Uhuni: Korosho sasa kusafirishwa kwa malori kwenda bandari ya Dar es Salaam

Uhuni: Korosho sasa kusafirishwa kwa malori kwenda bandari ya Dar es Salaam

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Wakazi wa Mtwara wamepigwa pigo takatifu baada ya kupata taarifa kuwa sasa ni rasmi Korosho hazita pitia bandari ya Mtwara.

Utaratibu wa usafiri utakuwa hivi:
1. Mkulima atavuna korosho na kuzipeleka ghalani kungoja wanunuzi ambao hupatikana kwa njia ya mnada.
2. Baada ya Korosho kununuliwa zitawekwa kwenye malori na kwenda kwenye bandari ya Mtwara kwaajili ya kupimwa uzito.
3. Baada ya kupimwa uzito magari yataanza safari kuelekea bandari ya Dar kwaajili ya kusafirishwa kwenda ughaibuni.
Inasemekana kampuni ya GSM ndiyo itasafirisha kutoka Mtwara kwenda dar.

Wakazi wa Mtwara wananong'ona kuwa kulikuwa na haja gani kupanua bandari maana kwasasa inauwezo wa kusafirisha tani milioni 1 kwa mwaka.

Wananong'ona kuwa zile ajira walizokuwa wanapata vijana pale bandarini kipindi cha msimu tena kwa shift ndiyo basi tena?

By: kiherehere, Mzee wa kuchakata mbususu.
 
Wakazi wa Mtwara wamepigwa pigo takatifu baada ya kupata taarifa kuwa sasa ni rasmi Korosho hazita pitia bandari ya Mtwara.

Utaratibu wa usafiri utakuwa hivi:
1. Mkulima atavuna korosho na kuzipeleka ghalani kungoja wanunuzi ambao hupatikana kwa njia ya mnada.
2. Baada ya Korosho kununuliwa zitawekwa kwenye malori na kwenda kwenye bandari ya Mtwara kwaajili ya kupimwa uzito.
3. Baada ya kupimwa uzito magari yataanza safari kuelekea bandari ya Dar kwaajili ya kusafirishwa kwenda ughaibuni.
Inasemekana kampuni ya GSM ndiyo itasafirisha kutoka Mtwara kwenda dar.

Wakazi wa Mtwara wananong'ona kuwa kulikuwa na haja gani kupanua bandari maana kwasasa inauwezo wa kusafirisha tani milioni 1 kwa mwaka.

Wananong'ona kuwa zile ajira walizokuwa wanapata vijana pale bandarini kipindi cha msimu tena kwa shift ndiyo basi tena?

By: kiherehere, Mzee wa kuchakata mbususu.
Iko hivi.....
Kutokana na utafiti usio rasmi ambao umefanyika na mtu mzalendo ni kwamba....
1.asilimia kubwa ya viongozi wa umma na watumishi sio wazalendo(Kama anajiita mzalendo BASI ni mnafiki kuna kamrija mahali anafaidika nacho)

2. Hawana kiasi;- akiwa anakula hakimbuki pia kuna kesho, pia anataka ashibe yeye tu. Yuko radhi ghala lake lijae nafaka na ziozee humo huku jamii iliyo mzunguka inakufa njaa.

3. Akiwa kwenye ofisi ya umma, ufahamu wake unasema ofisi ni KWa ajili yake... Hapo anasau kuwa yupo KWa ajili ya umma.

Nakumbuka kuna stori moja rafiki yangu alikuwa mwandishi wa habari kitambo hiko..... Alisema kuwa... Kuna kipindi kampuni kutoka nchi moja huko ughaibuni barani ulaya, ilitaka kujenga kiwanda cha magari... Lakini kuna baadhi ya mawaziri walikwamisha jitihada KWa sababu kuna asilimia wanapata kutokana na uagizaji magari nje ya nchi.... Maelezo hayo ulipata KWa moja ya mwakilishi wa ile kampuni
 
Lilikua ni suala la muda tu...tenda za wahuni hizo wenye kamba ndefu.

Bandari ya mtwara ibaki kusafirisha makaa ya mawe tu.

Kazi ya upigaji iendelee.

#MaendeleoHayanaChama
 
Iko hivi.....
Kutokana na utafiti usio rasmi ambao umefanyika na mtu mzalendo ni kwamba....
1.asilimia kubwa ya viongozi wa umma na watumishi sio wazalendo(Kama anajiita mzalendo BASI ni mnafiki kuna kamrija mahali anafaidika nacho)

2. Hawana kiasi;- akiwa anakula hakimbuki pia kuna kesho, pia anataka ashibe yeye tu. Yuko radhi ghala lake lijae nafaka na ziozee humo huku jamii iliyo mzunguka inakufa njaa.

3. Akiwa kwenye ofisi ya imma, ufahamu wake unasema ofisi ni KWa ajili yake... Hapo anasau kuwa yupo KWa ajili ya imma.

Nakumbuka kuna stori moja rafiki yangu alikuwa mwandishi wa habari kitambo hiko..... Alisema kuwa... Kuna kipindi kuna kampuni kutoka nchi moja huko ughaibuni barani ulaya, ulitaka kujenga kiwanda cha magari... Lakini kuna baadhi ya mawaziri walikwamisha jitihada KWa sababu kuna asilimia wanapata kutokana na uagizaji magari nje ya nchi.... Maelezo hayo ulipata KWa moja ya mwakilishi wa ile kampuni
Kazi kweli kweli
 
Lilikua ni suala la muda tu...tenda za wahuni hizo wenye kamba ndefu.

Bandari ya mtwara ibaki kusafirisha makaa ya mawe tu.

Kazi ya upigaji iendelee.

#MaendeleoHayanaChama
Taarifa hizi zimenishtua sana.
 
Wakazi wa Mtwara wamepigwa pigo takatifu baada ya kupata taarifa kuwa sasa ni rasmi Korosho hazita pitia bandari ya Mtwara.

Utaratibu wa usafiri utakuwa hivi:
1. Mkulima atavuna korosho na kuzipeleka ghalani kungoja wanunuzi ambao hupatikana kwa njia ya mnada.
2. Baada ya Korosho kununuliwa zitawekwa kwenye malori na kwenda kwenye bandari ya Mtwara kwaajili ya kupimwa uzito.
3. Baada ya kupimwa uzito magari yataanza safari kuelekea bandari ya Dar kwaajili ya kusafirishwa kwenda ughaibuni.
Inasemekana kampuni ya GSM ndiyo itasafirisha kutoka Mtwara kwenda dar.

Wakazi wa Mtwara wananong'ona kuwa kulikuwa na haja gani kupanua bandari maana kwasasa inauwezo wa kusafirisha tani milioni 1 kwa mwaka.

Wananong'ona kuwa zile ajira walizokuwa wanapata vijana pale bandarini kipindi cha msimu tena kwa shift ndiyo basi tena?

By: kiherehere, Mzee wa kuchakata mbususu.
Swala sio.kupanua bandari bali ni msafirishaji ndio anaamua atumie bandari ipi na Kwa gharama zipi.
 
Lilikua ni suala la muda tu...tenda za wahuni hizo wenye kamba ndefu.

Bandari ya mtwara ibaki kusafirisha makaa ya mawe tu.

Kazi ya upigaji iendelee.

#MaendeleoHayanaChama
Makaa ya mawe sio mzigo?
Au yanasafirishwa bure ?
Korosho ni biashara ya msimu so bandari ikae inasubiri korosho tuuu au korosho zikae tu Mtwara mpaka ziharibike Ili tu Sifa lazima zisafirishiwe hapo Mtwara wakati Kuna port karibu mzigo unagawanywa chap bidhaa inafika kwa walengwa kwa muda muafaka.
Kwa uchumi wa kisasa lazima watu wapige deal kama hizo
 
Wakazi wa Mtwara wamepigwa pigo takatifu baada ya kupata taarifa kuwa sasa ni rasmi Korosho hazita pitia bandari ya Mtwara.

Utaratibu wa usafiri utakuwa hivi:
1. Mkulima atavuna korosho na kuzipeleka ghalani kungoja wanunuzi ambao hupatikana kwa njia ya mnada.
2. Baada ya Korosho kununuliwa zitawekwa kwenye malori na kwenda kwenye bandari ya Mtwara kwaajili ya kupimwa uzito.
3. Baada ya kupimwa uzito magari yataanza safari kuelekea bandari ya Dar kwaajili ya kusafirishwa kwenda ughaibuni.
Inasemekana kampuni ya GSM ndiyo itasafirisha kutoka Mtwara kwenda dar.

Wakazi wa Mtwara wananong'ona kuwa kulikuwa na haja gani kupanua bandari maana kwasasa inauwezo wa kusafirisha tani milioni 1 kwa mwaka.

Wananong'ona kuwa zile ajira walizokuwa wanapata vijana pale bandarini kipindi cha msimu tena kwa shift ndiyo basi tena?

By: kiherehere, Mzee wa kuchakata mbususu.
Ukiwataja GSM hapo wana wa Jangwani hugeuka kuwa mabubu.
 
Hahahaha
Mama ana utela mwingi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3590][emoji3590]
 
Toka wamevuruga swala la Korosho sijui lini litakaa sawa nakumbuka kuna maroli ya jeshi yalitengwa kwa ajili ya kubeba korosho miaka kadhaa huko nilishangaa sana washaharibu mfumo mzuri kuja kukaa sawa sio leo wacha tuendelee kuangalia Episode zinazofata..
 
kama haya ni ya ukweli basi hii nchi ni ya kipumbavu sana.
 
Makaa ya mawe sio mzigo?
Au yanasafirishwa bure ?
Korosho ni biashara ya msimu so bandari ikae inasubiri korosho tuuu au korosho zikae tu Mtwara mpaka ziharibike Ili tu Sifa lazima zisafirishiwe hapo Mtwara wakati Kuna port karibu mzigo unagawanywa chap bidhaa inafika kwa walengwa kwa muda muafaka.
Kwa uchumi wa kisasa lazima watu wapige deal kama hizo
So lkiwa la msimu lisipite bandarini nakuajiri vijana zaid ya 1000 usku na mchana ?
 
Wakazi wa Mtwara wamepigwa pigo takatifu baada ya kupata taarifa kuwa sasa ni rasmi Korosho hazita pitia bandari ya Mtwara.

Utaratibu wa usafiri utakuwa hivi:
1. Mkulima atavuna korosho na kuzipeleka ghalani kungoja wanunuzi ambao hupatikana kwa njia ya mnada.
2. Baada ya Korosho kununuliwa zitawekwa kwenye malori na kwenda kwenye bandari ya Mtwara kwaajili ya kupimwa uzito.
3. Baada ya kupimwa uzito magari yataanza safari kuelekea bandari ya Dar kwaajili ya kusafirishwa kwenda ughaibuni.
Inasemekana kampuni ya GSM ndiyo itasafirisha kutoka Mtwara kwenda dar.

Wakazi wa Mtwara wananong'ona kuwa kulikuwa na haja gani kupanua bandari maana kwasasa inauwezo wa kusafirisha tani milioni 1 kwa mwaka.

Wananong'ona kuwa zile ajira walizokuwa wanapata vijana pale bandarini kipindi cha msimu tena kwa shift ndiyo basi tena?

By: kiherehere, Mzee wa kuchakata mbususu.
Duh! njaa inakuja kwa vijana jawa VibaruA pale bandarin Mtwara
 
Kwani wadanganyika mtawafanya nin uchaguzi ukija wanaiba kura mchana kweupe wanarudi madarakani kwa lugha nyepesi hawawaofii wadanganyika
 
Back
Top Bottom