote kukomesha hizo tabia za majizi ama kununua vitu vya wizi...
 
Back
Top Bottom