Uhuni katika mahusiano

Shukran nguli nimeheshimu sana fact zako
 
mbona rahisi tu hiyo, na wewe mhudumie baada ya miezi 3 au miwili
 
Wewe ni BOYA....

The moment mwanamke anatamka tu hiyo statement unapaswa umpige chini palepalee..

Kimsingi mwanaume unatakiwa uamue ni muda gani uile ndiyo ule, ama ule ndo uje uile...

Mapumziko ni kipindi cha danger na akiwa period tu!
Ni rahisi na yeye kupiga chini kama Hana hisia nae pia
 
Wewe ni BOYA....

The moment mwanamke anatamka tu hiyo statement unapaswa umpige chini palepalee..

Kimsingi mwanaume unatakiwa uamue ni muda gani uile ndiyo ule, ama ule ndo uje uile...

Mapumziko ni kipindi cha danger na akiwa period tu!
Sawa mkuu shukrani
 
Mbona rahisi we ngoja siku akiileta ichape hasa Kisha mforce aondoke una mishe zingine usingoje hadi aondoke mwenyewe we mforce haswa hata ikibidi kumvuta nje
Baada ya hapo tafuta mwingine na yeye akiwepo usitangaze kumuacha (ni udhaifu) mpige matukio aondoke mwenyewe
 
Hmmmm kwaiyo kwenye yooote unayomfanyia yeye anakulipa "K" tu in return,
na bado unabembeleza aendelee kuwepo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…