Uhuru kuongoza usajili wa wahudumu wa umma upya kupitia biometric

Uhuru kuongoza usajili wa wahudumu wa umma upya kupitia biometric

He he he inaweza kuwa ulikuwa ni mpango wao wa muda mrefu tu.... Kwa mimi ninavyoona.

Mwenzio anapo fanya vizuri mpongeze, kama ilivyo kuwa rahisi kumkosoa.

Mwigulu Nchemba amejitahidi kudhibithi mishahara hewa kwa kiasi chake, hata watu wa SADC wanamjua vizuri tu.
 
Mwenzio anapo fanya vizuri mpongeze, kama ilivyo kuwa rahisi kumkosoa.

Mwigulu Nchemba amejitahidi kudhibithi mishahara hewa kwa kiasi chake, hata watu wa SADC wanamjua vizuri tu.

Soma Comment yangu vizuri.... Hujanielewa kwa ninavyoona mimi.
 
KENYA KUPAMBANA NA WAFANYAKAZI "HEWA"
Kenya imeanza kusajili wafanyakazi wa serikali kwa njia za kielektroniki katika jitihada za kuondoa "wafanyakazi hewa" wanaolipwa mshahara na serikali.
Wafanyakazi watakaoshindwa kujisajili katika wiki mbili zijazo hawatalipwa mshahara, imesema taarifa ya serikali.
Serikali inashuku kuwa maelfu ya watu wanaendelea kulipwa mishahara licha ya kuwa hawapo kazini.
Rais Uhuru Kenyatta alikuwa mtu wa kwanza kujisajili, huku akitoa ahadi ya kupambana na ufisadi. Mwandishi wa BBC Wanyama Chebusiri anasema serikali inahisi mishahara ya watu inaendelea kulipwa katika akaunti za benki hata baada ya mtu kufariki au kuacha kazi.

Mada kama hizi Moderator hazifungi hata zikiwa kumi, naziona mbili zinazofanana, nafikiri sababu ni mada inayomuhusu waziri tena inamsifu
 
Last edited by a moderator:
Duhh, kweli Bongo wanasiasa tunawapa sifa za kijinga.
 
Hivi mshahara wa mwezi uliopita ulitokea wapi?
 
Duhh, kweli Bongo wanasiasa tunawapa sifa za kijinga.

Jitihada za Mh Mwigulu Nchemba kupambana na Ufisadi zamkosha rais Uhuru Kenyatta
KENYA KUPAMBANA NA WAFANYAKAZI "HEWA"
Kenya imeanza kusajili wafanyakazi wa serikali kwa njia za kielektroniki katika jitihada za kuondoa "wafanyakazi hewa" wanaolipwa mshahara na serikali.
Wafanyakazi watakaoshindwa kujisajili katika wiki mbili zijazo hawatalipwa mshahara, imesema taarifa ya serikali.
Serikali inashuku kuwa maelfu ya watu wanaendelea kulipwa mishahara licha ya kuwa hawapo kazini.
Rais Uhuru Kenyatta alikuwa mtu wa kwanza kujisajili, huku akitoa ahadi ya kupambana na ufisadi. Mwandishi wa BBC Wanyama Chebusiri anasema serikali inahisi mishahara ya watu inaendelea kulipwa katika akaunti za benki hata baada ya mtu kufariki au kuacha kazi.View attachment 182323
 
anachofanya mwigullu ni kuchezea tu akili za watz,hana lolote.Tutakubali uzalendo wake akiwarudisha watanzania wote walopotea kupitia mkono wake kwa kuanza na dr.sengondo mvungi.
 
Sasa kwa taarifa yenu. Kulipa moja kwa moja kutoka hazina kupelekea waalimu walioacha kazi muda mrefu kujikuta wakinufaika. Rafiki yangu wa karibu kabisa alijikuta akicheka baada ya kutinga nmb na kukuta acc yake imetuna laki tano. Akaamua kuzitoa zote na kuhamishia acc yake bank nyingine. Na wengi walioacha kazi walianza kupigiana simu ingawa kiukweli sikusikia case ya mtu mwingine ila hii moja ni hakika.

Kudhibitisha ameokoa bil. 40 ngumu na ni uongo kwani malipo ya mwezi ya waalimu wote hayafiki bil. 40. So huu ni uzushi wa kitoto kabisa.

Pia ni wazi kuwa plan imefeli sababu wangeendelea na zoezi bali kurejesha mfumo wa kawaida ni kuonesha walishindwa.

Promo za kupika story ili uonekane umetake action ni njia iliyochelewa sana kumsafisha mtu ka mwigulu.
 
[QU OTE=TRIPLE H;10496023]anachofanya mwigullu ni kuchezea tu akili za watz,hana lolote.Tutakubali uzalendo wake akiwarudisha watanzania wote walopotea kupitia mkono wake kwa kuanza na dr.sengondo mvungi.[/QUOTE]
Wauwaji wote washajulikana na chama chao pia muulize Mchange atakutajia tena
 




Ikiwa ni Wiki mbili tu zimepita tangu Mtoto wa Mfugaji Mwigulu Nchemba aamue kupambana na Upotevu wa Fedha za Umma kupitia Mishahara Hewa Nchini Tanzania na kuokoa zaidi ya Bilion 40 kwa mwezi,Hii leo Rais wa Kenya naye ameamua kutembea kwenye nyayo hizo hizo kwa kuutangazia Umma kuwa "KENYA KUPAMBANA NA WAFANYAKAZI "HEWA"
Kenya imeanza kusajili wafanyakazi wa serikali kwa njia za kielektroniki katika jitihada za kuondoa "wafanyakazi hewa" wanaolipwa mshahara na serikali.

Wafanyakazi watakaoshindwa kujisajili katika wiki mbili zijazo hawatalipwa mshahara, imesema taarifa ya serikali.
Serikali inashuku kuwa maelfu ya watu wanaendelea kulipwa mishahara licha ya kuwa hawapo kazini.

Rais Uhuru Kenyatta alikuwa mtu wa kwanza kujisajili, huku akitoa ahadi ya kupambana na ufisadi. Mwandishi wa BBC Wanyama Chebusiri anasema serikali inahisi mishahara ya watu inaendelea kulipwa katika akaunti za benki hata baada ya mtu kufariki au kuacha kazi.

Wakati hayo yakiendelea Nchini Kenya,Tayari Tanzania kupitia Mwanasiasa na Kiongozi Shupavu Mwigulu Nchemba imeshachukua hatua kwa kulipa Wafanyakazi wa umma mishahara yao Moja kwa Moja ilikubaini Mishahara hewa,Mbali na kulipa Moja kwa moja kwenye Account za watumishi,Pia mwigulu aliagiza Maafisa Utumishi wote kupitia Mafaili ya Watumishi na kutoa mrejesho kila mwezi kwa watumishi walioondoka kwenye Pay roll.

Kitendo cha Rais wa Kenya kuamua kuiga kutumia Mfumo huo,NI dhahiri Mwigulu Nchemba ni VISIONABLE LEADER kwa Nchi yetu na mwenye Uwezo Mkubwa wa Kufikiri na kutekeleza mambo kwa Maslahi ya Umma.

Wenye Kubeza watabeza kama Ada kwa sababu ndio Uwezo wao Umefikia hapo,Wenye kuona mbali watakubali Viongozi kama Mwigulu ni wakautiwa moyo na kupewa ushirikiano iliwaweze kulisaidia Taifa hili kwa hatua kubwa zaidi.

Hongera Mwigulu,Ongeza Juhudi kupigania Maslahi ya Watanzania Wanyonge na Masikini ambao wanaamini kwa sasa wamepata Kiongozi na kimbilio lao.

Maccm acheni uzushi wa kitoto Waalimu wote kwa mwezi mmoja malipo yao hayafiki hata bil. 40. Kwa hiyo kusema kaokoa bil. 40 peleka huo umbea kwa watoto wa chekechea. Hamjui hata kudanganya, ovyo kabisa.
 




Ikiwa ni Wiki mbili tu zimepita tangu Mtoto wa Mfugaji Mwigulu Nchemba aamue kupambana na Upotevu wa Fedha za Umma kupitia Mishahara Hewa Nchini Tanzania na kuokoa zaidi ya Bilion 40 kwa mwezi,Hii leo Rais wa Kenya naye ameamua kutembea kwenye nyayo hizo hizo kwa kuutangazia Umma kuwa "KENYA KUPAMBANA NA WAFANYAKAZI "HEWA"
Kenya imeanza kusajili wafanyakazi wa serikali kwa njia za kielektroniki katika jitihada za kuondoa "wafanyakazi hewa" wanaolipwa mshahara na serikali.

Wafanyakazi watakaoshindwa kujisajili katika wiki mbili zijazo hawatalipwa mshahara, imesema taarifa ya serikali.
Serikali inashuku kuwa maelfu ya watu wanaendelea kulipwa mishahara licha ya kuwa hawapo kazini.

Rais Uhuru Kenyatta alikuwa mtu wa kwanza kujisajili, huku akitoa ahadi ya kupambana na ufisadi. Mwandishi wa BBC Wanyama Chebusiri anasema serikali inahisi mishahara ya watu inaendelea kulipwa katika akaunti za benki hata baada ya mtu kufariki au kuacha kazi.

Wakati hayo yakiendelea Nchini Kenya,Tayari Tanzania kupitia Mwanasiasa na Kiongozi Shupavu Mwigulu Nchemba imeshachukua hatua kwa kulipa Wafanyakazi wa umma mishahara yao Moja kwa Moja ilikubaini Mishahara hewa,Mbali na kulipa Moja kwa moja kwenye Account za watumishi,Pia mwigulu aliagiza Maafisa Utumishi wote kupitia Mafaili ya Watumishi na kutoa mrejesho kila mwezi kwa watumishi walioondoka kwenye Pay roll.

Kitendo cha Rais wa Kenya kuamua kuiga kutumia Mfumo huo,NI dhahiri Mwigulu Nchemba ni VISIONABLE LEADER kwa Nchi yetu na mwenye Uwezo Mkubwa wa Kufikiri na kutekeleza mambo kwa Maslahi ya Umma.

Wenye Kubeza watabeza kama Ada kwa sababu ndio Uwezo wao Umefikia hapo,Wenye kuona mbali watakubali Viongozi kama Mwigulu ni wakautiwa moyo na kupewa ushirikiano iliwaweze kulisaidia Taifa hili kwa hatua kubwa zaidi.

Hongera Mwigulu,Ongeza Juhudi kupigania Maslahi ya Watanzania Wanyonge na Masikini ambao wanaamini kwa sasa wamepata Kiongozi na kimbilio lao.

Hizi kampeni Za kitoto zinaboa sasa...kumshika MUHINDI mmoja...ishakuwa tabu...kwanza habari zinazoongelewa jamatini ni kuwa MUHINDI wa watu kahonga shilingi Bilioni Moja ikidaiwa...mgao umeenda Task force Iliyoenda ,maafisa wa TRA baadhi ..na Mwigulu ku ambush...na kuwa yeye mwenyewe kala 600 m...
ISHu Hii inadaiwa ...imeuzwa kwa Mwigilu la task force na kijana mmoja wa IT ambaye yeye Ndie aliefunga Mashine FEKI kwa CI...kwa makubaliano ya 50 m per month ..akamlipa Mara mbili tu na Kama kawaida ya wahindi akaamua kuanza kumzingua dogo,..dogo alipoona hasikilizwi akaamua kuichomoa MUHINDI kwa task force ili ale cha Juu ...

ISHu ya mishahara hewa inadaiwa kuwa ...sio kwa Kiwango cha Bilioni 40 ...wamekuza..pesa zinapoenda halmashauri basi kuna makato ya Saccos na vitu Kama mikopo ya benki etc ...Hiyo tofauti Kati ya mishahara..inatokana na hayo makato ..ambayo halmashauri hukata...Mwezi huu mishahara imelipwa direct kwa Hiyo benki zimekosa repayments...kwa Hiyo nayo amekurupuka kutangaza ameokoa pesa Bilioni 40 ..ili tu kupata sifa kabla ya KUSUBIRI wataalamu wake walete Majibu ya kuwapo kwa deficit kubwa namna Hiyo ...wataalamu wa hesabu hawakatai uwepo wa wafanyakazi hewa ...wapo kwa kuwa kuna wanaofukuzwa..kufariki etc na taarifa hazifiki kwa Wakati hazina ..ila sio kwa KIwango hicho....cha 40 billion..
Bilioni 40 kwa Mwezi ni Bilioni 500 kwa mwaka ..that is a lot of money ......Kama hakukurupuka tunataka kuona watu mamia wahasibu Nchi nzima wanapelekwa mahakamani..

Tatizo ni kuwa watu wanahanishia kazi sensitive kwenye media na face book ...Badala ya kufanya mambo KIMYA KIMYA yatoke kwa mpangilio...maafisa habari kila wizara wapo ..lakini Sasa hawana kazi ...baadhi ya wizara...habari zinatolewa na watu wa kukodi .
 
Back
Top Bottom