Uhuru kuongoza usajili wa wahudumu wa umma upya kupitia biometric

Uhuru kuongoza usajili wa wahudumu wa umma upya kupitia biometric

Nini maana ya 'VISIONABLE LEADER'?huu ujinga wa kutaka kusafishana huko ccm huku mkituibia watanzania tumewachoka..

Leo mnamfananisha mchemba na Sokoine?hivi mmekuwa wapumbavu hivi?kiasi cha kuwaona watanzania majuha kama ninyi?..------...

Tu ache woga wa kusema ukweli kama kiongozi anafanya vizuri sharti asifiwe hongera sana mh Mwigulu View attachment 182338
 
Tunapenda KUSHABIKIA propaganda bila kazi ...Sasa tunapofanya propaganda kwenye Uchumi ..inakuwa Mbaya ....,Mwigulu angefaa Sana ..lakini apunguze propaganda ..asiwe na haraka ..afanye kazi yake vizuri tu ..anaonekana apewe uwaziri Kamili ...kuliko Hii Sasa ya kukurupuka tu kutangaza kila kitu ..hata kwa kutumia kupiga picha na WAGONJWA ...ili tu aonekane

Jamani kazi si ndo hiyo inaonekana hadi majirani wanatuiga tatizo watz hatuna Uzalendo hatuthamin vya nyumban
Go go Mwigulu
 
Mwigulu Nchemba tunaimani na wewe kazi yako tunaiona na wewe ndie Mkombozi wa Wanyonge
 
Africa son

1409689661327.jpg
 
Yaani Mwigulu bado yupo analojia... mwenzie kaja ki-dijitali zaidi.

Hapo ni sawa na kulinganisha akili ndogo na akili kubwa!
 
Huyu gaidi ni mtu mpumbavu sana. Hana la maana zaidi ya kuja hapa kwa kutumia IDs tofauti kujipigia debe. Eti huyu gaidi naye anauwania Urais 2015!!!! Kweli Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu!
 
Hakuna uhusiano wowote mwigulu a napokea rushwa kubwa hapa wizarani kwa watoa huduma suala la mishahara hewa ni kelele za kutafuta umaarufu tu.
 
Yaani Mwigulu bado yupo analojia... mwenzie kaja ki-dijitali zaidi.

Hapo ni sawa na kulinganisha akili ndogo na akili kubwa!

Akili kubwa ipo kwenu?! Mwigulu ni 1st class economists au kweli ziro ndo akili kubwa??!
 
Huyu gaidi ni mtu mpumbavu sana. Hana la maana zaidi ya kuja hapa kwa kutumia IDs tofauti kujipigia debe. Eti huyu gaidi naye anauwania Urais 2015!!!! Kweli Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu!

Magaidi hawa hapa

Kwa muda Mrefu nimekuwa nikipata msukumo unaonitaka kuzungumzia maneno yaliyosambaa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari hivi karibuni kutoka kwa ndugu ma makundi mbali mbali.



Kimsingi sintajibu wanayotaka kwa sababu nimeendelea kupokea jumbe za Matusi na kejeli hata kuvamiwa na wanaodai ni wafuasi wa CHADEMA wakitaka niendelee kuwa Kimya!. Wapo walioamua kujitaja majina yao ili nijue ni kiasi gani wako 'Serious' kwenye kile wasemacho!.



Japo nilishatoa taarifa Polisi, kwa sasa nimechoka kuishi maisha ya kuwindwa ndani ya Nchi yangu. Nimechoka. Nitakachofanya ni KUONGEA na si KUJIBU kilichosemwa na yeyote kuhusu Mimi na 'Ajali ya Pandambili'



Naamini kwa Mungu siku zote

Naamini nikifa ni kwa Mpango wake

Nikifa ukweli Utaishi hadi vizazi vijavyo.



Deus Mallya

Dar es Salaam
 
badili heading,amekoshwa sehem gani?
 
Wewe unawezaji kufahamu kinachondelea sehemu za kazi ilhali wewe sio mfanyakazi bali mpigadebe wa siasa. Suala la kupambana na wafanya kazi hewa halijaanza leo, hata kitendo cha kulipa wafanyakazi kupitia benki ilikuwa ni kupambana na wafanyakazi hewa, enzi za kulipia dirishani ndilo ilikuwa mbaya zaidi, alikuwa akilipa dirishani fungu likabaki anaweka sahihi na kuishia nalo, na ilikuwa rahisi kuongeza majina hewa. Lakini kupitia benki, wafanyakazi hewa wanakuwa ni wale waliofariki, kustaafu au kuacha kazi ambap maafisa utumishi wamechelewa kuwafuta kwenye pay roll, kwa kuwa mshahara huo unaingia benki ni rahisi kuufatilia. Sasa kama kweli huyo unayemsifia anawajibika, twambie kawachukulia hatua gani watendaji waliosababisha mishahara hewa kulipwa, maana mtu hajilipi mshahara bali anajilipwa, hata mimi ningekuwa nafanya kazi halafu nikaacha, mshahara ukaendelea kulipwa, sio kazi yangu kumwuliza mlipaji kwa nini anendelea kukulipa, kazi yangu ni kuangali kila mwisho wa mwezi kama umeingia natoa haraka na kununua mifuko ya twiga cement na mabati.
 
Wewe unawezaji kufahamu kinachondelea sehemu za kazi ilhali wewe sio mfanyakazi bali mpigadebe wa siasa. Suala la kupambana na wafanya kazi hewa halijaanza leo, hata kitendo cha kulipa wafanyakazi kupitia benki ilikuwa ni kupambana na wafanyakazi hewa, enzi za kulipia dirishani ndilo ilikuwa mbaya zaidi, alikuwa akilipa dirishani fungu likabaki anaweka sahihi na kuishia nalo, na ilikuwa rahisi kuongeza majina hewa. Lakini kupitia benki, wafanyakazi hewa wanakuwa ni wale waliofariki, kustaafu au kuacha kazi ambap maafisa utumishi wamechelewa kuwafuta kwenye pay roll, kwa kuwa mshahara huo unaingia benki ni rahisi kuufatilia. Sasa kama kweli huyo unayemsifia anawajibika, twambie kawachukulia hatua gani watendaji waliosababisha mishahara hewa kulipwa, maana mtu hajilipi mshahara bali anajilipwa, hata mimi ningekuwa nafanya kazi halafu nikaacha, mshahara ukaendelea kulipwa, sio kazi yangu kumwuliza mlipaji kwa nini anendelea kukulipa, kazi yangu ni kuangali kila mwisho wa mwezi kama umeingia natoa haraka na kununua mifuko ya twiga cement na mabati.

Ungekuwa unafuatilia vyanzo vya habari mbali mbali ungelikuwa na jibu ama uelewa mpana kama jinsi ulivyofafanua pesa mnavyoiba kupitia dirishani pamoja na kwa wafanyakazi waliochakazi
Hiyo ni chain so ufuatiliaji wake ni muda kidogo japo serikali imeahatangaza inafuatilia na hatua kali zitachukuliwa
Go go Mwigulu
 
Back
Top Bottom