Uhuni wanaofanyiwa vijana waliokuja kwenye usaili wa kada ya afya kituo cha shule ya Sekondari Galanos, Tanga

Uhuni wanaofanyiwa vijana waliokuja kwenye usaili wa kada ya afya kituo cha shule ya Sekondari Galanos, Tanga

Ukienda kwenye interviews jiandae nilishawahi kuwafanyia watu usahili ilikua ni madereva kwenye oral interview nikamuomba dereva mmoja anionyeshe kijiko alivyokikosa ikawa sababu ya kumnyima kazi
Sasa jiulize kijiko na udereva wapi na wapi
 
Kwani ni lazima dakitari kujiajiri afungue hospitali? Hapana kuna madakitari wengi wako nje ya fani zao udakitari kaufanya kama addtional income.......
Kama nini boss? Usome udaktari halafu ukawe mchuuzi? Tuwe tunajaribu kuelewa mazingira ya graduate wetu. Kwanini ukafanye kazi nje ya fani uliyosomea miaka 11? Kuna mazingira inaweza kutokea hivyo ila katika hali ya kawaida si sawa. Mtu kasoma udaktari, akawe daktari. Mbona mikoa na wilaya nyingi tu zinawahitaji? Kwamba tumefikia level nchi haiitaji madaktari kiasi cha kwamba ukisoma udaktari ukamaliza unaweza endesha boda kwa kukosa kazi?
 
Mfano
Naandika kwa masikitiko makubwa nikiona wanachofanyiwa vijana waliokuja kwenye usahili (written inteview) hapa Galanos Tanga.

1. Identification requirements zimekuwa mentioned katika tangazo la kuitwa kwenye usaili. Walio wengi wamekidhi kuja na vigezo/vitambulisho hivyo. Ajabu wasimamizi wameleta vigezo vingine ambavyo haviko kwenye list.

maana yake nini? Kuwapunguza watahiniwa na kuwapa wengine advantage wengine ya kuambiwa in advance vitu ambavyo haviko kwenye tangazo la serikali!

Vijana wanalia na kusaga meno kwa kukosa interview maana wasimamizi wamekomaa na addition identificationa badges ambazo ni zao wenyewe (own making).
Kuna vijana wamekuja na additional identification badges, wamejuaje kama si kuambiwa in advance?

It is a pity kuwa vijana wametoka mbali sana only to find kuwa eti hawana vigezo! vigezo ambavyo havikuwa kwenye tanga
 
Kama nini boss? Usome udaktari halafu ukawe mchuuzi? Tuwe tunajaribu kuelewa mazingira ya graduate wetu. Kwanini ukafanye kazi nje ya fani uliyosomea miaka 11? Kuna mazingira inaweza kutokea hivyo ila katika hali ya kawaida si sawa. Mtu kasoma udaktari, akawe daktari. Mbona mikoa na wilaya nyingi tu zinawahitaji? Kwamba tumefikia level nchi haiitaji madaktari kiasi cha kwamba ukisoma udaktari ukamaliza unaweza endesha boda kwa kukosa kazi?
Mkuu Tanzania ajira bado zipo nyingi za udakitari za ualimu ila uwezo wakulipwa na serikali haupo kabisa, unakuta shule ya msingi ina wanafunzi 1000 ila waalimu ni 5 tu, hospitali hazina madakitari........Wa Tanzania hatutaki kujiongeza na kujitafuta kuna dakitari moja amefungua duka hapa kwetu udakitari unaufanyia nyumbani kwake kwa wale wanao mfahamu anatoa ushauri na connection za utabibu kipato chake kiko juu sasa kupita wale walio ajiliwa, hawezi kurudi serikalani tena.
 
Kwa mfano k
Naandika kwa masikitiko makubwa nikiona wanachofanyiwa vijana waliokuja kwenye usahili (written inteview) hapa Galanos Tanga.

1. Identification requirements zimekuwa mentioned katika tangazo la kuitwa kwenye usaili. Walio wengi wamekidhi kuja na vigezo/vitambulisho hivyo. Ajabu wasimamizi wameleta vigezo vingine ambavyo haviko kwenye list.

maana yake nini? Kuwapunguza watahiniwa na kuwapa wengine advantage wengine ya kuambiwa in advance vitu ambavyo haviko kwenye tangazo la serikali!

Vijana wanalia na kusaga meno kwa kukosa interview maana wasimamizi wamekomaa na addition identificationa badges ambazo ni zao wenyewe (own making).
Kuna vijana wamekuja na additional identification badges, wamejuaje kama si kuambiwa in advance?

It is a pity kuwa vijana wametoka mbali sana only to find kuwa eti hawana vigezo! vigezo ambavyo havikuwa kwenye tangazo.
Mfano kigezo gani kimewarudisha hakikuwepo kwenye tangazo!???

Acheni siasa nyie
 
Mkuu Tanzania ajira bado zipo nyingi za udakitari za ualimu ila uwezo wakulipwa na serikali haupo kabisa, unakuta shule ya msingi ina wanafunzi 1000 ila waalimu ni 5 tu, hospitali hazina madakitari........Wa Tanzania hatutaki kujiongeza na kujitafuta kuna dakitari moja amefungua duka hapa kwetu udakitari unaufanyia nyumbani kwake kwa wake wanao mfamu anatoa ushairi na connection za utabibu kipato chake kiko juu sasa kupita wale walio ajiriwa.
Upo sawa ila graduate wengi pangu pakavu, wanasubiriwa wamalize waanze kusaidia wadogo na ndugu zao. Akikosa kazi unwambie fungua duka hata huo mtaji tu wa kufungulia duka hana achilia mbali eneo la kufungua hilo duka.
 
Upo sawa ila graduate wengi pangu pakavu, wanasubiriwa wamalize waanza kusaidia wadogo na ndugu zao. Akikosa kazi unwambie fungua duka hata huo mtaji tu wa kufungulia duka hana achilia mbali eneo la kufungua hilo duka.
Lakini kumbuka huyu mtu anaweza kukopa au kutafuta pesa kwa marafiki na ndugu ili afunge ndoa ya 15 hado 30m ila hawezi kukopa kuanzisha biashara ndogo
 
Kila Msailiwa anapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi;
4. Vitambulisho vinavyokubalika ni pamoja na:- Kitambulisho cha Mkazi, Kitambulisho cha Mpiga
kura,Kitambulisho cha kazi,Kitambulisho cha Uraia, Hati ya kusafiria au barua ya utambulisho kutoka
Serikali ya Mtaa/Kijiji unachotoka

Kijana ana kitambulisho cha kura, anaambiwa alete pia barua ya mweyekiti wa ktaa/kijiji...what next? anaondoka maana hawezi kupatahiyo barua in asuch a short time wakati ana utambulisho mwingine ulioainishwa hapo
Kwa muktadha huo naweza sema vijana wako ni wazembe!!
Kwani figisu za bongo hawazijui?
Hapo alitakiwa kuchukua barua serikali ya mtaa na kuambatanisha pamoja na vitambulisho alivyo navyo maana hata kufungua AC bank ukienda na NIDA bado watataka barua ya mtaa/kijiji
 
Kuzingatia maelekezo ni sehemu ya usahili. Hivyo kama wamerudishwa ujue wamefeli usahili, jiulize kwanini kuna walioingia. Maelekezo yalisema wasahiliwa waje na vyeti orijino msahiliwa anakuja na copy ya rangi unataka msimamizi afanye nini!!? Umeambiwa njoo na barakoa wewe huna, msaili akufanye nini sasa!
 
Naandika kwa masikitiko makubwa nikiona wanachofanyiwa vijana waliokuja kwenye usahili (written inteview) hapa Galanos Tanga.

1. Identification requirements zimekuwa mentioned katika tangazo la kuitwa kwenye usaili. Walio wengi wamekidhi kuja na vigezo/vitambulisho hivyo. Ajabu wasimamizi wameleta vigezo vingine ambavyo haviko kwenye list.

maana yake nini? Kuwapunguza watahiniwa na kuwapa wengine advantage wengine ya kuambiwa in advance vitu ambavyo haviko kwenye tangazo la serikali!

Vijana wanalia na kusaga meno kwa kukosa interview maana wasimamizi wamekomaa na addition identificationa badges ambazo ni zao wenyewe (own making).
Kuna vijana wamekuja na additional identification badges, wamejuaje kama si kuambiwa in advance?

It is a pity kuwa vijana wametoka mbali sana only to find kuwa eti hawana vigezo! vigezo ambavyo havikuwa kwenye tangazo.
Hii tume itafutwa soon kama ilivyo skuli ya sheria
 
Pambaneni zama zimebadirika no free entry
Sasa hivi udaktari ni kama procurement lazima ule interview dadeki

Miaka miwili high school , mitano chuo tena kwa mateso bila bata plus mmwaka mmoja wa intern,

Then pepa la leseni mwanzo wa intern na baada ya intern ukifeli no leseni


Ukitoboa leseni unakutana na interview 😆😆😆😆

Mbaya zaidi wanaokufanyia inyerview ni wenye diplona na advanced diploma za udaktari plus watu wa human resources
Lakini hii haiondoi ukweli kua degree holder wa procurement TAMISEMI anaanza na TGS D<800,000/=,huku MD akianza na TGHS E~1,550,000/=,...........Acha vijana wapambane
 
Nyie mnaongea mko kwenye ulaji, au wazazi wenu wako vizuri kifedha

Watoto wa maskinii, wanaliaa na kusaga meno. [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
fact fact fact nafikiri ni maumivu ya kudumu kwa wale wanaotoka kwenye familia/kaya duni
 
Mkuu Tanzania ajira bado zipo nyingi za udakitari za ualimu ila uwezo wakulipwa na serikali haupo kabisa, unakuta shule ya msingi ina wanafunzi 1000 ila waalimu ni 5 tu, hospitali hazina madakitari........Wa Tanzania hatutaki kujiongeza na kujitafuta kuna dakitari moja amefungua duka hapa kwetu udakitari unaufanyia nyumbani kwake kwa wale wanao mfahamu anatoa ushauri na connection za utabibu kipato chake kiko juu sasa kupita wale walio ajiliwa, hawezi kurudi serikalani tena.
Kwa hiyo serikali inataka kufunika upungufu wa watumishi hao Kwa kuuaminisha umma kuwa upungufu huo ni Kwa sababu wataalamu wapi mtaani kisa wali fail interview? Nchi ngumu sana hii
 
Pambaneni zama zimebadirika no free entry
Sasa hivi udaktari ni kama procurement lazima ule interview dadeki

Miaka miwili high school , mitano chuo tena kwa mateso bila bata plus mmwaka mmoja wa intern,

Then pepa la leseni mwanzo wa intern na baada ya intern ukifeli no leseni


Ukitoboa leseni unakutana na interview 😆😆😆😆

Mbaya zaidi wanaokufanyia inyerview ni wenye diplona na advanced diploma za udaktari plus watu wa human resources
Hiyo inaitwa utajua hujui
 
Back
Top Bottom