Uhuru asema CJ Maraga atamtambua yeye ni nani, asema yeye ni rais

Siyo watanzania wote mkuu. Ni wale "vichwa penda Lowassa"
Hakika asipojiuzuru atapelekwa Ngong alafu mnasifia politics za kenya nyie wa Tz watu wa ajabu sana na huyo Ulimwengu wenu
 
Wanamuita baba wa demokrasia.....kuna watu wengine ni wa ovyo sana.
 
Lazima uchanganyikiwe, hii issue ilikuwa ni kubwa mno hata yeye na wenzake wa Jubilee hawakutegemea kama yaweza kutokea.

Ile damu ya wakenya iliyomwagika ndiyo inafanya kazi sasa - MUNGU yupo na lazima malipo ya haki yapatikane hapa hapa duniani, ni kweli hata ungekuwa wewe lazima udate na uanze kuwatisha majaji, saikologia lazima iyumbe jambo hili ni kubwa mno.

Haya mambo ni magumu sana, ila MUNGU akishaingilia kati huwezi kuchomoka. Yeye atulie kisha angoje tuone 2nd round ya mtanange.
 
Mahakama ilishaamua kilichobaki ni utekelezaji tu hayo maneno maneno ni mbwembwe tu wala hayana athari zozote.
Kama Uhuru anasema CJ Malaga mbaya kwa nini aliweka Kshs 500mln kwenye Acct yake??
Je amfungulie kesi ya kutoa rushwa ??
 
Ahh wakikuyu mshafika tanzania kitambo. Dah, ole wangu, nilitaka kukimbilia huko. Wacha nijitembeze hadi botswana ama Mozambique najua lugha mpya nyinyi hamuezi elewa
 
Personally namkubali sana Uhuru... Huyu ni kiongozi shupavu, mwana demokrasia wa kweli, Presidential material
Mtu anauwa watu holela na unamuita mwanademokrasia. Kweli waafrika tulilaaniwa na mungu na shetani.
 
Uhuru anaharibu heshima aliyojijengea. Likitokea lolote kwa wale majaji atakuwa hana pa kukwepea. Amesahau kuwa speech is irriversible.
 
Vitisho vya Uhuru kwa Maraga itamharibia kwa wapiga kura, atapunguza kura kwa kiasi fulani endapo ataendelea kumwandama.

Apunguze hasira kama anajiamini ushindi ulikua wake. Kwa hali hio alihusika na mchezo wa IEBC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kinachogomba hapo ni wajaluo wanataka kieleweke.
Jaluo katawala Marekani anashindwaje kutawala Kenya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa Tundu Lisu nani bora kati ya Pombe na Kenyata, Rais ambaye anatishia taasisi ambayo wewe ni mtaalamu halafu uko upande wake? shame on him....
 
Jamani hebu tutumie hata akili robo.....speech iko edited how?, t-shirt hiyohiyo na maneno yaliyosemwa yanaambatana na tukio. sasa hebu tupe utaalaam wako!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…