Uhuru Kenyatta atashinda kwa 50.42% na Raila 45.15%...na ameshinda kwa 50.03%

Uhuru Kenyatta atashinda kwa 50.42% na Raila 45.15%...na ameshinda kwa 50.03%

Status
Not open for further replies.
Halafu zile artcle za Uhuru kumtembelea Kikwete, Bagamoyo kuitwa Mwai Kibaki
Mkuu, Kikwete ni Rais pia, kutembelewa na viongozi wa serikali ya nchi nyingine ikulu hakumaanishi lolote katika chama. Hata hivyo, mara nyingi vyama vya siasa vina mahusiano ya kisiasa na vyama vya nchi zingine lakini pia yana mipaka kiutendaji. Kwenda kusaidia chama cha nchi nyingine katika kampeni kwa kutoa magari na manpower ni zaidi ya mahusiano ya kawaida.
Katibu wa chama pamoja na Ritz kupiga kambi Nairobi wakati huu wa uchaguzi wewe hujaziona??
Katibu wa chama (CCM) yuko kule siyo kwa kutumwa na chama chake bali kama kiongozi wa EAC Election Observer.

Sijui Ritz gani huyo unayemsema?. Una maana Ritz wa JF?. Kama ni huyo, basi hilo atakujibu yeye kama kweli yuko huko kwa mission za kisiasa.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, Kikwete ni Rais pia, kutembelewa na viongozi wa serikali ya nchi nyingine ikulu hakumaanishi lolote katika chama. Hata hivyo, mara nyingi vyama vya siasa vina mahusiano ya kisiasa na vyama vya nchi zingine lakini pia yana mipaka kiutendaji. Kwenda kusaidia chama cha nchi nyingine katika kampeni kwa kutoa magari na manpower ni zaidi ya mahusiano ya kawaida.

Katibu wa chama (CCM) yuko kule siyo kwa kutumwa na chama chake bali kama kiongozi wa EAC Election Observer.

Sijui Ritz gani huyo unayemsema?. Una maana Ritz wa JF?. Kama ni huyo, basi hilo atakujibu yeye kama kweli yuko huko kwa mission za kisiasa.

Mkuu wangu hizo ni propaganda za Pro-Chadema baada ya kuona Kenya ngoma ngumu.
 
Last edited by a moderator:
kweli wajaluo ni wakabila wakubwa !! yaani uhuru kuna mahali kaambulia 1% tu kwenye ngome ya raila.
 
Ila wakenya inabidi wajitahidi kuboresha kiswahili chao. Nasoma hapa kwenye TV eti Mudavadi "asalimu amri". Sasa kitu cha kupongezwa kama alichofanya Mudavadi kinawezaje kuitwa kusalimu amri.
 
kweli wajaluo ni wakabila wakubwa !! yaani uhuru kuna mahali kaambulia 1% tu kwenye ngome ya raila.

Unashangaa 1% alopata Independence ktk stronghold ya Raila?...utazimia kama ungeona nilichoona mie jana, katika count moja ngome ya Mr. Independence yeye kapata zaidi ya kula laki moja, mjaruo ana SIFURI! Chezea zimwi la ukabila wewe!
 
51.27% for Uhuru. this is a closed deal. Hongera kwa wakenya wote kwa kupata Rais mpya mliyemchagua.
 
Lakiní mimi nina wasiwasi na hiyo idadi ya wapiga kura inayosomwa na hiyo Tume.

Ilipofika saa 2 usiku huu, hesabu za Tume zilkuwa zinasoma Uhuru, kura 5,824,901 na Raila alikuwa na kura 4,708,686 kwa hiyo tarakimu za Tume kwa muda huo zikawa zinasoma kuwa ukijumlisha kura za Uhuru, Raila na za wagombea wengine unapata jumla ya kura zinasoma 11,359,686.

Sasa kinaconishangaza mimí ni kuwa Tumé hiyó imetwambia waliojitpkeza kupiga kura ni asilimia 70. ukiitafuta asilimia 70 ya 14,000,000 unapata ni 9,800,000.

Sasa swali ni kuwa inakuwaje idadi ya kura zilizohesabiwa hadi sasa pamoja na kubakia vituo 27, idadi iliyotajwa hadi sasa iwe zaidi ya aslimià 80?!

Kwa mazingira hayó zile tetesí kuwa kunà kura hewa kiasi cha 600,000 zilizoingizwa kuhesabiea zimpe ushindi Uhuru zinaelekea zikawa za kweli!!

Naomba wale mabingwa wa hesabu nanyi mjaribu kuipiga hesabu hiyó.
 
Hii thread bado ni 'TETESI' wakato matokeo tunayo? CDM mpo?

399515_494873593909054_694427566_n.jpg
 
Nilitaka Odinga ashinde kwa vile ninadhani kuwa yuko sincere sana katika kuhudumia raia wa kawaida. Nimekuwa ninaamini kuwa Kenyatta ni kwa walio nazo tu, na Kenya kama yalivyo mataifa mengi ya kiafrika, walio nazo si wengi namna hiyo. Hata hivyo ni lazima tukubaliane na chaguo la wakenya kwani wao ndio wanaouwajua wagombea wao vizuri zaidi ingawa ninajua pia umuhimu wa makabila ya wagombea katika Kenyan politics, na tabia za wasimamizi wa chaguzi zetu kutoheshimu wapiga kura.

[h=5]And if Raila Odinga wins the Kenyan Election.."well atleast the country will no longer be at the risk of being run on Skype by Kenyatta while he appears before the Hague" (harboured thought)[/h]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom