Uhuni wanaofanyiwa vijana waliokuja kwenye usaili wa kada ya afya kituo cha shule ya Sekondari Galanos, Tanga

Uhuni wanaofanyiwa vijana waliokuja kwenye usaili wa kada ya afya kituo cha shule ya Sekondari Galanos, Tanga

Malalamiko hayasaidii ndugu, wajipange tena msimu ujao. Baadhi ya wasaka ajira huwa wanachukulia mambo easy, tena hata kutafuta taarifa sahihi kwao ni mzigo. Wafuatao ndio wahusika anaoongelea mleta mada

1. Vijana walioenda na copy za vyeti zenye rangi na kuweka lamination, wakati wametangaziwa waende na vyeti halisi.
2. Walioenda na vyeti vyenye majina tofauti bila deed pool au affidavit (supporting documents)
3. Walioenda bila leseni au leseni zilizoisha muda. Wengine wameenda na risiti za malipo ya leseni.
4. Mtu anaenda na picha ya kitambulisho iliyopigwa ipo kwenye simu (softcopy ya NIDA). Vitambulisho vinavyokubalika vimeorodheswa ila mtu anaenda na kitambulisho cha chuo aliposomea.

Hayo makundi manne ni walalamikaji wasio na mashiko. Usaili unahitaji umakini, moja ya sehemu ya interview ni kufuata maelekezo.

Next time wajitahidi kufuata maelekezo sio ukaidi.
Haikuwa hivyo ingawa kuna possibiliy kubwa ya kutokea scenario kama hizo. The case(s) I am reporting is/are not among those you have mentioned!
 
Twende taratibu. Kitambulisho kinachotambulika serikalini ni NIDA (barua kutoka serikali ya mtaa kama huna NIDA), Leseni ya Udereva, Hati ya Kusafiria na Kitambulisho cha kupigia kura. Hao vijana wako wameenda na nini na wameambiwa waoneshe nini??​
Wamembiwa waoneshe kadi ya Chama Pendwa, na wahakikishe ni wanachama Hai
 
Ndio mkuu. Kwa mazingira yetu ya sasa Kuna fani ukiwaambia watu wajiajiri ni ngumu mno.

Barua ya Serikali ya Mtaa utambulisho hii iweke mbele kabisa

Barua ya kiapo iwe front kabisa
Barakoa hata km hawahitaji Wewe beba kujihami
Mkebe wa kuhifadhi rula na upuuzi mwingine
Periodic table usisahau
Calculator beba

Yaan hivyo unaweza ukaona vya kipuuzi Ila wakiamua huwaambii kitu wanakutupa nje ajira watu 900 mnaenda Million unafikiri wanafanyaje kuwapunguza
 
Barua ya Serikali ya Mtaa utambulisho hii iweke mbele kabisa

Barua ya kiapo iwe front kabisa
Barakoa hata km hawahitaji Wewe beba kujihami
Mkebe wa kuhifadhi rula na upuuzi mwingine
Periodic table usisahau
Calculator beba

Yaan hivyo unaweza ukaona vya kipuuzi Ila wakiamua huwaambii kitu wanakutupa nje ajira watu 900 mnaenda Million unafikiri wanafanyaje kuwapunguza
Wanaudhi Sana Hawa watu. Wao wanajali per diem tu basi.
 
Muda mwingine inategemea na utu na huruma ya msimamizi. Wapo ambao huwa wanenda bila deedpol au affidavit kisha wanaambiwa hatua inayofuata, ama practical au oral interview wajitahidi kutafuta hizo documents.

All in all, kufuata maelekezo ni sehemu ya usaili. Vijana tusijisahau
Huyo huyo aliyeruhusu wengine kufanya wakiwa hawana leseni anazuia mwingine asifanye kisa tu ana cheti kilichokuwa printed
 
Huyo huyo aliyeruhusu wengine kufanya wakiwa hawana leseni anazuia mwingine asifanye kisa tu ana cheti kilichokuwa printed
Jamaa hawana Mswalie Mtume huna rudi kwenu wanaoingia ni wenye navyo tu basi, ushaelewa?
 
Wanaudhi Sana Hawa watu. Wao wanajali per diem tu basi.
Ndio nimekupa code next time ukiitwa barua Serikali ya Mtaa utambulisho iweke mbele zaidi usisahau wengi wamechinjiwa baharini sababu hawana hio kitu
 
Mods futa huu uzi...huyu kaandika tu na hajui utaratibu ukoje...
Hakuna mtu anafanya hivyo, kwanza kuna form huwa wanapewa waliokosa vielelezo, unaandika kosa lako baada ya kupewa maelekezo na unasaini..
PSRS hakuna ujanja ujanja...
Hii ni nini? Usiongee kitu usichokijua
IMG-20240902-WA0044.jpg
 
Naandika kwa masikitiko makubwa nikiona wanachofanyiwa vijana waliokuja kwenye usahili (written inteview) hapa Galanos Tanga.

1. Identification requirements zimekuwa mentioned katika tangazo la kuitwa kwenye usaili. Walio wengi wamekidhi kuja na vigezo/vitambulisho hivyo. Ajabu wasimamizi wameleta vigezo vingine ambavyo haviko kwenye list.

maana yake nini? Kuwapunguza watahiniwa na kuwapa wengine advantage wengine ya kuambiwa in advance vitu ambavyo haviko kwenye tangazo la serikali!

Vijana wanalia na kusaga meno kwa kukosa interview maana wasimamizi wamekomaa na addition identificationa badges ambazo ni zao wenyewe (own making).
Kuna vijana wamekuja na additional identification badges, wamejuaje kama si kuambiwa in advance?

It is a pity kuwa vijana wametoka mbali sana only to find kuwa eti hawana vigezo! vigezo ambavyo havikuwa kwenye tangazo.
Eleza kwa upana, maana kunahitajija Kitambulisho cha NIDA kuonesha uraia na kisha cheti cha kuzaliwa kuonesha ulipozakiwa. Wewe umeombwa nini zaidi?
 
Vijana tuwe makini kwenye hizi saili za utumishi, wasimamizi wako moto mno yn ukikosa chochote wanachokitaka lazima wakufukuze kitu ambacho binafsi nawaunga mkono mana hua wanatangaza kabisa vitu vya kuwa navyo.
 
Eleza kwa upana, maana kunahitajija Kitambulisho cha NIDA kuonesha uraia na kisha cheti cha kuzaliwa kuonesha ulipozakiwa. Wewe umeombwa nini zaidi?
Ongeza :

Deed poll
Affidavit
RITA Certificate
Certificate of Oath
Barua utambulisho Serikali ya Mtaa na
Barakoa
 
Vijana tuwe makini kwenye hizi saili za utumishi, wasimamizi wako moto mno yn ukikosa chochote wanachokitaka lazima wakufukuze kitu ambacho binafsi nawaunga mkono mana hua wanatangaza kabisa vitu vya kuwa navyo.
Vingine unakuta list imeongezwa huko huko kwa hio lazima ujiongeze beba kila unachoweza kubeba tena beba original hawataki copy
 
Naandika kwa masikitiko makubwa nikiona wanachofanyiwa vijana waliokuja kwenye usahili (written inteview) hapa Galanos Tanga.

1. Identification requirements zimekuwa mentioned katika tangazo la kuitwa kwenye usaili. Walio wengi wamekidhi kuja na vigezo/vitambulisho hivyo. Ajabu wasimamizi wameleta vigezo vingine ambavyo haviko kwenye list.

maana yake nini? Kuwapunguza watahiniwa na kuwapa wengine advantage wengine ya kuambiwa in advance vitu ambavyo haviko kwenye tangazo la serikali!

Vijana wanalia na kusaga meno kwa kukosa interview maana wasimamizi wamekomaa na addition identificationa badges ambazo ni zao wenyewe (own making).
Kuna vijana wamekuja na additional identification badges, wamejuaje kama si kuambiwa in advance?

It is a pity kuwa vijana wametoka mbali sana only to find kuwa eti hawana vigezo! vigezo ambavyo havikuwa kwenye tangazo.
Hapo cha kufanya ni kuwapeleka hao wasimamizi wa kituo cha usaili Mahakamani wao pamoja na Katibu Mkuu wizara husia na Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Kwenda kudai kunyimwa kwa makusudi haki ya kufanyakazi pamoja na kupewa taarifa.

Wadai na madai mengineyo maana hilo kama halikuwelo awali na limeibuliwa hakuna sababu ya kutia huruma kwa kuomba omba ni suala la sheria na taratibu zifuatwe tu.

Ila kwa aina yetu ya vijana labda Kenya huko wenye uelewa wa mambo na uraia.
 
Back
Top Bottom