Mtampamba sana Kenyata kwa kila sifa, ukweli ni kwamba wafanyakazi wakigoma ni kuongea nao na kusikiliza shida zao na sio kupeleka jeshi na kingine kulikua na ulazima wavae nguo za Jeshi?Arafu kumbe huko Kenya mnakosifia kila siku kumbe watu hawapewi mishahara?Ingekua bongo si mngeponda sanaKatumia KDF kufanya kazi Professional na sio kupiga watu na kubangua Koroshow
See the difference
Sent from my TECNO CX Air using Tapatalk
Stupid comment kama tanzania wafanyakazi wote waliogoma wangefukuzwa kazi na kutiwa ndani, kenya kuna sheria na demokrasia raisi anatafuta alternative route, lakini wafanyakazi wanaendelea kudai haki zao kwa dicteta wa tanzania hiyo ni kama ndotoJeshi Ni chombo cha usalama ambacho hutumika kukiwa na emergency sababu huwa muda wote lipo tayari na kwa mara nyingi hapa kwetu Rais wetu amekuwa akilitumia mara kwa mara punde kunapotokea emergency yoyote, na huwa analiamini kwa kufanya shughuli kwa ufanisi, haraka na kwa gharama sawa na bure.
Leo jirani yetu Kenya kumetokea mgomo wa wafanya kazi na Rais Uhuru Kenyatta akaamuru KDF kuingilia kati kwa kufanya shughuli zote baada ya wafanyakazi kugoma.
je, katumia busara kulitumia jeshi badala ya kukaa na wafanyakazi waliogoma na kumaliza mgomo wao?
Kwetu hapa malalamiko haya yangekuwepo watu wagome na Rais aamuru jeshi kunusuru hii hali angeandikwa ni DIKTETA hilo halina ubishi.
Je, ingekuwa hapa kwetu stori zingekuwaje make huwa kuna malalamiko kwa kutumia jeshi kila wakati.
Sent using Jamii Forums mobile app
Question mark inatoka wapi?Jeshini kuna kila aina ya vitengo.Kuna skilled na non skilled labours. Kama kulikua na uhitaji wa kubangua korosho wangebangua tu.Mbona huko nyuma Tanzania ilishatumia jeshi wakati wa migomo ya madaktari.... Hii ya kudomba na kubangua KORO SHOW... Ndiko lilikuwa na question marks.
Dikteta anaanzia udikteta kwenye familia yake nini jeshi?Hahahahahahaa dikteta ni dikteta tu.
Jeshi Ni chombo cha usalama ambacho hutumika kukiwa na emergency sababu huwa muda wote lipo tayari na kwa mara nyingi hapa kwetu Rais wetu amekuwa akilitumia mara kwa mara punde kunapotokea emergency yoyote, na huwa analiamini kwa kufanya shughuli kwa ufanisi, haraka na kwa gharama sawa na bure.
Leo jirani yetu Kenya kumetokea mgomo wa wafanya kazi na Rais Uhuru Kenyatta akaamuru KDF kuingilia kati kwa kufanya shughuli zote baada ya wafanyakazi kugoma.
je, katumia busara kulitumia jeshi badala ya kukaa na wafanyakazi waliogoma na kumaliza mgomo wao?
Kwetu hapa malalamiko haya yangekuwepo watu wagome na Rais aamuru jeshi kunusuru hii hali angeandikwa ni DIKTETA hilo halina ubishi.
Je, ingekuwa hapa kwetu stori zingekuwaje make huwa kuna malalamiko kwa kutumia jeshi kila wakati.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesoma nilichokuwa najibu. Kawataja kina nani?Si aliwataja au kuna wengine tena.
mbna unatukana mkuuStupid comment kama tanzania wafanyakazi wote waliogoma wangefukuzwa kazi na kutiwa ndani, kenya kuna sheria na demokrasia raisi anatafuta alternative route, lakini wafanyakazi wanaendelea kudai haki zao kwa dicteta wa tanzania hiyo ni kama ndoto
Unaikumbuka NAM ya enzi za kina Kambarage?Msimbadilikie tu Kenyatta
kwa xbu hajaelekea kusema kile unachokipenda hapo hapo nyie ndo mnadai mnataka uhuru wa kutoa maoni, utapewaje huo uhuru kma huheshimu wa mwenzako kwa kutoa mitusi muda wote kuliko kumjibu mtu kwa hoja na kumrekebisha alipokosea?Mtoa mada ana mawazo finyu kama chama cha mapinduzi
Maghufuri ndo nani?Yaani kuna mambo ukiyaendekeza unaweza uka palalyse uchumi wa nchi,airport ni mpaka wa nchi,ni sura ya nchi,wakigoma wafanyakazi,ni tatizo kubwa,ila kwa Kenya,mahakama ilikuwa imezuia huo mgomo,
Harafu wanachogomba wafanyakazi wa airport,ni maamuzi ya serikali kutaka kubinafsisha shughuri za airport kwa Kenya airways,shirika ambalo,linamilikiwa kwa asilimia kubwa na watu binafsi,na kama unavyojua Kenya,Ufisadi ni balaa,hawa wakipewa wasimamie airport,watajari faida zaidi,na sio kuongeza nafasi za ajira.
Upuuzi kama huu wa Kugoma,hata Ulaya na America,wasingeweza kuvumilia.
Demokrasia iliwahi sana Africa,tungeenda kidikiteta zaidi,tukuze uchumi,then demokrasia ije baadae,lakini ukiruhusu udikiteta Africa,kuwapata watu kama Maghufuri,Mao se Tung,kiongozi wa Korea,ni vigumu sana,unaishia kuwapata majizi kama Bokasa,Mobutu,Mseveni,Husein Mubarak,
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unatanguliza mkokoteni mbele ya farasi. UK hakufukuza wafanyakazi, bali anahakikisha shughuli muhimu zinaendelea JKIA wakati wahusika wanaendelea kutafuta suluhisho na wafanyakazi. Kwa uzoefu wetu wa hapa , ndugu JPM angekuwa amevunja mifupa, fukuza na mengine mengi (na pia akiomba kuombewa) angepata changamoto aliyonayo UK.Jeshi Ni chombo cha usalama ambacho hutumika kukiwa na emergency sababu huwa muda wote lipo tayari na kwa mara nyingi hapa kwetu Rais wetu amekuwa akilitumia mara kwa mara punde kunapotokea emergency yoyote, na huwa analiamini kwa kufanya shughuli kwa ufanisi, haraka na kwa gharama sawa na bure.
Leo jirani yetu Kenya kumetokea mgomo wa wafanya kazi na Rais Uhuru Kenyatta akaamuru KDF kuingilia kati kwa kufanya shughuli zote baada ya wafanyakazi kugoma.
je, katumia busara kulitumia jeshi badala ya kukaa na wafanyakazi waliogoma na kumaliza mgomo wao?
Kwetu hapa malalamiko haya yangekuwepo watu wagome na Rais aamuru jeshi kunusuru hii hali angeandikwa ni DIKTETA hilo halina ubishi.
Je, ingekuwa hapa kwetu stori zingekuwaje make huwa kuna malalamiko kwa kutumia jeshi kila wakati.
Sent using Jamii Forums mobile app
acha uongo basi, wewe ndo ufanye utafiti na kufatilia habari, hata magazeti yao yameandika hata bbc imetangaza wewe hiyo uliko ipata kaa nayo tu mwenyewe.Kabla ya kuandika jambo sensitive kama ulivyofanya inatakiwa
ufanye angalau kautafiti kadogo ili kujiridhisha na post yako. Wanaombapana na wafanyakazi wa JKIA siyo KDF bali ni Administration Police (AP) ambacho ni kikosi cha polisi chakawaida kitanachotumika kwenye utawala wa kila siku. Vikosi vingine maalum vya polisi ni General Service Unit (GSU) , Anti-theft squad, Anti-poaching squad, Anti-Livestock theft squad, Prisons, Traffic police e.t.c. hii taarifa yote inapatikana mtandaoni
Police wa Kenya hizo ndo unform zaoππππ sio jeshiJeshi Ni chombo cha usalama ambacho hutumika kukiwa na emergency sababu huwa muda wote lipo tayari na kwa mara nyingi hapa kwetu Rais wetu amekuwa akilitumia mara kwa mara punde kunapotokea emergency yoyote, na huwa analiamini kwa kufanya shughuli kwa ufanisi, haraka na kwa gharama sawa na bure.
Leo jirani yetu Kenya kumetokea mgomo wa wafanya kazi na Rais Uhuru Kenyatta akaamuru KDF kuingilia kati kwa kufanya shughuli zote baada ya wafanyakazi kugoma.
je, katumia busara kulitumia jeshi badala ya kukaa na wafanyakazi waliogoma na kumaliza mgomo wao?
Kwetu hapa malalamiko haya yangekuwepo watu wagome na Rais aamuru jeshi kunusuru hii hali angeandikwa ni DIKTETA hilo halina ubishi.
Je, ingekuwa hapa kwetu stori zingekuwaje make huwa kuna malalamiko kwa kutumia jeshi kila wakati.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaaa! mkuu kapicha basi ka hivyo vitenge vya kizaireNimeliona jeshi la anga la kenya likiwa kazini, sema sare zao mbaya utafhani wameshona vitenge
Sent using Jamii Forums mobile app
kama demokrasia ipo kwa nini imefikia hadi wagome na maombi yao ni ya miezi mingine serikali hiyo hiyo ya UK haikutaka kuwasikiliza? na hadi kufikia kugoma walitoa taarifa ikapuuzwa. sioni haja ya kusifia UK.Mkuu unatanguliza mkokoteni mbele ya farasi. UK hakufukuza wafanyakazi, bali anahakikisha shughuli muhimu zinaendelea JKIA wakati wahusika wanaendelea kutafuta suluhisho na wafanyakazi. Kwa uzoefu wetu wa hapa , ndugu JPM angekuwa amevunja mifupa, fukuza na mengine mengi (na pia akiomba kuombewa) angepata changamoto aliyonayo UK.
Mfanyakazi anaweza kugoma mahali ambapo hakuna demokrasia?kama demokrasia ipo kwa nini imefikia hadi wagome na maombi yao ni ya miezi mingine serikali hiyo hiyo ya UK haikutaka kuwasikiliza? na hadi kufikia kugoma walitoa taarifa ikapuuzwa. sioni haja ya kusifia UK.
Sent using Jamii Forums mobile app