Uhuru Kenyatta atumia jeshi baada ya mgomo wa wafanyakazi JIA, lakini akitumia Rais Magufuli hapa kwetu ni dikteta!

Uhuru Kenyatta atumia jeshi baada ya mgomo wa wafanyakazi JIA, lakini akitumia Rais Magufuli hapa kwetu ni dikteta!

Katumia KDF kufanya kazi Professional na sio kupiga watu na kubangua Koroshow
See the difference

Sent from my TECNO CX Air using Tapatalk
Mtampamba sana Kenyata kwa kila sifa, ukweli ni kwamba wafanyakazi wakigoma ni kuongea nao na kusikiliza shida zao na sio kupeleka jeshi na kingine kulikua na ulazima wavae nguo za Jeshi?Arafu kumbe huko Kenya mnakosifia kila siku kumbe watu hawapewi mishahara?Ingekua bongo si mngeponda sana

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Jeshi Ni chombo cha usalama ambacho hutumika kukiwa na emergency sababu huwa muda wote lipo tayari na kwa mara nyingi hapa kwetu Rais wetu amekuwa akilitumia mara kwa mara punde kunapotokea emergency yoyote, na huwa analiamini kwa kufanya shughuli kwa ufanisi, haraka na kwa gharama sawa na bure.

Leo jirani yetu Kenya kumetokea mgomo wa wafanya kazi na Rais Uhuru Kenyatta akaamuru KDF kuingilia kati kwa kufanya shughuli zote baada ya wafanyakazi kugoma.

je, katumia busara kulitumia jeshi badala ya kukaa na wafanyakazi waliogoma na kumaliza mgomo wao?

Kwetu hapa malalamiko haya yangekuwepo watu wagome na Rais aamuru jeshi kunusuru hii hali angeandikwa ni DIKTETA hilo halina ubishi.

Je, ingekuwa hapa kwetu stori zingekuwaje make huwa kuna malalamiko kwa kutumia jeshi kila wakati.

Sent using Jamii Forums mobile app
Stupid comment kama tanzania wafanyakazi wote waliogoma wangefukuzwa kazi na kutiwa ndani, kenya kuna sheria na demokrasia raisi anatafuta alternative route, lakini wafanyakazi wanaendelea kudai haki zao kwa dicteta wa tanzania hiyo ni kama ndoto
 
Mbona huko nyuma Tanzania ilishatumia jeshi wakati wa migomo ya madaktari.... Hii ya kudomba na kubangua KORO SHOW... Ndiko lilikuwa na question marks.
Question mark inatoka wapi?Jeshini kuna kila aina ya vitengo.Kuna skilled na non skilled labours. Kama kulikua na uhitaji wa kubangua korosho wangebangua tu.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Jeshi Ni chombo cha usalama ambacho hutumika kukiwa na emergency sababu huwa muda wote lipo tayari na kwa mara nyingi hapa kwetu Rais wetu amekuwa akilitumia mara kwa mara punde kunapotokea emergency yoyote, na huwa analiamini kwa kufanya shughuli kwa ufanisi, haraka na kwa gharama sawa na bure.

Leo jirani yetu Kenya kumetokea mgomo wa wafanya kazi na Rais Uhuru Kenyatta akaamuru KDF kuingilia kati kwa kufanya shughuli zote baada ya wafanyakazi kugoma.

je, katumia busara kulitumia jeshi badala ya kukaa na wafanyakazi waliogoma na kumaliza mgomo wao?

Kwetu hapa malalamiko haya yangekuwepo watu wagome na Rais aamuru jeshi kunusuru hii hali angeandikwa ni DIKTETA hilo halina ubishi.

Je, ingekuwa hapa kwetu stori zingekuwaje make huwa kuna malalamiko kwa kutumia jeshi kila wakati.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kutumia jeshi siyo mbaya bali je hilo jeshi unalitumiaje?Kama unalitumia kwa manufaa pana ya wananchi ni sawa lakini kama unalitumia kukandamiza au kuua watu hiyo sio sahihi na haikubaliki.Tumia jeshi kwa manufaa pana ya kijamii.Viongozi wengine hutumia majeshi ya nchi zao kukandamiza na kunyamazisha fikra za raia zisisikike kwa walio wengi.Utaitwa Dikteta kama matumizi ya jeshi hilo yanenda kinyume na haki za binadamu kama tunavyoona kule algeria.
 
Stupid comment kama tanzania wafanyakazi wote waliogoma wangefukuzwa kazi na kutiwa ndani, kenya kuna sheria na demokrasia raisi anatafuta alternative route, lakini wafanyakazi wanaendelea kudai haki zao kwa dicteta wa tanzania hiyo ni kama ndoto
mbna unatukana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada ana mawazo finyu kama chama cha mapinduzi
kwa xbu hajaelekea kusema kile unachokipenda hapo hapo nyie ndo mnadai mnataka uhuru wa kutoa maoni, utapewaje huo uhuru kma huheshimu wa mwenzako kwa kutoa mitusi muda wote kuliko kumjibu mtu kwa hoja na kumrekebisha alipokosea?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani kuna mambo ukiyaendekeza unaweza uka palalyse uchumi wa nchi,airport ni mpaka wa nchi,ni sura ya nchi,wakigoma wafanyakazi,ni tatizo kubwa,ila kwa Kenya,mahakama ilikuwa imezuia huo mgomo,
Harafu wanachogomba wafanyakazi wa airport,ni maamuzi ya serikali kutaka kubinafsisha shughuri za airport kwa Kenya airways,shirika ambalo,linamilikiwa kwa asilimia kubwa na watu binafsi,na kama unavyojua Kenya,Ufisadi ni balaa,hawa wakipewa wasimamie airport,watajari faida zaidi,na sio kuongeza nafasi za ajira.
Upuuzi kama huu wa Kugoma,hata Ulaya na America,wasingeweza kuvumilia.
Demokrasia iliwahi sana Africa,tungeenda kidikiteta zaidi,tukuze uchumi,then demokrasia ije baadae,lakini ukiruhusu udikiteta Africa,kuwapata watu kama Maghufuri,Mao se Tung,kiongozi wa Korea,ni vigumu sana,unaishia kuwapata majizi kama Bokasa,Mobutu,Mseveni,Husein Mubarak,

Sent using Jamii Forums mobile app
Maghufuri ndo nani?
 
Jeshi Ni chombo cha usalama ambacho hutumika kukiwa na emergency sababu huwa muda wote lipo tayari na kwa mara nyingi hapa kwetu Rais wetu amekuwa akilitumia mara kwa mara punde kunapotokea emergency yoyote, na huwa analiamini kwa kufanya shughuli kwa ufanisi, haraka na kwa gharama sawa na bure.

Leo jirani yetu Kenya kumetokea mgomo wa wafanya kazi na Rais Uhuru Kenyatta akaamuru KDF kuingilia kati kwa kufanya shughuli zote baada ya wafanyakazi kugoma.

je, katumia busara kulitumia jeshi badala ya kukaa na wafanyakazi waliogoma na kumaliza mgomo wao?

Kwetu hapa malalamiko haya yangekuwepo watu wagome na Rais aamuru jeshi kunusuru hii hali angeandikwa ni DIKTETA hilo halina ubishi.

Je, ingekuwa hapa kwetu stori zingekuwaje make huwa kuna malalamiko kwa kutumia jeshi kila wakati.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unatanguliza mkokoteni mbele ya farasi. UK hakufukuza wafanyakazi, bali anahakikisha shughuli muhimu zinaendelea JKIA wakati wahusika wanaendelea kutafuta suluhisho na wafanyakazi. Kwa uzoefu wetu wa hapa , ndugu JPM angekuwa amevunja mifupa, fukuza na mengine mengi (na pia akiomba kuombewa) angepata changamoto aliyonayo UK.
 
Kabla ya kuandika jambo sensitive kama ulivyofanya inatakiwa
ufanye angalau kautafiti kadogo ili kujiridhisha na post yako. Wanaombapana na wafanyakazi wa JKIA siyo KDF bali ni Administration Police (AP) ambacho ni kikosi cha polisi chakawaida kitanachotumika kwenye utawala wa kila siku. Vikosi vingine maalum vya polisi ni General Service Unit (GSU) , Anti-theft squad, Anti-poaching squad, Anti-Livestock theft squad, Prisons, Traffic police e.t.c. hii taarifa yote inapatikana mtandaoni
acha uongo basi, wewe ndo ufanye utafiti na kufatilia habari, hata magazeti yao yameandika hata bbc imetangaza wewe hiyo uliko ipata kaa nayo tu mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jeshi Ni chombo cha usalama ambacho hutumika kukiwa na emergency sababu huwa muda wote lipo tayari na kwa mara nyingi hapa kwetu Rais wetu amekuwa akilitumia mara kwa mara punde kunapotokea emergency yoyote, na huwa analiamini kwa kufanya shughuli kwa ufanisi, haraka na kwa gharama sawa na bure.

Leo jirani yetu Kenya kumetokea mgomo wa wafanya kazi na Rais Uhuru Kenyatta akaamuru KDF kuingilia kati kwa kufanya shughuli zote baada ya wafanyakazi kugoma.

je, katumia busara kulitumia jeshi badala ya kukaa na wafanyakazi waliogoma na kumaliza mgomo wao?

Kwetu hapa malalamiko haya yangekuwepo watu wagome na Rais aamuru jeshi kunusuru hii hali angeandikwa ni DIKTETA hilo halina ubishi.

Je, ingekuwa hapa kwetu stori zingekuwaje make huwa kuna malalamiko kwa kutumia jeshi kila wakati.

Sent using Jamii Forums mobile app
Police wa Kenya hizo ndo unform zao😀😀😀😀 sio jeshi
 
Ukiwa kiongozi sometimes you have to be aggressive,otherwise nchi haiwezi kutawalika...
 
Mkuu unatanguliza mkokoteni mbele ya farasi. UK hakufukuza wafanyakazi, bali anahakikisha shughuli muhimu zinaendelea JKIA wakati wahusika wanaendelea kutafuta suluhisho na wafanyakazi. Kwa uzoefu wetu wa hapa , ndugu JPM angekuwa amevunja mifupa, fukuza na mengine mengi (na pia akiomba kuombewa) angepata changamoto aliyonayo UK.
kama demokrasia ipo kwa nini imefikia hadi wagome na maombi yao ni ya miezi mingine serikali hiyo hiyo ya UK haikutaka kuwasikiliza? na hadi kufikia kugoma walitoa taarifa ikapuuzwa. sioni haja ya kusifia UK.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama demokrasia ipo kwa nini imefikia hadi wagome na maombi yao ni ya miezi mingine serikali hiyo hiyo ya UK haikutaka kuwasikiliza? na hadi kufikia kugoma walitoa taarifa ikapuuzwa. sioni haja ya kusifia UK.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mfanyakazi anaweza kugoma mahali ambapo hakuna demokrasia?
 
Kwa Sheria zetu za kazi hapa Tz hairuhusiwi mwajiri kuweka wafanyakazi mbadala pindi kunapo kuwa na mgomo. Sijui kwa Kenya ila nadhani ni ukiukwaji wa Sheria. Mgomo ndio silaha ya mwisho kwa mfanyakazi pindi anapo dai maslahi.
Haipendezi kwa mwajiri mkuu (Serikali ) kukiuka Sheria.
Kama Serikali itafanya hivyo itakuwaje kwa mwajiri binafsi?
Nadhani suluhisho ni kuingia katika meza ya majadiliano.
Vinginevyo basi jeshi waachiwe kufanya kila kazi za kiraia...jambo ambalo sio salama sana kwa nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom