Uhuru Kenyatta aonesha ustaarabu wa hali ya juu

Uhuru Kenyatta aonesha ustaarabu wa hali ya juu

Sijakuelewa ina maana Baba yule aliyekuwa akisema kwa hasira na msisitizo mkubwa "mimi ni Rais mimi ni Rais mimi ni Rais upende usipende mimi ni Rais hajazoea madaraka ?!!!!.
Usinitafutie kesi kakangu, umenielewa vizuri saana tu ila wewe ni chautundu! Hahaha
 
vizuri,nimefurahi pia ulivoingiza na habar ya kikwete ni mtu mwema pia kama hakureact,aliposomewa hyo kitu
 
Usinitafutie kesi kakangu, umenielewa vizuri saana tu ila wewe ni chautundu! Hahaha

Halafu IP address zinapitiwa moja baada ya nyingine haaaa haaa.
 
Kawaida ya Jongoo ni dhaifu ila anapenda kujitutumua kutembea mwendo mrefu, hivi jongoo ni nani eti?[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Jongoo amisha mshika Tindu Lissu, msipoangalia hapo patageouka Zimbabwe na msiombe wajameni itakuwa baraaaaaaaaaaaaaa.
 
ingekuwa yule bwana ndio ametukanwa huyo mbunge angelia xmass lupango, tabia za faru hatari sana!
 
Back
Top Bottom