Kunguru wa Unguja
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 1,762
- 1,823
Maneno mazito sanaa haya so the right way ni kutafuta njia ya kupambana na hii situationUpo sawa ila graduate wengi pangu pakavu, wanasubiriwa wamalize waanza kusaidia wadogo na ndugu zao. Akikosa kazi unwambie fungua duka hata huo mtaji tu wa kufungulia duka hana achilia mbali eneo la kufungua hilo duka.
Wana ajiri kulingana na bajeti yao kwanza ni finyuu sanaa.Kwa hiyo serikali inataka kufunika upungufu wa watumishi hao Kwa kuuaminisha umma kuwa upungufu huo ni Kwa sababu wataalamu wapi mtaani kisa wali fail interview? Nchi ngumu sana hii
Mfikishie Waziri na Naibu Waziri kule IG na X na ufikishe Ajira Portal malalamiko kule km huna Namba ya Ajira Portal malalamiko sema tukugawie Namba yao Utumishi PSPR ujielezee vizuri, hao Watu kwanini wanataka kuichafua Serikali ya Mama kwa madudu yao ya ajabu?It is a pity kuwa vijana wametoka mbali sana only to find kuwa eti hawana vigezo! vigezo ambavyo havikuwa kwenye tangazo.
Ujinga mmoja waliopewa wenye connection tu km huna connection hio badge hupewi sasa huu si umandavaku?Additional ID badges ndiyo nini?
Azitaje tuishi nazoUngetaja na hizo additional requirements mkuu hili tuelewe zaidi.
Cheti cha kuzaliwaAzitaje tuishi nazo
Cheti cha kuzaliwa
Barua ya Serikali ya Mtaa utambulisho
Certificate of Oath isainiwe na Mwanasheria
RITA Certificate kuthibitisha Wewe ni Mtanzania
Hivyo hapo baadhi vyote ubebe na makarabrasha mengi mavyeti yako ya Chuo maleseni mpaka ya udereva beba nenda nayo
Nimekupata bruhCheti cha kuzaliwa
Barua ya Serikali ya Mtaa utambulisho
Certificate of Oath isainiwe na Mwanasheria
RITA Certificate kuthibitisha Wewe ni Mtanzania
Hivyo hapo baadhi vyote ubebe na makarabrasha mengi mavyeti yako ya Chuo maleseni mpaka ya udereva beba nenda nayo
Kama walisema kitambulisho cha Kura nacho kinafaa walikosea Sana. Kitambulisho cha Kura NI taka taka maana unaweza kwenda kujisajili popote Kwa majina yoyoteKila Msailiwa anapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi;
4. Vitambulisho vinavyokubalika ni pamoja na:- Kitambulisho cha Mkazi, Kitambulisho cha Mpiga
kura,Kitambulisho cha kazi,Kitambulisho cha Uraia, Hati ya kusafiria au barua ya utambulisho kutoka
Serikali ya Mtaa/Kijiji unachotoka
Kijana ana kitambulisho cha kura, anaambiwa alete pia barua ya mweyekiti wa ktaa/kijiji...what next? anaondoka maana hawezi kupatahiyo barua in asuch a short time wakati ana utambulisho mwingine ulioainishwa hapo
But it is stipulated that way!Kama walisema kitambulisho cha Kura nacho kinafaa walikosea Sana. Kitambulisho cha Kura NI taka taka maana unaweza kwenda kujisajili popote Kwa majina yoyote
Matusi, matusi, matusi.........vema. Nimeandikiwa na mama yako, and therefore wote tu wapuuzi!Upuuzi tu umeandika
exactly, hata watake vitambulisho 1,000, waseme in advance mwenye navyo aje, asiye navyo asipoteza resources zake kuja kwenye interview. asante kwa kunielewa.Unashindwa hata kuelewa hoja? Wapange wanavyotaka ila wawafahamishe wasailiwa in advance
Narudiaa tenaa unaongea ukiwa hujui uhalisia ukoje huku mtaani.Mkuu sio kweli ni kujitoa na kufanya hassling tu, ila watanzania wengi hupenda spoon feeding, hawataki critical thinking kupambana na umasikini.
nenda kasome uone walihitaji niniNaona ulalamika tu bil kueleza ya msingi,
Kwenye website walihitaji nini na huko galanos wanataka nini na nini?
Mkuu fafanua hapoNi usaili na sio usahili
Then MTU Kama hana kitambulisho cha I'd atafute barua ya mwenyeketi hiyo IPO na nguvu .
Shoga leo umetema madiniNarudiaa tenaa unaongea ukiwa hujui uhalisia ukoje huku mtaani.
Mtoto wa kimaskini ana hustle kwa njia ipii? Kazi za saidia fundi, nazo zenyewe za msimu, malipo kiduchu, inasaidia kula na kuvaa tyuuh basi.
Mzazi alihangaika kukopa na kuuza mali ili mwanae baadae awe mkombozii, matokeo yake hollah, umaskini unarandaa kwa wazazi had mtoto husika, kwa kuwa kila kitu kilipotezwa.
Unaowazungumzia wee ni walee watoto ambao wazazi wao wana uwezo kifedhaa, hivyo watapewa nyenzo ya kupambana na life kwa namna ingine nje ya taaluma zao.
Ongeaaa sanaa, ila ombaa yasikukute au kukufikia. [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
Yaani ni maumivu kwa kwelii, [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]fact fact fact nafikiri ni maumivu ya kudumu kwa wale wanaotoka kwenye familia/kaya duni
Taja requirements zikizoongezeka nje ya zike zilizo kwenye tangazo la kuitwa kwenye usailiUnashindwa hata kuelewa hoja? Wapange wanavyotaka ila wawafahamishe wasailiwa in advance. Kama ni fair game how comes wengine wamekuja na vitambulisho vya ziada ambavyo havikutajwa kwenye barua ya wito ? Hili kosa kwa nchi zilizoendelea kama Marekani candidate akilalamika kuhusu hili mchakato wote wa uajiri unaanza upya. Ila kwa Tanzania anything goes.
Mkuu fafanua hapo
Ahsanteee!! [emoji120][emoji120][emoji120]Shoga leo umetema madini