Rongorongo tu mkuu, umekamatwa pabaya ehh? Hahaaa ata kwenye top 10 umeona hampo?Hahahahaha, Hahahahaha, onyesheni uwezo wenu acha kelele
Onyesheni uwezo on the ground, usituletee longolongo za kwenye karatasi.Rongorongo tu mkuu, umekamatwa pabaya ehh? Hahaaa ata kwenye top 10 umeona hampo?
Hakuna raisi bora kama Raisi Uhuru Kenyatta katika Afrika ya Mashariki.
Trust me we are not over estimate ourselves... We are real good Anko trust me we are daaamnn good ea hamna nchi inaweza simama na tz kwenye vita amini hilo...
Sikiliza mziki huoo, yaani ni hatari fire. Katika jeshi bora Subsahara Afrika, ni South Africa, Tanzania na Ethiopia.
1.Egypt
2.Algeria
3.South Africa
4.Nigeria
5.Ethiopia
6.Morocco
7.Tunisia
8.Kenya
9.Sudan
10.Angola
Jadili na facts,najua wewe mzalendo unaipenda nchi yako lakini ukweli ubaki kuwa ukweli! Punguza ushabiki.
Rongorongo tu mkuu, umekamatwa pabaya ehh? Hahaaa ata kwenye top 10 umeona hampo?
Rongorongo tu mkuu, umekamatwa pabaya ehh? Hahaaa ata kwenye top 10 umeona hampo?
Jeshi linakuaga secretive km lilivyo Israel ambayo mmarekani wako hagusi mkuu japokuwa wamempendelea kumweka wa kwanza akat ht North Korea haiwez.na km ilivyo tz hatutambi kwa list tunatamba kwa uwezo ukishoboka tunakuweka muulize bibi yako mama kaunda alitaka kuleta poyoyo kuhusu nyasa wakamwoneshea vifaa tu JWTZ alifyata makalio.
HahahahahahaaKumbe USA anapigwa na Israel ?
Kumbe USA anapigwa na Israel ?
Duh kumbe Israel ni hatari hivyo ?Washangaa hee kwan technology ya silaha America inaloweya wapi si Israel na Japan hulijui hilo.Israel ana bomb alilipiga ghazar mpk sasa ardhi yake upande wa kaskazin imeharibika madaktar wa who walifanya uchunguz wakasema hapafai ishi mtu hat pafanywe nn wakataka kutoa msaada km UN Netanyahu akawapiga mkwara olewake atakaewasaidia ghazar na mbona had Trump alifyata makalio wale sio viumbe mashetan.We trump rais kim wa korea kaskazin anamtoa jasho atawezana na Netanyahu
Duh kumbe Israel ni hatari hivyo ?
Bt let metell you Israel ni Jimbo la USA Israel yupo pale middle East kimkakati hasa kutimiza malengo ya USA so Israel sio kitu mbele ya USA
Na endapo itatokea USA akaiacha Israel basi watomaliza mwaka wakiwa pale middle East
Endapo itatokea vita kati ya KDF na JW basi JW watashinda kiwepesi saana kwa ukanda huu nchi ambayo inaweza kusumbuana saana kijeshi na Tz ni Uganda peke yake
Pia Uganda anao uwezo wa kuwatwanga vizuri tu KDF,burundi,Rwanda na drc kwa pamoja
Kwa mdomo waswazi hamjambo 😂 lakini vita kati ya Ke na Tz haitowahi. Sisi watani wa jadi! Biashara, ndoa twafanya tu kwa pamoja! Nothing personal.Endapo itatokea vita kati ya KDF na JW basi JW watashinda kiwepesi saana kwa ukanda huu nchi ambayo inaweza kusumbuana saana kijeshi na Tz ni Uganda peke yake
Pia Uganda anao uwezo wa kuwatwanga vizuri tu KDF,burundi,Rwanda na drc kwa pamoja
Mbona hiyo sijawahi iona akat wale mayahudi walikua wakijiendesha wenyewe toka backward hiyo kuwa jimbo imetokea wapi ile ni free state wid its sovereignty toka nyuma japokuwa nchi yenyewe wanaijenga kwa kuunga unga
Kwa mdomo waswazi hamjambo [emoji23] lakini vita kati ya Ke na Tz haitowahi. Sisi watani wa jadi! Biashara, ndoa twafanya tu kwa pamoja! Nothing personal.
TZ ? bora kutokana na nini, labda kwa mdomo tu.. i keep repeating , can you give facts.Sikiliza mziki huoo, yaani ni hatari fire. Katika jeshi bora Subsahara Afrika, ni South Africa, Tanzania na Ethiopia.