Uhuni: Korosho sasa kusafirishwa kwa malori kwenda bandari ya Dar es Salaam

Eti ofisi za imma Basi ulichoandika ni majungu
 
Kama meli inayobeba hizo korosho ipo Dar na pia mfanyabiashara mwenyewe ndio kaamua kutumia bandari ya Dar.sasa wewe inakuuma nini? Kwani korosho hazijanunuliwa?
 
Afadhali maana magu alivuruga uchumi wa wana kusini kwa maamuzi yake yale na ukweli alikosea sana basi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…