Maccm acheni uzushi wa kitoto Waalimu wote kwa mwezi mmoja malipo yao hayafiki hata bil. 40. Kwa hiyo kusema kaokoa bil. 40 peleka huo umbea kwa watoto wa chekechea. Hamjui hata kudanganya, ovyo kabisa.
Mrefu nimekuwa nikipata msukumo unaonitaka kuzungumzia maneno yaliyosambaa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari hivi karibuni kutoka kwa ndugu ma makundi mbali mbali.anachofanya mwigullu ni kuchezea tu akili za watz,hana lolote.Tutakubali uzalendo wake akiwarudisha watanzania wote walopotea kupitia mkono wake kwa kuanza na dr.sengondo mvungi.
Maccm acheni uzushi wa kitoto Waalimu wote kwa mwezi mmoja malipo yao hayafiki hata bil. 40. Kwa hiyo kusema kaokoa bil. 40 peleka huo umbea kwa watoto wa chekechea. Hamjui hata kudanganya, ovyo kabisa.
Sasa kwa taarifa yenu. Kulipa moja kwa moja kutoka hazina kupelekea waalimu walioacha kazi muda mrefu kujikuta wakinufaika. Rafiki yangu wa karibu kabisa alijikuta akicheka baada ya kutinga nmb na kukuta acc yake imetuna laki tano. Akaamua kuzitoa zote na kuhamishia acc yake bank nyingine. Na wengi walioacha kazi walianza kupigiana simu ingawa kiukweli sikusikia case ya mtu mwingine ila hii moja ni hakika.
Kudhibitisha ameokoa bil. 40 ngumu na ni uongo kwani malipo ya mwezi ya waalimu wote hayafiki bil. 40. So huu ni uzushi wa kitoto kabisa.
Pia ni wazi kuwa plan imefeli sababu wangeendelea na zoezi bali kurejesha mfumo wa kawaida ni kuonesha walishindwa.
Promo za kupika story ili uonekane umetake action ni njia iliyochelewa sana kumsafisha mtu ka mwigulu.
Wanapostahili kuwepewa sifa na pongezi wapewe kama Mwigulu anaonesha nia thabiti
Hivi mshahara wa mwezi uliopita ulitokea wapi?
Acheni ujinga nyie watu..
Malipo ya waalimu tu kwa mwezi mmoja hayafiki bilioni 40. Sasa sijui kaokoa bilion 40 za wapi maana waalimu ndio wafanyakazi wengi zaidi nchini. Majeshi hayajumuishwi maana taratibu za malipo ya jeshi siyo kama wafanyakazi wanalipo kutoka bajeti za jeshini kwenyewe. Yaani hawapo menejimenti ya uma au hazina. sasa hizi bilion arobaini ni za wapi. Acheni ujinga!!!
Mwigulu nchemba ni mpango wa Mungu
Nini maana ya 'VISIONABLE LEADER'?huu ujinga wa kutaka kusafishana huko ccm huku mkituibia watanzania tumewachoka..
Leo mnamfananisha mchemba na Sokoine?hivi mmekuwa wapumbavu hivi?kiasi cha kuwaona watanzania majuha kama ninyi?..------...
Nawashangaa mnaobeza jitihada za mzalendo huyuuu
Goo on mwigulu mpaka kieleweke hawa wanafiki wanaokupinga mambo yakiwa mazuri ndio wa kwanza kunufaika
Dunia imekwisha mpaka bawacha wanatukana hivi.Acheni ujinga nyie watu..
Wewe hauna taarifa sahihi kwa mwezi zaidi ya bilioni 400 zinatumika kulipa mishahara na makusanyo yote kwa mwezi ni wastani wa bilion 700 hadi 800
uwezo wa Mwigulu umekuwa Mwiba sana kwa mafisadi so kila mtu anahaha tu.ongeza mwendo mwigulu