mzee wa liver
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 83,441
- 431,885
-Hakubaliani na Maamuzi ya Majaji
-Amesema anaheshimu Maamuzi ya Majaji
-Awataka Wakenya Kudumisha Amani ya taifa hill
-Achukizwa na Maamuzi ya Watu 6 (Majaji)
-Yupo Tayari Kurudia Uchaguzi
-Hajabadili msimamo wanaenda tena kwa wananchi kuomba Kura.
Hahahahaha watu Sita kwani tume INA makamishina wangapi