Uhuru Kenyatta elected 4th Kenyan President.

Uhuru Kenyatta elected 4th Kenyan President.

most expensive campaing huh? all for the interest of kenya? kenyans gonna pay for this. pitty you cant trust an african leader!
 
Kenya-Uhuru-Security

President-elect Uhuru Kenyatta and Deputy President-elect William Ruto meet the top Government security officials when they called ob him at his residence in Nairobi.

486590_594802617214946_1230933649_n.jpg
 
President-elect Uhuru Kenyatta is one of the few African presidents to have his childhood life well documented, on newspapers and personal albums. This is because during most of his childhood, he was the first son. Here are some pictures of his life.











 
Hata ukichukua kura za wagombea Urais wote uongeze na zilizoharibika umpe Raila bado Uhuru anamshinda Raila na kura 4,099 sawa 0.7% . Kwa kifupi katiba ya Kenya inamhitaji mgombea urais apate nusu ya kura zote zilizopigwa kuongeza kura moja (yani mtu mmoja) hiyo ni sawa 50%+1.

Uhuru alipata nusu ya kura (50% +4,099 )

ukichukua kura za wagombea wote wa uraisi hazifiki asilimia hamsini hata kama ukiongeza zilizoharibika bado zitapunguka asilimia point sufuri saba (49.93) kwa kuwa Uhuru alipata 50.07%
 
They (Kenyans) will remember the words words of Martin Shikuku that once you sell your vote you cannot claim development from the one who bought your vote. The next step is to return the money he used to buy votes.
 
When will he start paying them those who drove him to the state house. People are fooling themselves, the kenyan politics is surrounded by tribalism. You will see the kikuyu and kalenjin driving the rest of kenyans for 5 years.
 
Raphael Tuju tangu alipomsaliti Raila aliyemuinua kisiasa na kumkumbatia Kibaki na kumsaidia hujuma dhidi ya Raila ndipo alipoteza muelekeo kwani baada ya ngwe ya 2002-2007 kuisha alitupiliwa mbali katika uchaguzi uliofuatia na hadi leo hii amepotea kisiasa.

Ni sawa na huyo Miguna aliyeamua kupigana vita na Raila baada ya kutemeshwa kibarua toka ofisini kwake ofisi ya Waziri Mkuu. Kwahiyo hao si watu wanaoweza kutoa statement ya kuwawakilisha wazee wa kijaluo ama wataalamu wa kijaluo. Hata siku moja wajaluo hawawezi kumkana mtoto wao aliyewaletea heshima na kuwatoa katika unyonge wa kisiasa nchini Kenya.

If Luo Nyanza elected development minded leaders and not party sycophants, Tuju would still be in parliament.

Just google the projects he started, and compare to the likes of Nyong'o Nyong'o, Kajwang, Oburu, Jokoyo Midiwo.

And thats where the problem starts.
 
Hata ukichukua kura za wagombea Urais wote uongeze na zilizoharibika umpe Raila bado Uhuru anamshinda Raila na kura 4,099 sawa 0.7% . Kwa kifupi katiba ya Kenya inamhitaji mgombea urais apate nusu ya kura zote zilizopigwa kuongeza kura moja (yani mtu mmoja) hiyo ni sawa 50%+1.

Uhuru alipata nusu ya kura (50% +4,099 )

ukichukua kura za wagombea wote wa uraisi hazifiki asilimia hamsini hata kama ukiongeza zilizoharibika bado zitapunguka asilimia point sufuri saba (49.93) kwa kuwa Uhuru alipata 50.07%

Imeandikwa amepata ila kiukweli hajapata kura hizo.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Jomo Kenyata hakuna mtoto mwingine zaidi ya huyu? Jomo Kenyata alimzaa mtoto wake huyo uzeeni?
 
Jomo Kenyata hakuna mtoto mwingine zaidi ya huyu? Jomo Kenyata alimzaa mtoto wake huyo uzeeni?
anao wengi tuu ikumbukwe Mama Ngina alikuwa mke wa nne wa Jomo Kenyatta! Nashindwa kuelewa kwanini watoto wengine hawatajwi?
 
Back
Top Bottom