Uhuru kuongoza usajili wa wahudumu wa umma upya kupitia biometric

Uhuru kuongoza usajili wa wahudumu wa umma upya kupitia biometric

Maccm acheni uzushi wa kitoto Waalimu wote kwa mwezi mmoja malipo yao hayafiki hata bil. 40. Kwa hiyo kusema kaokoa bil. 40 peleka huo umbea kwa watoto wa chekechea. Hamjui hata kudanganya, ovyo kabisa.

Mwigulu anapiga kazi wengine maneno tu ya kukatisha Tamaa.Tunakuhitaji mwigulu Nchemba okoa hili taifa
 
anachofanya mwigullu ni kuchezea tu akili za watz,hana lolote.Tutakubali uzalendo wake akiwarudisha watanzania wote walopotea kupitia mkono wake kwa kuanza na dr.sengondo mvungi.
Mrefu nimekuwa nikipata msukumo unaonitaka kuzungumzia maneno yaliyosambaa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari hivi karibuni kutoka kwa ndugu ma makundi mbali mbali.



Kimsingi sintajibu wanayotaka kwa sababu nimeendelea kupokea jumbe za Matusi na kejeli hata kuvamiwa na wanaodai ni wafuasi wa CHADEMA wakitaka niendelee kuwa Kimya!. Wapo walioamua kujitaja majina yao ili nijue ni kiasi gani wako 'Serious' kwenye kile wasemacho!.



Japo nilishatoa taarifa Polisi, kwa sasa nimechoka kuishi maisha ya kuwindwa ndani ya Nchi yangu. Nimechoka. Nitakachofanya ni KUONGEA na si KUJIBU kilichosemwa na yeyote kuhusu Mimi na 'Ajali ya Pandambili'



Naamini kwa Mungu siku zote

Naamini nikifa ni kwa Mpango wake

Nikifa ukweli Utaishi hadi vizazi vijavyo.



Deus Mallya
 
Maccm acheni uzushi wa kitoto Waalimu wote kwa mwezi mmoja malipo yao hayafiki hata bil. 40. Kwa hiyo kusema kaokoa bil. 40 peleka huo umbea kwa watoto wa chekechea. Hamjui hata kudanganya, ovyo kabisa.

Wewe hauna taarifa sahihi kwa mwezi zaidi ya bilioni 400 zinatumika kulipa mishahara na makusanyo yote kwa mwezi ni wastani wa bilion 700 hadi 800
 
Sasa kwa taarifa yenu. Kulipa moja kwa moja kutoka hazina kupelekea waalimu walioacha kazi muda mrefu kujikuta wakinufaika. Rafiki yangu wa karibu kabisa alijikuta akicheka baada ya kutinga nmb na kukuta acc yake imetuna laki tano. Akaamua kuzitoa zote na kuhamishia acc yake bank nyingine. Na wengi walioacha kazi walianza kupigiana simu ingawa kiukweli sikusikia case ya mtu mwingine ila hii moja ni hakika.

Kudhibitisha ameokoa bil. 40 ngumu na ni uongo kwani malipo ya mwezi ya waalimu wote hayafiki bil. 40. So huu ni uzushi wa kitoto kabisa.

Pia ni wazi kuwa plan imefeli sababu wangeendelea na zoezi bali kurejesha mfumo wa kawaida ni kuonesha walishindwa.

Promo za kupika story ili uonekane umetake action ni njia iliyochelewa sana kumsafisha mtu ka mwigulu.

Watanzania tusitegemee lolote hazina ..

Mwigulu ameteka majukumu ya kuwa msemaji Mkuu wa wizara...nadhani kila anachokiona anakimbilia kutangaza..ni udhaifu wa Waziri wa watu ...Yule mama alitakiwa kudhibiti hizi habari Za kikatuni na kuwaambia wafanye kazi ziongee

Naibu mwingine ..ambaye angetakiwa..kumsaidia naye ni wa kuonea huruma ..hakuna anacholijuwa Zaidi ya kwenda guest na changudoa akiwa na BUNDUKI ..

Sasa hawa Ndio wataendesha Uchumi wa Nchi Kweli .....Hakuna kitu hapoo!!!
 
Wanapostahili kuwepewa sifa na pongezi wapewe kama Mwigulu anaonesha nia thabiti

Malipo ya waalimu tu kwa mwezi mmoja hayafiki bilioni 40. Sasa sijui kaokoa bilion 40 za wapi maana waalimu ndio wafanyakazi wengi zaidi nchini. Majeshi hayajumuishwi maana taratibu za malipo ya jeshi siyo kama wafanyakazi wanalipo kutoka bajeti za jeshini kwenyewe. Yaani hawapo menejimenti ya uma au hazina. sasa hizi bilion arobaini ni za wapi. Acheni ujinga!!!
 
Hongera sana Mchemba lakini pengine tungeambiwa hao wanaohusika na mchezo huo mchafu ni akina nani na kwa nini mnawaficha, mhalifu ni mhalifu wafichueni tuwajue na iwe fundisha kwa wengine
 
Malipo ya waalimu tu kwa mwezi mmoja hayafiki bilioni 40. Sasa sijui kaokoa bilion 40 za wapi maana waalimu ndio wafanyakazi wengi zaidi nchini. Majeshi hayajumuishwi maana taratibu za malipo ya jeshi siyo kama wafanyakazi wanalipo kutoka bajeti za jeshini kwenyewe. Yaani hawapo menejimenti ya uma au hazina. sasa hizi bilion arobaini ni za wapi. Acheni ujinga!!!

Wewe hauna taarifa sahihi kwa mwezi zaidi ya bilioni 400 zinatumika kulipa mishahara na makusanyo yote kwa mwezi ni wastani wa bilion 700 hadi 800
 
Nini maana ya 'VISIONABLE LEADER'?huu ujinga wa kutaka kusafishana huko ccm huku mkituibia watanzania tumewachoka..

Leo mnamfananisha mchemba na Sokoine?hivi mmekuwa wapumbavu hivi?kiasi cha kuwaona watanzania majuha kama ninyi?..------...
 
Nini maana ya 'VISIONABLE LEADER'?huu ujinga wa kutaka kusafishana huko ccm huku mkituibia watanzania tumewachoka..

Leo mnamfananisha mchemba na Sokoine?hivi mmekuwa wapumbavu hivi?kiasi cha kuwaona watanzania majuha kama ninyi?..------...

Kaka usibishane na ukweli kufananishwa sio dhambi kama unafanya matendo ya sokoine unafafanishwaa tuuuu
 
Goo on mwigulu mpaka kieleweke hawa wanafiki wanaokupinga mambo yakiwa mazuri ndio wa kwanza kunufaika
 
Wewe hauna taarifa sahihi kwa mwezi zaidi ya bilioni 400 zinatumika kulipa mishahara na makusanyo yote kwa mwezi ni wastani wa bilion 700 hadi 800

Mtu mzima akiwa mjinga kama wewe ni hatari sana. Unaambiwa mishaara, marupuru na posho za wafanyakazi wote wa umma ni bl. 400. Hapo ujuwe ni kuaazia raisi hadi yule wa mwisho kima cha chini. Sasa kwa taarifa yako bil. 300 zinaishia kwa Rais,mawazir,makatibu,wakurugenzi wa wizara, wakuu wa mikoa na jopo lao, mkuu wa wilaya, wakurugenzi na maafisa wilayani, wabunge, madiwani na wakuu wa taasisi nyeti za serikali ka takukuru, migration, tra nk.

Nchi hii inakisiwa kuwa na waalimu 300,000 sasa zidisha hata kwa milioni ingawa wengi wanalipwa chini ya laki sita uone kama itafika bilion arobani. Acha ujinga wee kiazi kabisa umekariri.tu hufatilii mambo wewe. Jamani waachieni wanaojua jukwaa kujadili.na watu wajinga ni hasara sana. Ka ujaelewa kuwa umedangaywa na Lumumba mapoyoyo unahasara.
 
uwezo wa Mwigulu umekuwa Mwiba sana kwa mafisadi so kila mtu anahaha tu.ongeza mwendo mwigulu

Tunapenda KUSHABIKIA propaganda bila kazi ...Sasa tunapofanya propaganda kwenye Uchumi ..inakuwa Mbaya ....,Mwigulu angefaa Sana ..lakini apunguze propaganda ..asiwe na haraka ..afanye kazi yake vizuri tu ..anaonekana apewe uwaziri Kamili ...kuliko Hii Sasa ya kukurupuka tu kutangaza kila kitu ..hata kwa kutumia kupiga picha na WAGONJWA ...ili tu aonekane
 
Huku ujinini mwigulu tunamwita mwavenja saana
Angekua huku ujinini kwa jitihada zake angepewa malkia wa bahari kama mkeee wakee wa kudumu
 
Back
Top Bottom