Ujinga ni kutojitambua....Mswahili ukimtukana kwa lugha ya Kiingereza atafurahi na kuchekelea lakini tusi hilo hilo ukimtukana kwa kiswahili patachimbika.!Kingereza kimetulia.....upande wa pili tumeona "pongezi" zilizojaa povu la kiswahili....
Tena kama umefanya research au una uzoefu...ni kuwa siku zote mtu akiwa na hasira zilizopitiliza huwa English inakuwa haipandi kabisa....yani pale ukute ali-tweet kisukuma halaf mtoto wa Dada pale hazina akatafsiri.....Unataka mtu apate stroke akijaribu kuongea kisungu.Kisungu kina wenyewe bana ila siyo chato.
Uzuri Uhuru Kenyata ni mtoto wa mjini atamfix bila yeye kujua kuwa amekuwa fixed....Unamaanisha Yohana mbatizaji wa moto? Sio tabu tukutane Zimbabwe.
Lakini si ndiyo tunayopatia cheti cha form 4, 6, degree, masters hadi PhD???????Mkuu unaonekana unapenda sana lugha ya malkia, kumbuka ilikuja kwa meli😀😀😀
Utumwa wa kifikra tu, hakuna jingine zaidi ya hilo.Kingereza kimetulia.....upande wa pili tumeona "pongezi" zilizojaa povu la kiswahili....
Lowassa sio Mjumbe wa kamati kuu, ni Mmiliki wa Chadema na Bavicha wote anawamilikiMjumbe wa kamati kuu ya ya CHADEMA Edward Lowassa amekuwa miongoni mwa watu wa kwanza kabisa kumpa pongezi nyingi mshindi wa kiti cha urais nchini Kenya Uhuru Kenyatta.
Itakumbukwa Lowassa alipanda ndege hadi nchini Kenya kumpigia chapuo Uhuru Kenyatta ambaye pia ni rais wa sasa wa nchi hiyo.
Lowassa amewahi kujitokeza hadharani mara nyingi akitangaza kumuunga mkono Uhuru Kenyatta katika uchaguzi uliohitimishwa kwa Kutangazwa mshindi rais Uhuru Kenyatta. Soma; Lowassa: Ninamuunga Mkono Kenyatta na nipo tayari kutoa msaada wakati wowote
Bila shaka siku ya kuapishwa mh Lowassa atakuwa miongoni mwa wageni wa heshima kabisa kwa kazi aliyoifanya ndani na nje ya Kenya.
Lugha Kuu ya East Africa ni Kiswahili..Kingereza kimetulia.....upande wa pili tumeona "pongezi" zilizojaa povu la kiswahili....
Kuna ubaya gani?Anaapishwa lini??? Magufuli hata hudhuria atamtuma Waziri Mahinga
We fala nyoosha kwanza kiswahiliNiaje watunguyas JF, Watanzania sasa mhamie Kenya kabla hamjanza kukatwa mashingo na huyo uchwara wenu.Ama sijui kama Kenyatta atawasaidia kupitia kwa ndugu na babaetu Lowasa
Odinga ni ka Lowasa au Lipumba. Anakomaa wee kupata urais ila all the time anashindwa.
Congrats Uhuru. Amefanya kazi nzuri last term ngoja amalizie alichokianza.
Huku kitaa wanadai UhuRuto wamemshinda RAO sababu ya kuungwa mkono na Mmsai mmeru na eti Chadema wamechangia ushindi wa Jubilee kwa sehemu kubwa.Chadema na Mmasai mmeru wao kwa sifa hawajambo ,wao tu wako hoi halafu eti ndio wamemfanya Uhuru ashinde,kazi ipo ma wamaufipa
Hao Chadema hata ofisi yao ya makao makuu imewashinda halafu ndio unaleta pumba hapa eti wana sera endelevu,labda siasa endelevu ya kuiba mashamba,richmond.kutapeli majengo,kupendeleana kwa rushwa za ngono.Hakuna chama cha hovyo kama Chadema,Chadema buure kabsaCDM wana sera endelevu km alivyo Uhuru, Kenya bajeti Yao inajitosheleza 100%. Tanzania VP? Uhuru kajenga reli ya std gg kimya kimya Wakati ss tunatangazia dunia! Tujitafakari.. .
Pale Lumumba Ni Mali ya Tanu WW kindaHao Chadema hata ofisi yao ya makao makuu imewashinda halafu ndio unaleta pumba hapa eti wana sera endelevu,labda siasa endelevu ya kuiba mashamba,richmond.kutapeli majengo,kupendeleana kwa rushwa za ngono.Hakuna chama cha hovyo kama Chadema,Chadema buure kabsa