Uhuni katika mahusiano

Uhuni katika mahusiano

Wakuu hivi ni sahihi kwa mwanamke ambae ni mpenzi wako unamjali na kumuhudumia kila ila yeye sex anakupangia anasema et inazeesha.

Na kasema atakuwa ananipa tendo kila baada ya miezi 3 au miwili. Mimi nikamuomba walau mara 1 kwa wiki akagoma kabisa

Hivi mtu kama huyu kuna haja gani ya kuendelea nae huu c uhuni kabisa.
Shida ya vitoto vya 2000 ndo hy, tafuta mshangazi uone kama hajakwambia 2x3/7/365
 
Kama hutaki uhuni muoe akupe kila siku

Huyo dada namjua,ni katibu mkuu wa vikao vyetu vya kila mwaka
Nafikiri kikao kijacho agenda kuu itakuwa ni hii...kutoa mchezo kila baada ya miezi mitatu
Sasa itakuaje na wewe mwenyekiti unapenda mizagamuo, utaiweza kweli hiyo ajenda??
 
Wakuu hivi ni sahihi kwa mwanamke ambae ni mpenzi wako unamjali na kumuhudumia kila ila yeye sex anakupangia anasema et inazeesha.

Na kasema atakuwa ananipa tendo kila baada ya miezi 3 au miwili. Mimi nikamuomba walau mara 1 kwa wiki akagoma kabisa

Hivi mtu kama huyu kuna haja gani ya kuendelea nae huu c uhuni kabisa.
Duh. Na bado uko naye?!
BWAGA HARAKA SANA! UTAPATA STRESS MWANAUME!
 
Kama hutaki uhuni muoe akupe kila siku

Huyo dada namjua,ni katibu mkuu wa vikao vyetu vya kila mwaka
Nafikiri kikao kijacho agenda kuu itakuwa ni hii...kutoa mchezo kila baada ya miezi mitatu
🤣🤣🤣 Kilasiku ni kwa mume tu
 
Wakuu hivi ni sahihi kwa mwanamke ambae ni mpenzi wako unamjali na kumuhudumia kila ila yeye sex anakupangia anasema et inazeesha.

Na kasema atakuwa ananipa tendo kila baada ya miezi 3 au miwili. Mimi nikamuomba walau mara 1 kwa wiki akagoma kabisa

Hivi mtu kama huyu kuna haja gani ya kuendelea nae huu c uhuni kabisa.

Hakupendi ana mwanaume mwingine anae mpa, wewe kwako anataka hayo matunzo au huduma.
 
Aaah au sio unawasakizia wenzie watekeleze huku wewe unagunia kwa raha

Mambo ya sex hayana muongozo
Wewe unaamini mpenzi wa mleta mada ni kweli hataki kufanya sex hadi miezi mitatu ipite ama jamaa hajapendwa tu?
 
Mambo ya sex hayana muongozo
Wewe unaamini mpenzi wa mleta mada ni kweli hataki kufanya sex hadi miezi mitatu ipite ama jamaa hajapendwa tu?
Jamaa ni aina ya wanaume wale lialia na mpenzi bila shaka hapendi hayo mambo. Ila jamaa kujiongeza hawezi ye analialia na kuomba nyapu kama vile ni bidhaa kailipia.
 
Back
Top Bottom