Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,296
- 18,027
Baada ya Rais Kikwete kustaafu, inaelekea Uhuru Kenyatta amempokea kijiti kwa safari sana nje ya nchi akiambatana na ujumbe mkubwa. Habari hizi zipo gazeti la Nation leo.
Ndani ya miaka miwili na nusu toka apate urais wa Kenya, kesha safari mara 43 ukilinganisha na safari 33 alizofanya mzee Mwai Kibaki katika miaka yote kumi ya uongozi wake.
Mwaka 2013 alifanya safari 18 mwezi mmoja baada ya kuapishwa. Dr. Magufuli hata safari moja bado. Mwaka huu, 2015 tayari amefanya safari 11, wastani wa safari moja kila mwezi.
Safari ya Paris majuzi kwenye mkutano wa mabadiliko ya tabia nchi, alifuatana na ujumbe wa watu 43 akiwemo binti yake.
Ndani ya miaka miwili na nusu toka apate urais wa Kenya, kesha safari mara 43 ukilinganisha na safari 33 alizofanya mzee Mwai Kibaki katika miaka yote kumi ya uongozi wake.
Mwaka 2013 alifanya safari 18 mwezi mmoja baada ya kuapishwa. Dr. Magufuli hata safari moja bado. Mwaka huu, 2015 tayari amefanya safari 11, wastani wa safari moja kila mwezi.
Safari ya Paris majuzi kwenye mkutano wa mabadiliko ya tabia nchi, alifuatana na ujumbe wa watu 43 akiwemo binti yake.