Uhuru Kenyatta wins Kenya's 2017 General Election. Delivers his speech to thank all Kenyans...

Uhuru Kenyatta wins Kenya's 2017 General Election. Delivers his speech to thank all Kenyans...

Kingereza kimetulia.....upande wa pili tumeona "pongezi" zilizojaa povu la kiswahili....
Ujinga ni kutojitambua....Mswahili ukimtukana kwa lugha ya Kiingereza atafurahi na kuchekelea lakini tusi hilo hilo ukimtukana kwa kiswahili patachimbika.!

Naona wewe ni miongoni mwao.!
 
Unataka mtu apate stroke akijaribu kuongea kisungu.Kisungu kina wenyewe bana ila siyo chato.
Tena kama umefanya research au una uzoefu...ni kuwa siku zote mtu akiwa na hasira zilizopitiliza huwa English inakuwa haipandi kabisa....yani pale ukute ali-tweet kisukuma halaf mtoto wa Dada pale hazina akatafsiri.....
 
Mjumbe wa kamati kuu ya ya CHADEMA Edward Lowassa amekuwa miongoni mwa watu wa kwanza kabisa kumpa pongezi nyingi mshindi wa kiti cha urais nchini Kenya Uhuru Kenyatta.

Itakumbukwa Lowassa alipanda ndege hadi nchini Kenya kumpigia chapuo Uhuru Kenyatta ambaye pia ni rais wa sasa wa nchi hiyo.

Lowassa amewahi kujitokeza hadharani mara nyingi akitangaza kumuunga mkono Uhuru Kenyatta katika uchaguzi uliohitimishwa kwa Kutangazwa mshindi rais Uhuru Kenyatta. Soma; Lowassa: Ninamuunga Mkono Kenyatta na nipo tayari kutoa msaada wakati wowote

Bila shaka siku ya kuapishwa mh Lowassa atakuwa miongoni mwa wageni wa heshima kabisa kwa kazi aliyoifanya ndani na nje ya Kenya.
Lowassa sio Mjumbe wa kamati kuu, ni Mmiliki wa Chadema na Bavicha wote anawamiliki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niaje watunguyas JF, Watanzania sasa mhamie Kenya kabla hamjanza kukatwa mashingo na huyo uchwara wenu.Ama sijui kama Kenyatta atawasaidia kupitia kwa ndugu na babaetu Lowasa
 
...... hata sielewi maana ya upigaji kura Africa kama ni wazi Uraisi umeshapewa mtu fulani...e.g majirani wetu...kifo cha Msando,kupatikana majajusi katika ofisi za upinzani, nchi fulani juzi Mashariki ya Afrika ambaye kiongozi kapata asimilia zaidi ya 90%...mimi binafsi sioni maana ya kupiga kura...
 
Odinga ni ka Lowasa au Lipumba. Anakomaa wee kupata urais ila all the time anashindwa.
Congrats Uhuru. Amefanya kazi nzuri last term ngoja amalizie alichokianza.

Umesahau Lowassa amemfanyia kampeni Uhuru? UKAWA won the 2015 Tanzania's presidential elections amid the 'TUME YA UCHAGUZI ISIYOKUWA HURU' Tusubiri 2020, nasikia anatengenezewa njia Bashite ili wamalize visasi. Na miss siasa za Nape, hakuwa na husuda wala visasi.
 
Huku kitaa wanadai UhuRuto wamemshinda RAO sababu ya kuungwa mkono na Mmsai mmeru na eti Chadema wamechangia ushindi wa Jubilee kwa sehemu kubwa.Chadema na Mmasai mmeru wao kwa sifa hawajambo ,wao tu wako hoi halafu eti ndio wamemfanya Uhuru ashinde,kazi ipo ma wamaufipa

CDM wana sera endelevu km alivyo Uhuru, Kenya bajeti Yao inajitosheleza 100%. Tanzania VP? Uhuru kajenga reli ya std gg kimya kimya Wakati ss tunatangazia dunia! Tujitafakari.. .
 
CDM wana sera endelevu km alivyo Uhuru, Kenya bajeti Yao inajitosheleza 100%. Tanzania VP? Uhuru kajenga reli ya std gg kimya kimya Wakati ss tunatangazia dunia! Tujitafakari.. .
Hao Chadema hata ofisi yao ya makao makuu imewashinda halafu ndio unaleta pumba hapa eti wana sera endelevu,labda siasa endelevu ya kuiba mashamba,richmond.kutapeli majengo,kupendeleana kwa rushwa za ngono.Hakuna chama cha hovyo kama Chadema,Chadema buure kabsa
 
Hao Chadema hata ofisi yao ya makao makuu imewashinda halafu ndio unaleta pumba hapa eti wana sera endelevu,labda siasa endelevu ya kuiba mashamba,richmond.kutapeli majengo,kupendeleana kwa rushwa za ngono.Hakuna chama cha hovyo kama Chadema,Chadema buure kabsa
Pale Lumumba Ni Mali ya Tanu WW kinda
 
Back
Top Bottom