Uhuni wanaofanyiwa vijana waliokuja kwenye usaili wa kada ya afya kituo cha shule ya Sekondari Galanos, Tanga

Uhuni wanaofanyiwa vijana waliokuja kwenye usaili wa kada ya afya kituo cha shule ya Sekondari Galanos, Tanga

Naandika kwa masikitiko makubwa nikiona wanachofanyiwa vijana waliokuja kwenye usahili (written inteview) hapa Galanos Tanga.

1. Identification requirements zimekuwa mentioned katika tangazo la kuitwa kwenye usaili. Walio wengi wamekidhi kuja na vigezo/vitambulisho hivyo. Ajabu wasimamizi wameleta vigezo vingine ambavyo haviko kwenye list.

maana yake nini? Kuwapunguza watahiniwa na kuwapa wengine advantage wengine ya kuambiwa in advance vitu ambavyo haviko kwenye tangazo la serikali!

Vijana wanalia na kusaga meno kwa kukosa interview maana wasimamizi wamekomaa na addition identificationa badges ambazo ni zao wenyewe ( own making).
Kuna vijana wamekuja na additiona identification badges, wamejuaje kama si kuambiwa in advance?

It is a pity kuwa vijana wametoka mbali sana only to find kuwa eti hawana vigezo! vigezo ambavyo havikuwa kwenye tangazo.


Twende taratibu. Kitambulisho kinachotambulika serikalini ni NIDA (barua kutoka serikali ya mtaa kama huna NIDA), Leseni ya Udereva, Hati ya Kusafiria na Kitambulisho cha kupigia kura. Hao vijana wako wameenda na nini na wameambiwa waoneshe nini??​
 
Kama kweli hizo additional identification badges hazikuwepo kwenye barua ya wito wa interview basi huo mchakato ni batili.

Huwezi kuongeza vigezo vyako ambavyo havipo kwenye tangazo tena unasubiri wasailiwa wafike ndio useme hivyo.

Ikumbukwe watu wametoka sehemu tofauti tofauti hivyo kumfanyia surprise ya viambatanisho vya ziada ni sawa na kumnyima haki ya fair opportunity.
 
Sasa mkuu si uzioneshe hizo additional IDs? Ni kama zipi?
It will not add any value maana wamesha fukuzwa. This is to notify the concerned authorities to take action. Wakitaka ushahidi watawapata waliotimuliwa!
Mimi nimepewa taarifa na kijana ambaye anarudi Dar baada ya kutakiwa ids ambazo haziko kwenye tangazo
 

Attachments

Kama kweli hizo additional identification badges hazikuwepo kwenye barua ya wito wa interview basi huo mchakato ni batili.

Huwezi kuongeza vigezo vyako ambavyo havipo kwenye tangazo tena unasubiri wasailiwa wafike ndio useme hivyo.

Ikumbukwe watu wametoka sehemu tofauti tofauti hivyo kumfanyia surprise ya viambatanisho vya ziada ni sawa na kumnyima haki ya fair opportunity.
Azitaje kwaza ni zipi? Ambazo zimeongezwa
 
Naandika kwa masikitiko makubwa nikiona wanachofanyiwa vijana waliokuja kwenye usahili (written inteview) hapa Galanos Tanga.

1. Identification requirements zimekuwa mentioned katika tangazo la kuitwa kwenye usaili. Walio wengi wamekidhi kuja na vigezo/vitambulisho hivyo. Ajabu wasimamizi wameleta vigezo vingine ambavyo haviko kwenye list.

maana yake nini? Kuwapunguza watahiniwa na kuwapa wengine advantage wengine ya kuambiwa in advance vitu ambavyo haviko kwenye tangazo la serikali!

Vijana wanalia na kusaga meno kwa kukosa interview maana wasimamizi wamekomaa na addition identificationa badges ambazo ni zao wenyewe (own making).
Kuna vijana wamekuja na additiona identification badges, wamejuaje kama si kuambiwa in advance?

It is a pity kuwa vijana wametoka mbali sana only to find kuwa eti hawana vigezo! vigezo ambavyo havikuwa kwenye tangazo.
Huu uzi ni takataka mpka hizo id zitakapotajwa.
 
Pambaneni zama zimebadirika no free entry
Sasa hivi udaktari ni kama procurement lazima ule interview dadeki

Miaka miwili high school , mitano chuo tena kwa mateso bila bata plus mmwaka mmoja wa intern,

Then pepa la leseni mwanzo wa intern na baada ya intern ukifeli no leseni


Ukitoboa leseni unakutana na interview [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Mbaya zaidi wanaokufanyia inyerview ni wenye diplona na advanced diploma za udaktari plus watu wa human resources
Unawezaaa kuchizikaa hivii hiviii wallah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hao madktari hawajawahi kwenda dodoma interview waone jinsi watu wanavyorudishwa wakikosa moja ya vigezo! Wale sio mjomba zako kwamba utalia lia usamehewe mkuu! Fuata taratibu wakikuambia fika kwa wakati fanya hivyo! Vinginevyo hata hiyo ya kutokutimiza vigezo ni moja ya usaili! Usaili unaanzia kwenye vitambulisho, vyeti, ndo maana unaitwa mchakato! Ukiona umeitwa kwenye usaili mchakato wa usaili unaanza toka ulipoitwa kwenye usaili! Vijana kuweni makini!
 
Mods ondoeni huu uzi. Umejaa taarifa ambazo mleta mada ameshindwa kuzithibitisha na hivyo zinaangukia kundi la umbea na majungu. Hatuwezi kuwa tunarely kwenye taarifa za namna hii. Mleta mada waambie vijana wako next time wakienda kwenye usaili wazingatie kwenda na requirements zote kwa mujibu wa tangazo na wakizuiwa kuingi kwenye usaili wapeleke taarifa rasmi PSRS ikiwemo na ushahidi.​
 
Nje ya box wapi boss kwa mtu aliyesoma kwa mkopo udaktari? Afungue hospitali yake?
Kwani ni lazima dakitari kujiajiri afungue hospitali? Hapana kuna madakitari wengi wako nje ya fani zao udakitari kaufanya kama addtional income.......
 
Hao madktari hawajawahi kwenda dodoma interview waone jinsi watu wanavyorudishwa wakikosa moja ya vigezo! Wale sio mjomba zako kwamba utalia lia usamehewe mkuu! Fuata taratibu wakikuambia fika kwa wakati fanya hivyo! Vinginevyo hata hiyo ya kutokutimiza vigezo ni moja ya usaili! Usaili unaanzia kwenye vitambulisho, vyeti, ndo maana unaitwa mchakato! Ukiona umeitwa kwenye usaili mchakato wa usaili unaanza toka ulipoitwa kwenye usaili! Vijana kuweni makini!
hjasoma uzi ukauelewa1 Read between lines!
 
Nyie mnaongea mko kwenye ulaji, au wazazi wenu wako vizuri kifedha

Watoto wa maskinii, wanaliaa na kusaga meno. [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
Mkuu sio kweli ni kujitoa na kufanya hassling tu, ila watanzania wengi hupenda spoon feeding, hawataki critical thinking kupambana na umasikini.
 
Sasa mkuu si uzioneshe hizo additional IDs? Ni kama zipi?

Kila Msailiwa anapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi;
4. Vitambulisho vinavyokubalika ni pamoja na:- Kitambulisho cha Mkazi, Kitambulisho cha Mpiga
kura,Kitambulisho cha kazi,Kitambulisho cha Uraia, Hati ya kusafiria au barua ya utambulisho kutoka
Serikali ya Mtaa/Kijiji unachotoka

Kijana ana kitambulisho cha kura, anaambiwa alete pia barua ya mweyekiti wa ktaa/kijiji...what next? anaondoka maana hawezi kupatahiyo barua in asuch a short time wakati ana utambulisho mwingine ulioainishwa hapo
 
Back
Top Bottom