Apeche alolo
JF-Expert Member
- Apr 14, 2023
- 2,517
- 5,533
kwahio kama unaagiza ngano ukraine wakati iko kwenye vita sasa utakaa kimya bila kutafuta sehemu nyigine? tapanya hio akili hayupo yeye peke yake sisi ndio tunatakiwa tuwe wabunifu.Kweli wewe ni Apeche Alolo. Hujui kwamba Kenya na Tanzania zinategemeana sana kibiashara? Panapotokea machafuko Kenya ni kuwa biashara nyingi zinakwama. Madhara ni makubwa hadi kwa majirani.