Kwani shida ipo wapi wacha afaidi urais maana 2017 Odinga ndo anakuja kummbwagaa mchana kweupe.
Mkuu, siasa za Kenya zina tofuati sana na za kwetu.
Tanzania ilikuwa suala la ufisadi zaidi. Halikuwa ni ukabila au udini. Kenya wameungana wakikuyu na kalenjin. Mjaluo Odinga hana chake.
Kwa maana hiyo, Kenyatta bado ana nafasi uchaguzi ujao. Kimbembe kitakuwa baada ya hapo. Kuna makubaliano kwamba umoja wa kikuyu/kalenjini umpe Willian Ruto. Lakini yanaweza kutokea ya Kikwete na Lowassa!
Hapana aisee....Vasco hana mfano ...labda Vasco tumlinganishe na Emirate air ...
Hahahaaa
Vasco hana mpinzani.
Hata mwezi haujaisha tokea kuachia ngazi tayari keshaenda Afrika Kusini na Uingereza.
Wait....na Ethiopia tayari keshaenda eeh?
Natabiri katika miaka mitano ijayo atakuwa keshasafiri kwenda nje kuliko hata Magufuli mwenyewe.
Hesabu zinakataa hawawezi.Hivi mkuu wajaluo na wakamba nao hawawezi kuungana kuwang'oa hao wakikuyu+kalenjin?
Hivi mkuu wajaluo na wakamba nao hawawezi kuungana kuwang'oa hao wakikuyu kalenjin?