Dabaga1998
JF-Expert Member
- Apr 10, 2016
- 994
- 502
Kweli kabisa sasa kama Makonda anasema watu wasiofanya mazoezi na wakapata magonjwa kama kisukari walipishwe mara mbili ya bei ya matibabu. Kwa nini asianze mazoezi yeye mwenyewe kwanza.Tofauti kati ya msomi Na aliepitia madarasa;!
Jina lake linamaanisha matendo yake na huyu mwingine jina lake linamaanisha matendo yake pia. Sitaki kutaja majina nisije nikalala lupango kama Tindu Lissu.Safi sana President Uhuru kweli wewe ni Uhuru.
Nihudhuni jamani Tanzania ya Nyerere .Ukitaka kuwa salama wewe sifia kila kitu haaa haaa habari ndio hiyo.
Uhuru siyo limbukeni.Uhuru ameyazoea madaraka hana papara ya kuonyesha kwamba yeye ni Rais!
Tungekuwa hatupo naye hapa duniani tena, halafu ukichangia kua ni mwanamke. Angekula mabao na angekutwa amelazwa Muhimbili.angekuwa Bwana Juma maharage, huyo mbunge angeisoma namaba
Hakyamungu ingekuwa hapa sasa hivi yule mbunge angekuwa sijui ana hali gani maskini ya Mungu na nyumba yake ingesachiwa yote hadi vikombe
Baada ya kutukanwa juzi bungeni na yule mbunge ambaye hawezi kushtakiwa kwa kuwa aliongelea bungeni(kwa wenzetu kenya bunge linaheshimiwa ina maana hata askari hawawezi ingia kuwapiga tanganyika jeki wabunge)Rais kenyata kamtumia kadi ya krismasi aliyosaini yeye na mkewe magreth.
Hatua imemuongezea point sana Kenyata na kuwadharaulisha Cord na huyo mwana mama
Inanikumbusha jinsi Kikwete alivyowapuuza wale jamaa wa msikiti fulani pale city centre waliomsomea albadir ili afe,aliongea lakini wala hakuwatumia jeshi la polisi wakamatwe.
President Kenyatta responds to Millie’s insults with a Xmas Card
Yesterday 5:42 pm
There has been no reaction from President Kenyatta himself or State House over Millie’s remarks.
NAIROBI, Kenya Dec 21 – President Uhuru Kenyatta has sent a Christmas Card to Mbita MP Millie Odhiambo even a day after she insulted him publicly within Parliament buildings.
The card seen by Capital News beat is also wishing Millie a Happy New Year, coming just a day after she hurled insults at the Head of State.
Remarks by the Opposition MP have drawn sharp reactions from a section of Kenyans and leaders–including MP Moses Kuria who posted scathing comments against the law maker.
There has been no reaction from President Kenyatta himself or State House over Millie’s remarks.
jongoo unamaaanisha niniKenyetta akili kubwa, huwezi kumlinganisha na Jongoo
Sijaelewa umeandika nini au kama nimeelewa basi sijaelewa unacho advocate au kama unampinga au unampongeza Uhuru.Kwa hiyo nini maoni kuhusu matusi dhidi ya binadamu wengine? Au hiyo ndiyo demokrasia kwako? Je vp anayetukanwa yeye hana haki ya kidemokrasia?
Mkuu siyo kuyazoea ru bali na busara pia! Uhuru yuko vizuri sana!Uhuru ameyazoea madaraka hana papara ya kuonyesha kwamba yeye ni Rais!
Kukiwa na ulazima itabidi iwe hivyo ili mjue tofauti ya Demokrasia na uvunjifu wa sheria kiholela.Mkifikia hatua ya kulinganisha Tanzania na KSA kwenye mambo ya demokrasia basi ujue hali ni mbaya.
Kama mnaona KSA ndiyo wa kujilinganisha nao anzeni kukata vichwa wauza unga, kateni miguu wezi na wanawake wapigwe marufuku kuendesha magari. Pia msisaha wanawake wanapotoka nje wawe na ndugu zao wa damu. Poor Wadanganyika
Na Askari Wale Kwa kimbele mbele na Sifa Angekiona cha Moto Huyo Mdada.angekuwa Bwana Juma maharage, huyo mbunge angeisoma namaba
ndivyo inavyotakiwa ,yeye ndiye mshindi sasa sio ku react kibabebabe kama kifaru,michele obama anakwambia when they go low we go high,yeye na mumewe wametukanwa sana mara wanaitwa ma gorilla lakini haiwaondolei focus sasa kuna reaction za watu fulani mpaka unashangaa aiseeeeEti gentalmen, mwenzenu Kenyatta anacheza mchezo wa kisiasa by "not rocking the boat", nyinyi mnasema gentlemen. Mm
na kalipunguza kweli ila ingekuwa bongo sijui ingekuwaje?Anajua yuko kona mbaya,kabanwa.Hivyo ni mbinu ya kupoza joto.
Hakyamungu ingekuwa hapa sasa hivi yule mbunge angekuwa sijui ana hali gani maskini ya Mungu na nyumba yake ingesachiwa yote hadi vikombe
Baada ya kutukanwa juzi bungeni na yule mbunge ambaye hawezi kushtakiwa kwa kuwa aliongelea bungeni(kwa wenzetu kenya bunge linaheshimiwa ina maana hata askari hawawezi ingia kuwapiga tanganyika jeki wabunge)Rais kenyata kamtumia kadi ya krismasi aliyosaini yeye na mkewe magreth.
Hatua imemuongezea point sana Kenyata na kuwadharaulisha Cord na huyo mwana mama
Inanikumbusha jinsi Kikwete alivyowapuuza wale jamaa wa msikiti fulani pale city centre waliomsomea albadir ili afe,aliongea lakini wala hakuwatumia jeshi la polisi wakamatwe.
President Kenyatta responds to Millie’s insults with a Xmas Card
Yesterday 5:42 pm
There has been no reaction from President Kenyatta himself or State House over Millie’s remarks.
NAIROBI, Kenya Dec 21 – President Uhuru Kenyatta has sent a Christmas Card to Mbita MP Millie Odhiambo even a day after she insulted him publicly within Parliament buildings.
The card seen by Capital News beat is also wishing Millie a Happy New Year, coming just a day after she hurled insults at the Head of State.
Remarks by the Opposition MP have drawn sharp reactions from a section of Kenyans and leaders–including MP Moses Kuria who posted scathing comments against the law maker.
There has been no reaction from President Kenyatta himself or State House over Millie’s remarks.