Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Mimi nawaaminia sana wana Mtwara wakiamua wanaweza, nakumbuka 2015 walikesha pale wakifanya makazi yao pale barabarani wakisubiri matokeo ya ubunge.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ridhiwani nenda ukalale.Makaa ya mawe sio mzigo?
Au yanasafirishwa bure ?
Korosho ni biashara ya msimu so bandari ikae inasubiri korosho tuuu au korosho zikae tu Mtwara mpaka ziharibike Ili tu Sifa lazima zisafirishiwe hapo Mtwara wakati Kuna port karibu mzigo unagawanywa chap bidhaa inafika kwa walengwa kwa muda muafaka.
Kwa uchumi wa kisasa lazima watu wapige deal kama hizo
Wakazi wa Mtwara wamepigwa pigo takatifu baada ya kupata taarifa kuwa sasa ni rasmi Korosho hazita pitia bandari ya Mtwara.
Utaratibu wa usafiri utakuwa hivi:
1. Mkulima atavuna korosho na kuzipeleka ghalani kungoja wanunuzi ambao hupatikana kwa njia ya mnada.
2. Baada ya Korosho kununuliwa zitawekwa kwenye malori na kwenda kwenye bandari ya Mtwara kwaajili ya kupimwa uzito.
3. Baada ya kupimwa uzito magari yataanza safari kuelekea bandari ya Dar kwaajili ya kusafirishwa kwenda ughaibuni.
Inasemekana kampuni ya GSM ndiyo itasafirisha kutoka Mtwara kwenda dar.
Wakazi wa Mtwara wananong'ona kuwa kulikuwa na haja gani kupanua bandari maana kwasasa inauwezo wa kusafirisha tani milioni 1 kwa mwaka.
Wananong'ona kuwa zile ajira walizokuwa wanapata vijana pale bandarini kipindi cha msimu tena kwa shift ndiyo basi tena?
By: kiherehere, Mzee wa kuchakata
Mnunuzi ndiye anayeamua atasafirisha korosho zake kupitia bandari ipi sio suala la wewe kuamua. Kabla hujalalamika kwanza jenga uelewa wa ja.mbo. Gharama za biashara ndo determinant kubwa ya kuamua namna nzima wapi mtu atanunua na kupitia wapi atasafirisha. Unaweza kuta hiyo bandari ya mtwara haina makontena ya kutosha na ili kusafirisbia toka mtwara itabidi makontena yaletwe toka Dsm hivyo kupelekea gharama kuwa juu na kupelekea mkulima kuuza korosho kwa bei ndogo zaidi.Wakazi wa Mtwara wamepigwa pigo takatifu baada ya kupata taarifa kuwa sasa ni rasmi Korosho hazita pitia bandari ya Mtwara.
Utaratibu wa usafiri utakuwa hivi:
1. Mkulima atavuna korosho na kuzipeleka ghalani kungoja wanunuzi ambao hupatikana kwa njia ya mnada.
2. Baada ya Korosho kununuliwa zitawekwa kwenye malori na kwenda kwenye bandari ya Mtwara kwaajili ya kupimwa uzito.
3. Baada ya kupimwa uzito magari yataanza safari kuelekea bandari ya Dar kwaajili ya kusafirishwa kwenda ughaibuni.
Inasemekana kampuni ya GSM ndiyo itasafirisha kutoka Mtwara kwenda dar.
Wakazi wa Mtwara wananong'ona kuwa kulikuwa na haja gani kupanua bandari maana kwasasa inauwezo wa kusafirisha tani milioni 1 kwa mwaka.
Wananong'ona kuwa zile ajira walizokuwa wanapata vijana pale bandarini kipindi cha msimu tena kwa shift ndiyo basi tena?
By: kiherehere, Mzee wa kuchakata mbususu.
Lengo la mfanyabiashara ni kupunguza gharama sio kuajiri watu wengi mchana au usiku .So lkiwa la msimu lisipite bandarini nakuajiri vijana zaid ya 1000 usku na mchana ?
Unashoboka kwa wanaume wenzio au wewe wa kike?Ridhiwani nenda ukalale.
Utasikia kusini KUCHELE 😂Samia hoyeee kura za kusini zote kwake, wapi wabunge wa kusini
USSR
Acha waumie ndio wapate akili ili wawe magaidi na wengine wavuke Msumbiji kisha wajipange kuingiza ugaidi kama wa Msumbiji miaka ijayo.Wakazi wa Mtwara wamepigwa pigo takatifu baada ya kupata taarifa kuwa sasa ni rasmi Korosho hazita pitia bandari ya Mtwara.
Utaratibu wa usafiri utakuwa hivi:
1. Mkulima atavuna korosho na kuzipeleka ghalani kungoja wanunuzi ambao hupatikana kwa njia ya mnada.
2. Baada ya Korosho kununuliwa zitawekwa kwenye malori na kwenda kwenye bandari ya Mtwara kwaajili ya kupimwa uzito.
3. Baada ya kupimwa uzito magari yataanza safari kuelekea bandari ya Dar kwaajili ya kusafirishwa kwenda ughaibuni.
Inasemekana kampuni ya GSM ndiyo itasafirisha kutoka Mtwara kwenda dar.
Wakazi wa Mtwara wananong'ona kuwa kulikuwa na haja gani kupanua bandari maana kwasasa inauwezo wa kusafirisha tani milioni 1 kwa mwaka.
Wananong'ona kuwa zile ajira walizokuwa wanapata vijana pale bandarini kipindi cha msimu tena kwa shift ndiyo basi tena?
By: kiherehere, Mzee wa kuchakata mbususu.
Lengo ni kumminya mkulima kwny bei. Ikisafirishwa kupitia bandari ya mtwara analipa zaidi kuliko ikipitia bandari ya dsm.Swala sio.kupanua bandari bali ni msafirishaji ndio anaamua atumie bandari ipi na Kwa gharama zipi.
GSM kishaachiwa Yanga na kila kitu yaani !!Wakazi wa Mtwara wamepigwa pigo takatifu baada ya kupata taarifa kuwa sasa ni rasmi Korosho hazita pitia bandari ya Mtwara.
Utaratibu wa usafiri utakuwa hivi:
1. Mkulima atavuna korosho na kuzipeleka ghalani kungoja wanunuzi ambao hupatikana kwa njia ya mnada.
2. Baada ya Korosho kununuliwa zitawekwa kwenye malori na kwenda kwenye bandari ya Mtwara kwaajili ya kupimwa uzito.
3. Baada ya kupimwa uzito magari yataanza safari kuelekea bandari ya Dar kwaajili ya kusafirishwa kwenda ughaibuni.
Inasemekana kampuni ya GSM ndiyo itasafirisha kutoka Mtwara kwenda dar.
Wakazi wa Mtwara wananong'ona kuwa kulikuwa na haja gani kupanua bandari maana kwasasa inauwezo wa kusafirisha tani milioni 1 kwa mwaka.
Wananong'ona kuwa zile ajira walizokuwa wanapata vijana pale bandarini kipindi cha msimu tena kwa shift ndiyo basi tena?
By: kiherehere, Mzee wa kuchakata mbususu.
HahahaaaaGSM kishaachiwa Yanga na kila kitu yaani !!
Ni boss wa Yanga kule msogaHuyu GSM anashika kila kitu ni nani huyu??
Tuma salamu Kwa watu watatu ....Taarifa hizi zimenishtua sana.
HuelewekiLengo ni kumminya mkulima kwny bei. Ikisafirishwa kupitia bandari ya mtwara analipa zaidi kuliko ikipitia bandari ya dsm.
Yaani cost ya usafiri anapewa mkulima kweny kila kilo
😯🥺😳😲Samia hoyeee kura za kusini zote kwake, wapi wabunge wa kusini
USSR