Uhuru Kenyatta: Mapolisi mwambieni anayewatuma msisumbue familia yangu. Nikamateni Mimi niko hapa acheni uwoga!

Uhuru Kenyatta: Mapolisi mwambieni anayewatuma msisumbue familia yangu. Nikamateni Mimi niko hapa acheni uwoga!

Kwenye Siasa Ushindi wa 51% kwa 49% ni tofauti kabisa na hisa 51% za Simba na 49 za Mo

Ushindi mwembamba Siasani unahitaji hekima kubwa ya Uongozi ndio sababu Karume kasema CCM haijawahi kushinda uRais Zanzibar

Ulokole wa Nigeria utamgharimu sana Ruto
Hikma ya kugawana Madaraka kwa kuwa tu kura mmepishana kiasi kidogo inaua Demokrasia

Ushasikia upumbavu huo wa kugawana madaraka Marekani?


Hapo kina Odinga wanataka wagawane ulaji hayo mambo sijui wanapigania ugumu wa maisha ni danganya toto
 
Haya mambo ya Uongozi ni magumu Sana Hata ukistaafu basi utaandamwa tu mimi ndio sababu Nampongeza Sana mzee Mwinyi Ruksa alipostaafu tu alikimbilia Msikitini na kujikita na mambo ya muumba tu

Nchi jirani ya Kenya Rais Ruto anampelekea moto Boss wake mstaafu Uhuru Kenyatta na kuizongazonga familia yake akiwemo mama na mtoto wake

Uhuru kamtolea uvivu Ruto kwa kumwambia amkamate Yeye asizungukezunguke tu na kuwasumbua Wanawake na Watoto

Kupitia Citizen TV Uhuru ameonekana alimwambia Ruto kwamba kuanzia sasa atailinda familia yake kwa gharama yoyote ile

Duh.... Ukiona kwako kunafuka Moshi just kwa mwenzako moto unawaka

Mlale Unono 😃
Safi sana
 
Ruto ni mshamba sana ndo madhara ya kumpa madarakani mshamba,tuliwaambia wakenya huyo ni zao la dikteta hawakusikia.
Ana bifu za kijinga
Anayechochea maandamano ndo dikteta hakubali kushindwa kwenye uchaguzi wa kidemokrasia
 
Tuliokuwa tunafahamu na tunasema kuwa katiba mpya hata iandikwe vipi siyo mwanzo au mwisho wa matatizo hatukueleweka.

Kudai katiba mpya ni turufu tu ya upinzani uliokosa sera. Kwa sababu katiba inaweza ikabadilishwa kidogo kidogo vifungu vikaongezwa au vikapunguzwa au vikarekebishwa.

Waafrika tu wajinga sana na hatutafikia mwisho wa ujinga kwa muda mrefu sana. Ujinga tulionao siyo wa asili ni wa kupandikizwa na huo ni mbaya zaidi kuliko ujinga wa asili.
Kuna wakati mtu akisoma mabango yako anaweza kujiuliza, hivi huyu kaamua kujifanya mjinga au ndio ujinga wenyewe? Na kuna wakati unaona huyu anatumia akili zake vizuri kufikiri.

Do you take weed au dawa zozote za kulevya?
 
Kuna wakati mtu akisoma mabango yako anaweza kujiuliza, hivi huyu kaamua kujifanya mjinga au ndio ujinga wenyewe? Na kuna wakati unaona huyu anatumia akili zake vizuri kufikiri.

Do you take weed au dawa zozote za kulevya?
Ukiona hoja hujaielewa elewa kuwa iko juu ya kiwango cha uelewa, uliza. Kuuliza si ujinga.

Weed kwa kumaanisha bangi? Naitumia kwa kujifukiza pamoja na oud, siyo kuvuta. dawa za kulevya situmii kwa kula, natumia perfume inayoitwa opium, inatokana na mmea unaotengeza dawa za kulaza na dawa za kulevya.

Dawa zote unazosikia za kulevya zinatokana na dawa halali kabisa. Ni matumizi yako tu, ukizi "abuse" zinakuwa za kulevya.
 
Ukiona hoja hujaielewa elewa kuwa iko juu ya kiwango cha uelewa, uliza. Kuuliza si ujinga.

Weed kwa kumaanisha bangi? Naitumia kwa kujifukiza pamoja na oud, siyo kuvuta. dawa za kulevya situmii kwa kula, natumia perfume inayoitwa opium, inatokana na mmea unaotengeza dawa za kulaza na dawa za kulevya.

Dawa zote unazosikia za kulevya zinatokana na dawa halali kabisa. Ni matumizi yako tu, ukizi "abuse" zinakuwa za kulevya.
Hata saa mbovu kuna wakati inasoma majira sahihi mkuu.
 
Hata saa mbovu kuna wakati inasoma majira sahihi mkuu.
Saa za kizamani hizo, siku hizi saa ikiwa mbovu inajitengeneza yenyewe. Mambo ni dijitali, wewe bado uko enzi za baba'ke babu yako?

Set saa ya kisimu chako vizuri, utanielewa tu.
 
Mwanasiasa mkongwe na bilionea wa Kenya jimmy wanjigi alimwambia Rutto kugusa familia ya Kenya ni kama kugusa live wire.....Rutto ingawa ni Raisi ila mziki wa Kenyatta hauwezi ...achunge otherwise hatamaliza hizi 5 years.
 
Tuliokuwa tunafahamu na tunasema kuwa katiba mpya hata iandikwe vipi siyo mwanzo au mwisho wa matatizo hatukueleweka.

Kudai katiba mpya ni turufu tu ya upinzani uliokosa sera. Kwa sababu katiba inaweza ikabadilishwa kidogo kidogo vifungu vikaongezwa au vikapunguzwa au vikarekebishwa.

Waafrika tu wajinga sana na hatutafikia mwisho wa ujinga kwa muda mrefu sana. Ujinga tulionao siyo wa asili ni wa kupandikizwa na huo ni mbaya zaidi kuliko ujinga wa asili.
Tuliite bara la makondoo.
 
Tuliokuwa tunafahamu na tunasema kuwa katiba mpya hata iandikwe vipi siyo mwanzo au mwisho wa matatizo hatukueleweka.

Kudai katiba mpya ni turufu tu ya upinzani uliokosa sera. Kwa sababu katiba inaweza ikabadilishwa kidogo kidogo vifungu vikaongezwa au vikapunguzwa au vikarekebishwa.

Waafrika tu wajinga sana na hatutafikia mwisho wa ujinga kwa muda mrefu sana. Ujinga tulionao siyo wa asili ni wa kupandikizwa na huo ni mbaya zaidi kuliko ujinga wa asili.
Nani aliyekupandikizeni huo uji
nga?
 
Lengo la maandamano lilikua ni kuua watu?? Odinga, Kalonzo, Wamalwa, Oparanya, Mwangi wairia, Martha karua, Wajackoya, Otiende amollo etc. Walikua wapi kuongoza maandamano??
Kenya ilipofika haihitaji Raila ajitokeze ndio waandamane, yaani kilo ya sukari ununue elfu 10 ya bongo? Kwanini usiandamane mpaka Raila aongoze? Ni hivi Ruto amefeli tofauti na matarajio Sasa badala ya kumtuliza akili naye anatumia mbinu zile zile za kidikteta

Huyu asipokua makini bendera itapepea nusu mlingoti kabla ya 2024.
 
Uhuru kachagua kuhamasisha Maandamano ya ghasia ili kuvuruga Ruto asitawale kwa amani halafu anampangia Ruto na namna ya ku dili nae

kama unaona sawa kuchochea ghasia kwny jamii acha nae aonje matunda ya kuchochea ghasia kwny familia

Mitano tena kwa Ruto
Ruto ni mjinga. Anatapatapa kutokana na kuzidiwa na mambo yanavyoenda. Inaonekana Ruto ana ujinga wa hisia kama huu wa kwako. Kwa vile hajui kisababishi cha kupingwa kwake anabaki kuhisi tu.

Tangu Ruto achukue madaraka, ni lini Uhuru aliwahi kuongea chochote kuhamasisha maandamano?

Ruto kutokana na Ujinga na ulimbukeni, anaamini kuwa hakuna mwenye kuweza kuwafanya wananchi waandamane, zaidi ya Uhuru, hata kama Uhuru hafanyi chochote.

Uhuru akiamua kuunganisha nguvu na Raila, against Ruto, Kenya italipuka, na utakuwa mwisho wa serikali ya Ruto.
 
Wewe mtu umemshinda kwny Sanduku la kura, akakimbilia Mahakamani ukamshinda halafu anahamasisha vurugu ili Nchi isitawalike umtazame tu?

Ruto kawafanyia sana Staha wamemuona fala …acha mwiba utolewe kwa style ile ile uliyoingilia
Haya maandamano yanahusiana Nini na uchaguzi? Haya yanaongelea mfumuko wa bei kwanini asi address matatizo watu automatically hawatoandamana.
 
Back
Top Bottom